Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukitaka kuwaharibia siku wakenya weka hii picha
20220511_093406.jpg
 
You wanna get me enrolled in your idiocracy class? No man……..not me, try some other fools around. I have actually get tired with your nonsense, kila siku kumtukana Samia kwa hoja za kipumbavu kabisa, nchi inasonga vizuri kabisa wewe umekalia kumbania makende tu, umetumwa?

Sijawahi kupamia posts zako na pia lazima utambue hili ni jukwaa huru na kila mtu ana uhuru wa kuchangia mawazo yake bila kupangiwa na mwingine.

Kikwete katika mkutani mkuu wa CCM, ameweka wazi kuwa kuna uwezekano wa Samia kutogobea akisema "Kama mambo yataaribika sana basi itawalazimu". Mtu yeyote aliye kuwa akijali ada ya masomo ya mzazi wake, anatambua kuwa mambo yameshaharibika. Neno "sana" kwenye sentence ni kama "so" ambayo ni conjunction na adverb ila hapo imetumika kama adverb "If things go so wrong"

Nnchi ina kwenda kufuatana na mtazamo, uwezo wako wa kuchanganua mambo ndio ulipofikia, sioni sababu ya kukwazika na mtazamo wako huru. Nashangaa unamatatizo na mitazamo huru ya wengine, huoni wewe hauko sawa?

 
Back
Top Bottom