Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Au siyo? πŸ‘‡
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


E1857037-9E9D-4C43-9F0F-266A42A7D407.jpeg
 
Me nilifikiri unaongelea tuko hovyo kwamba tuna njaa year in year out kama nyie, kwamba tunasumbuliwa na magonjwa mpk yale ya aibu kama nyie, kwamba tuna madeni na tunadaiwa na kila nchi kama nyie, kwamba 70% ya wananchi wanaishi kwenye slums kama nyie, kwamba tuna elimu mbovu kama nyie, kwamba tuna ukabila kama nyie, kwamba sisi ni washenzi kama nyie kumbe unaongelea uhovyo wetu kwa kutumia kigezo cha Google earth alafu hyo Google earth yenyewe unaongelea kasehemu kadogo ka Vingunguti, we kweli mbwa
Uliandika kwa maumivu sana kujiliwaza tu, umeumiaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, ukweli ina kuachaga hoi., madeni hamuwezi kulipa taifa fukara, utapia mlo, ufukara wa kutupwa kwa raiya yaani 80%.., 90% mnaishi nyumba duni na maisha duni ya kimasikini, sio porojo, google earth haidanganyi na haina mapendeleo, haiwaonei yaani inaonyesha Tanzania yoote! eti vingunguti pekee, nyambaffπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, unajaribu kutetea kile kilicho wazi, Dar na Tanzania yote 80% ya makazi ni uswazi, usijitoe ufahamu kifala mjukuu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ., inauma ila zoea mapema upone, sitakuacha mimi hadi unyooke kwa ukweli., ukitaka lia kabisa na upige nduru, ukweli haubadilishi wewe, jipende mlivyo, usione aibu, ni mambo ya dunia yalivyo, jikubali bro hautapigwa na mtu, ombea taifa lipate maendeleo mwafaka wacha kulia lia na kutetea ujinga, hadi raha,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Izo ni barabara ambazo unaweza kuendesha kwa speed hadi 120 na kuendelea,zinakua na double lanes na kuendelea kwa uelekeo mmoja,hakuna zebracrossing, hakuna humps,kwenye junction zote kuna overpass,ama flyovers.. njia za kuingia barabara izo ziko controlled huingii tu kichwa kichwa, na mara nyingi hua ni zakulipia.

Kwa kusema ivyo utakua ushaelewa
Haya nielezee na hizi hapa
Zinapita wapi?
Screenshot_20221124-101806_Opera.jpg
Screenshot_20221124-102045_Opera.jpg
Screenshot_20221124-102053_Opera.jpg
 
Izo ni barabara ambazo unaweza kuendesha kwa speed hadi 120 na kuendelea,zinakua na double lanes na kuendelea kwa uelekeo mmoja,hakuna zebracrossing, hakuna humps,kwenye junction zote kuna overpass,ama flyovers.. njia za kuingia barabara izo ziko controlled huingii tu kichwa kichwa, na mara nyingi hua ni zakulipia.

Kwa kusema ivyo utakua ushaelewa
Tembea uone dunia usikae tuu hapo Nyarugusu ukaona ndio dunia.
 
Unajua maana ya expressway?mbona we ni limbukeni namna hii sikujua

Unajua maana ya ring roads? Hujui sasa uko hapa kubishana tu hujui chochote.

Unaishi dar na hujui lolote sad
Bado nasubiri maana ya Ring Road toka kwako. Ili nielimike na mimi pia.
 
Nairobi imezidi Dar kwenye nn be specific usiwe mpumbavu, Dar pia inezidi miji yote ya EA kwenye mambo mengi tu. Usiwe mjinga wa kukubali vitu kirahisi rahisi namna hiyo mjinga wewe.
Ukweli iliuma hadi kwa mishipa, unaugua kweli, hadi unatukana mwenzio, wewe ni fala kweli.., mbona liko wazi kilaza, vumilia hauwezi badilisha lolote, zoea tuπŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Zuzu ilo, halioni Wakunya humu hawakubali chochote toka Tz lkn yeye anajifanya kukubali vitu kirahisi rahisi tu.

Dar kwa sasa iko mbele ya miji yote ya EA tuna guts za kusema hivyo, tuna infrastructures za kisasa zaidi kuliko miji yote EA, huyu zuzu bado ana historia ya zamani sn.
Hii Dar is slum moja, nenda ukadanganye wamalawi kuleeeee, wasio ijua na kuiona Dar..., city ya ka CBD kamoja na makazi vitongoji 80%.., ujinga tuondolee.., mko hovyo it's a fact!, inauma sanaπŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwenye barabara wanatuzidi,expressway Dar hatuna,ring roads zao ni dualcarriage ways zetu ni single lanes,Nairobi wana Airport 2 dar iko moja hivyo ni vitu basics kabisa
Nairobi kuna airport tatu. Mbili za civilian (wilson & jkia) na moja ya jeshi huko Eastleigh airbase
Screenshot_20221124-111919.jpg
 
Hivi wewe unakaa mji gani hapa Tanzania? Usikute ninabishana na mtu yuko huko Nyarugusu.

Expressway
Hiyo hapo mjini ya SGR ni mihogo?

Ring roads
Unaijua Dar vizuri wewe Dar iko coast imepakana na bahari na kama hujui Mandela road na Sam Nujoma roads ni ring roads kwa Dar

Airports
Dar has state of the art Airport ambayo huipati kwa mji wowote hapa EA. Besides we are talking about modernity na superior infrastructure not numbers of which all airport facilities in Naipori are in a sorry state.
Mbona ukweli inawauma sana? mnatia huruma, jikubalini tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

HakaπŸ‘‡πŸ‘‡ ka straight line building with lipstick ndio state of the art airport, na terminal moja ya maana pekee πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .., ujinga laana..,
1669278552040.png

VS
A complex..., with even cargo terminals za adabu..,
1669278603873.png

Nairobi has Wislon Airport and Eastleigh Aiport.., Dar je?..,

Ringroads za Dar ni level ya barabara za estates, hakuna dual carriage ways with interchanges.., Dar bado.,
Tanzania yoote haina expressway or super highway.., iko tu na Kibaha highway., Uganda imewazidi kwa hili..,

Dar bado sana., ringa na BRT na bridge pekeyake kwa vile Nairobi haina bahari..,
One of the ring roads..,
1669278983351.png

Superhighway
1669279018255.png

Expressway
1669279045124.png


Mombasa ndio inakimbizana na Dar, ukweli kubali..,
Mombasa density..,
1669279129466.png

1669279168978.png

1669279178263.png

1669279197594.png
 
Back
Top Bottom