Nyang’au wenzako wenye akili timamu wanakubali kuwa sgr ya Kenya mmepigwa na mchina. Sasa wewe sijui unataka kumdanganya nani.We got a better deal for sure. Na SGR ya Kenya bado haijakua electrified train zianze kupiga 220km/hr
Kawawa road sio ring road kaka, ukitasfiri tu neno "ring", ni huzuni ila inabidi tu tuseme ukweli Dar es Salaam hatuna a complete ring road.Hata kawawa Road ni Ring road pia
Behind ARUSHA always
Hii ni recharging Centre ya Magari kama sijakoseaWatu wa there's no infrastructure in Nairobi that you will not Dar, where are you? I wanyyou show me something like this from Dar.
View attachment 2426367
Rejea proposed master plan ya JICA utaona inner ring road, outer ring road na nyingine ambayo ni future outer ring road inayozunguka mpk mkoa wa pwani hukoKawawa road sio ring road kaka, ukitasfiri tu neno "ring", ni huzuni ila inabidi tu tuseme ukweli Dar es Salaam hatuna a complete ring road.
Watakujia na matusi tu sio hoja zenye mashikoKawawa road sio ring road kaka, ukitasfiri tu neno "ring", ni huzuni ila inabidi tu tuseme ukweli Dar es Salaam hatuna a complete ring road.
Same road but 30 different photos 🤣 kuwa Mpumbavu nako kazi sanaExquisite roads of Mombasa City..,
View attachment 2426318
View attachment 2426322
View attachment 2426323
View attachment 2426332
View attachment 2426326
Yaani flyovers ni kibao ni kawaida sana Mombasa.., Dar hizi bado ni mshangao, The best 007 poleni 😂😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 2426325
View attachment 2426327
View attachment 2426330
Kwani lazima tufanane mzee.?Watakujia na matusi tu sio hoja zenye mashiko
Ukweli utabaki kuwa ukweli tu. Malengo yetu kwny ring road zetu kwa sasa ni kuunganisha highway zetu kuu ambayo ni ile ya mbagala inayotoa magari kwnd kusini ya pili ni Nyerere road ambayo inatoa magari kuelekea pwani ya tatu ni Morogoro road na ya nne ni Bagamoyo road so ring roads zetu zote must connect barabara zote hizo nilizotaja hapo juu kwny mizunguko yake.Watakujia na matusi tu sio hoja zenye mashiko
Ukweli hua haupindi ilo ndio tatizo,ukiwa unapenda kupindapinda sana unakua tahira,unless labda kama hujui unalofanyaKwani lazima tufanane mzee.?
Sio lazima kuwa na ring roads we famba.Ukweli hua haupindi ilo ndio tatizo,ukiwa unapenda kupindapinda sana unakua tahira,unless labda kama hujui unalofanya
Kwasababu hujui kwanza ni k2 gani utajuaje faida yakeSio lazima kuwa na ring roads we famba.
Wewe ndio hujui ring roads ni kitu gani.. ndio mana umeshupaliaKwasababu hujui kwanza ni k2 gani utajuaje faida yake
3×2 kwetu ni third class lakini ina AC na Audio visual equipmentKwani ya Tanzania ndio sio 3×2. Just accept that mumeletewa mitungi.
After seeing the refurbished coaches Tanzania has got. I can now proudly say that Kenya got a better deal.
View attachment 2426153



maumivu yamefika mpaka kwenye moyo.Basic needs shelter, food and health sasa hapo hawako poa hata kimojawapo. Shelter/slums, food/hunger, health/only the richHawa ni SUPER NJAA,wasituambie kitu,kama huwezi kujitosheleza kwa chakula cha watu wako ni maskini wa kutupwa.![]()
Tena nilisahau inakuja kuunganishwa na ile barabara ya kigamboni ni kero sana kuona hatuna hata ring road yoyote iliyokamilika na ukienda kwny bajeti zote huwa zinatengewa pesa japo kiduchu sana, tumezoea kuyakimbia maradhi ambayo mwisho wa siku yanatuumbua na tiba yake inakuwa ngumu sanaAngalieni proposed ring road zetu kwny hiyo attachment