Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Hayawi hayawi
Ni mabehewa tuu yamekuja (vichwa bado) au ndo watatumia kile kichwa cha mkandarasi kufanyia majaribio?
Hayawi hayawi
Oh! Shut up! Kwenda zako huko!
Kimbelembele kingii. Zipakwe yellow kwani ni za yanga hizo!



Huu Ni uzushi TRC walikanusha.Acheni kununua vitu second hand bro😂😂
Dar umeme mgao banaa, hapa kazi tu......
Au siyo? 👇They are really not so different from Kenya’s SGR carriages. The color coordination is ugly. They should’ve at least painted them in yellow.
Ona punguani hili 😂😂.Im one of biggest haters wa sa100 na serikal ya sasa ilivyo dhaifu na kwa position niliyonayo naifanya iwe dhaifu zaid😆
Ok. Tuendelee na hoja nyingine.. kweny BUT yako, what is the point ya treni ya Tanzania kuwa coloured yellow?
Unasema Watanzania mnapenda kuhojiana wakati unaquestion mwenzako kwa kuquestion vitu unavyoamini. Hivi hujioni mnafiki?Kila mtu (kwa watanzania) yuko huru kumquote mwenzake na kumkosoa, kama hutaki uko huru kumblock kama nilivyoblock bwana Kivvelu😄.. watanzania ni kawaida yetu kuhojiana sio kama wakenya mtu anajua anasema uongo wenzake wanamkalia kimya.. im just trying understand why kila siku in kila kitu 'but this but that' ? Jack of all trade? Im just curious on that
View attachment 2424554View attachment 2424557
🤣 🤣 vuta subra!Ni mabehewa tuu yamekuja (vichwa bado) au ndo watatumia kile kichwa cha mkandarasi kufanyia majaribio?
Au sio?Ona punguani hili 😂😂.
Sasa wewe unafanya Kazi kwa niaba ya Samia au Nchi? Wewe Ni mpumbavu wa kiwango Cha septic tank..
Good enough Ni kwamba nyie wachache Hakuna mtakachofanikiwa na ombea shetani wako afanye usigundulike..
They already did it, tokea 2020 Dar is nothing.., siku hizi hawapendi Knight Frank, eti ina waonea., Nairobi rocks in their reports even ya 2022 we rule!.., Dar ilihara kitambo., slow progress, nchi hafifu.,if vetting were conducted today by knightfrank or pricewaterhousecoopers, on a level playing ground..
i swear✋🏽 nairobi would remove dar's pants down... i mean all the way down down...... 🧘🏾♀️
nbiView attachment 2423493
darView attachment 2423428
Huenda jamaa ni mkunya kweli!!!!Kama atakuwa ni mkunya basi atakuwa ni mkamba, maana mkamba na yellow.![]()
Hizo ndege ni brand new, Tz ndiyo ilikuwa nchi ya kwanza Afrika kuanza kutumia hizo ndege, that means hzo ndege bado zipo kwenye majaribio kama zinazingua zinarudishwa kiwandani kwa gharama za air bus wenyewe, shida iko wapi apo. Punguza wivu wa kike.Bahati mbaya hii, faida kwa Air Tanzania ni ndoto ya alinacha, sasa haya! poleni watanzania, hii biashara iko na wenyewe..,
View attachment 2424734
Inaitwa bahati mbaya.., kila mti mnajaribu kukwea unateleza, poleni sana., mnahitaji kufanyiwa tambiko ili mpone, ama mkubali ile tambiko kuu ya msalaba pale golgotha/Kalvari, hiyo ni tosha, poleni sana 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Hizo ndege ni brand new, Tz ndiyo ilikuwa nchi ya kwanza Afrika kuanza kutumia hizo ndege, that means hzo ndege bado zipo kwenye majaribio kama zinazingua zinarudishwa kiwandani kwa gharama za air bus wenyewe, shida iko wapi apo. Punguza wivu wa kike.
We don't have blackouts unnecessarily or power rationing, wacha kulazimisha tufanane, ungefanya uchunguzi, Kenya is not Nigeria or SA ama nyie fukara na bado mna ration stima, kwa lipi? hamuna industries mingi.., tatizo ni nini?..,Hata Kunyaland umeme Ni mgao,South Africa ndio usiseme 👇