Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

No of airport inaongea jambo,wanatuzidi idadi wa wageni ama wasafiri wanaotumia izo airport, Lakini kwa akili yako finyu huwezi kuelewa.

Sina haja ya kukueleza jambo lolote tena nna kazi za kufanya
Kama una kazi za kufanya unasubiri nini sasa humu si usubiri ukiwa huna kazi.
 
You wish!

I can see, jealousy is the only word written on your face.
Endelea kulia. Na machozi yakikuishia I can show you where to buy.

16471957_20221027131800_jpegad05662f95eac01058c18db27c93c8a0.jpeg
 
Pamoja na njaa south Africa hawajapokea chakula toka Ukraine,hii yenu,funika chungu mwanaharamu apite.
pia south africa ni african superpower lakini pia wao, nchi yao, sehemu kubwa ni jangwa kama vile tu kenya, hivyo wao pia changamoto ni ile ile tunayo yapititia hapa kenya.. kamavile.. ukame/kiangazi ni ile ile, hence mavuno duni, and hence ukosefu wa chakula, maji, livestock deaths due to lack of pasture etc etc..

nb:
infact kuna documentary flani cgtn, ina highlight ukosefu wa maji capetown, hadi wakazi wote wa capetown, tajiri na maskini wanapiga foleni ili kugawiwa angalau ata lita tano5 ya maji kwa siku, na serkali yao. hebu let me.search for that documentary i forward here

hapa, njaa pretoria, gauteng, south africa👇🏽
View attachment 2425380View attachment 2425382
 
Uliandika kwa maumivu sana kujiliwaza tu, umeumia, ukweli ina kuachaga hoi., madeni hamuwezi kulipa taifa fukara, utapia mlo, ufukara wa kutupwa kwa raiya yaani 80%.., 90% mnaishi nyumba duni na maisha duni ya kimasikini, sio porojo, google earth haidanganyi na haina mapendeleo, haiwaonei yaani inaonyesha Tanzania yoote! eti vingunguti pekee, nyambaff, unajaribu kutetea kile kilicho wazi, Dar na Tanzania yote 80% ya makazi ni uswazi, usijitoe ufahamu kifala mjukuu ., inauma ila zoea mapema upone, sitakuacha mimi hadi unyooke kwa ukweli., ukitaka lia kabisa na upige nduru, ukweli haubadilishi wewe, jipende mlivyo, usione aibu, ni mambo ya dunia yalivyo, jikubali bro hautapigwa na mtu, ombea taifa lipate maendeleo mwafaka wacha kulia lia na kutetea ujinga, hadi raha,
Asante kwa lisala
 
Do you hear yourself talking? Ati those units kwenye carriage zenu na zetu ni sawa ama nimesikia tofauti?

Extractors are normally placed at the edge of the carrriges while HVAC systems are placed in the middle where the bulk of passengers seats are.
Hiyo ni kama kusema engine zote za gari lazima ziwe mbele. Anyway, I'm talking to someone who things an elevated rail line is an expressway. Let me focus on people who have at least stepped in a classroom.🚮🚮🚮
 
Izo ni barabara ambazo unaweza kuendesha kwa speed hadi 120 na kuendelea,zinakua na double lanes na kuendelea kwa uelekeo mmoja,hakuna zebracrossing, hakuna humps,kwenye junction zote kuna overpass,ama flyovers.. njia za kuingia barabara izo ziko controlled huingii tu kichwa kichwa, na mara nyingi hua ni zakulipia.

Kwa kusema ivyo utakua ushaelewa
Tell your friend an expressway is a road with controlled access. Currently we have 3 expressways in East Africa - Thika Road, Mombasa Road/Uhuru Highway/Waiyaki Way and Kampala - Entebbe Expressway. All the other highways do not have controlled access. Huyo ndugu yako Hana akili na hajasoma yet anapenda kupingana vitu haelewi.
 
Roads in Mombasa City.., they are exquisite.., 💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥
8 Lanes Road in Mombasa..,
1669300468202.png

1669300492349.png

Mombasa rocks in EAC.., mkeka wa ukweli..,
1669300517302.png

1669300623831.png

1669300609549.png

1669300638528.png

1669300667582.png
 
Back
Top Bottom