Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
Unapenda kejeli. Hakuna mtu aliyesema kuna kosa. Ni design waliyokuja nayo. Ninyi mnasema treni zitakuwa zinaingia ndani, ndani wapi? Maana ni “tunnel” inayotengenezwa hapo ndio itakuwa njia ya treni kuingia, lakini haitakatisha ndani ya jengo!Hata hili naona kama wamekosea hebu toa mchango wako engineer mkuu🤣🤣🤣🤣
View attachment 2461935View attachment 2461937