joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Nairobi hakuna;Kwenye barabara wanatuzidi,expressway Dar hatuna,ring roads zao ni dualcarriage ways zetu ni single lanes,Nairobi wana Airport 2 dar iko moja hivyo ni vitu basics kabisa
1)Bus stands za kisasa
2)Masoko ya kisasa
3)BRT
4)Airport kubwa na modern
5) Uwanja wa Mpira wa kisasa
6) Madaraja ya kisasa Kama Tanzanite na Kigamboni
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app