Ghana waneshafikia deni la zaidi ya 78% ya GDP, sisi bado sana, hata 50% hatujafika.
Kuhusu hiyo $10b, wewe hujui siasa zetu za ndani, kauli hiyo imesemwa ili kuficha uwezo mdogo wa uongozi wa awamu hii ya '6'.
Awamu hii haijatumia pesa za ndani hata kidogo kuendesha miradi, kutokana na ukusanyaji mdogo wa kodi. Makampuni hayalipi kodi, serikali haina pesa mpaka wameamua kuwakamua tozo wananchi. Hivyo kwa kuwa wamekopa sana wanaona aibu ndiyo maana wameamua kutoa figure ya jumla ($10b) bila maelezo.