Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
They are limited..,Versions za simu at times hubore
They are limited..,Versions za simu at times hubore
ukistajabu ya musa, usisahau ku download ya foraoni
There are three expressways in East Africa.Achana na huyo kilaza. There's only one expressway in East and Central Africa and it's found in Nairobi. He should be reminded that even Thika road is not an expressway
Kwani ya Tanzania ndio sio 3×2. Just accept that mumeletewa mitungi.Kenyan sgr second class coaches vs Tz sgr third class coaches.
Let us all be of sane mind and compare the two without prejudice.
NB: I didnt know that Kenyan sgr coaches seating arrangement is 2×3 View attachment 2425944View attachment 2425946View attachment 2425947View attachment 2425949
Daraja ya kisasa? For what exactly?Nairobi hakuna;
1)Bus stands za kisasa
2)Masoko ya kisasa
3)BRT
4)Airport kubwa na modern
5) Uwanja wa Mpira wa kisasa
6) Madaraja ya kisasa Kama Tanzanite na Kigamboni
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nyama imechanganywa na cabbage kama sijakosea.Iyo ni mboga gani?
Hiyo Ridgeline siyo SUV, ni gari ya kazi (pickup truck).Hata hili ni SUVs ghali mkuu. Ila naelewa point yako
View attachment 2426052
Kuna gari nyingi ndogo ziko comfortable tuu na bei zake poa. Kama watumishi wanataka ma SUV si watumie magari yao binasfi? Kwa nini waibebeshe serikali gharama kubwa?Nikikuambia utakuwa unazunguka mikoa mbalimbali kukagua miradi ya maendeleo kwa gari kwa miaka yote utakayokuwa ofisin
Kwa usalama wa afya yako hasa kwenye maeneo korofi.. unachagua gari gan kati ya hizi
Kweli, usimamizi unatakiwa uwe mzuri, lakini pia gharama inabidi zipunguzwe.View attachment 2426054
View attachment 2426066The point mim naona sio viongozi kutumia hizo SUVs. The point is rasilimali zetu/miradi ya maendeleo wanazisimamia vizur? Au viongozi wetu wanaajibika vip kutupigania kuleta maendeleo?
Afu imagine huyu ni wazir wa serikal ya sasa alivyo, hata ningekuwa mim, nisingetaka awe anapanda 'V8' ya serikal
Hawa ni SUPER NJAA,wasituambie kitu,kama huwezi kujitosheleza kwa chakula cha watu wako ni maskini wa kutupwa.🧐Hawapo serious alafu wanajiita EAC Superpower,superpower na njaa wap na wap
Hawa ni SUPER NJAA,wasituambie kitu,kama huwezi kujitosheleza kwa chakula cha watu wako ni maskini wa kutupwa.🧐Hawapo serious alafu wanajiita EAC Superpower,superpower na njaa wap na wap
Unauhakika?After seeing the refurbished coaches Tanzania has got. I can now proudly say that Kenya got a better deal.
View attachment 2426153
Swali lako liko wapi hapo.Dar hakuna expressway?
Dar hakuna Airport 2..?
Dar hakuna ring roads zenye double lanes?
Tuanzie hapo
Izo question marks zipo kimakosa.Swali lako liko wapi hapo.
You wish!After seeing the refurbished coaches Tanzania has got.
I can see, jealousy is the only word written on your face.I can now proudly say that Kenya got a better deal.
Maboga kama haya yalikuwa mengi kweli kweli enzi zile thread inaanza but now yamebaki machache mno yanamalizia malizia.Unajua maana ya expressway?mbona we ni limbukeni namna hii sikujua
Unajua maana ya ring roads? Hujui sasa uko hapa kubishana tu hujui chochote.
Unaishi dar na hujui lolote sad