Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Geza Ulole Why are you so mad? I asked a simple question but you couldn’t help insulting me. The problem with many of you is that you are too childish to engage in a meaningful conversation. And your assumptions for land allocation toward solar power generation are completely unrealistic. We have vast semi arid land that isn’t used for any agricultural production. And you haven’t talked about wind power because you know for a fact that it can be used parallel with agricultural production. I didn’t say that we should abandon hydroelectric power, I just asked about other potential energy forms that could be exploited.

joto la jiwe coodip1 muhogo_kiks
All r unreliable n hear from someone that knows RE in depth!
 
As a matter of fact, ukame tayari umeanza kuathiri mto Rufiji. Even SSH talked about it.

Also, coal is neither sustainable nor renewable. But nuclear power could potentially solve power problems in Africa. The only problem is managing the power plants and the technical knowledge to run them.
Ukame ni kitu periodical which has been happening since the beginning of time. Rufiji also floods am sure.

Africa should not be capped by the west through phrases like 'sustainable' and 'renewable' if there is coal in Africa let it be used to produce power. We can't have coal in the ground while people don't have power at home. Ni ya nini ikikaa kwa mchanga bure?
 
As a matter of fact, ukame tayari umeanza kuathiri mto Rufiji. Even SSH talked about it.

Also, coal is neither sustainable nor renewable. But nuclear power could potentially solve power problems in Africa. The only problem is managing the power plants and the technical knowledge to run them.
South Africa has 100% technical knowledge on how to go about nuclear power, they even had nuclear weapons. SA also has large deposits of uranium.
 
Unajua hata kuendeleza lazima kichwa kichaji vizuri, mfano ilikuwa tujenge reli kama ya Kenya, mzee akasema tujenge ya umeme na yenye speed kubwa na uwezo mkubwa wa kubeba mizigo.
Watu hawajui kwamba angeingia mtu mwenye akili kama Jpm hii awamu ingefanya mambo mengi makubwa mpaka dunia ingeshangaa.
Mambo makubwa yaliyofanyika miaka 5 ni yapi? Ufisadi mliokuwa mnafanya?
 
Aise.. sijui wanafanya vitu gani ambavyo sisi hatufaji?! Waafrika tunafeli wapi? Wenzetu wapo 2022 kimaendeleo, sisi tupo 1980's. Natamani niendelee kutype ila ntakula ban nikishusha ya moyoni.
Shusha tu mkuu ili kifua kiwe chepesi mambo mengine ukiyakalia kimya yanaumiza moyo
 
Tunachomlalamikia mama ni
1)Kulegeza/kutokuwepo na udhibiti wa matumizi ya pesa za serikali, viongozi, wanasiasa na wetendaji wengi wanatumia pesa katika safari na mikutano isiyo na tija. Mama amekua ni "role model " wao katika hili, viongozi wameanza kupishana Airports Kama enzi za Kikwete, Haina maana yoyote ya kukusanya pesa nyingi bila kudhibiti matumizi.

Niliwahi kuishi na rafiki yangu muhindi hapo Dar, alikua akiniambia hivi" You know what Joto la jiwe, we Indians do make money, equally you Africans do make money too, the difference is on expenditures, Africans do spend money very very unnecessarly".

Ukweli ni kwamba, uongozi wa SSH hauna nidhamu yoyote katika kudhibiti matumizi ya pesa za umma. Yeye mwenyewe Amekua ni mfano wa hovyo katika hili, watu hawaogopi tena kuchota pesa za umma na wakurugenzi kujinunulia magari ya thamani, Kuna mkurugenzi wa Halmashauri Moja alijinunulia bastola yenye thamani ya Tshs.3M kwa kutumia pesa za Halmashauri.
Wakurugenzi waliojinunulia magari ya mil.400 na 500 kwa Nini hamkuwadhibiti?

Hakuna pahala Hadi sasa unaweza thibitisha huo ufujaji wa pesa..

Na hakuna mwaka hata mmja wa Mwendakuzimu ufanisi wa serikali kwenye delivery uliwahi fikia walau 90% zaidi zaidi ni kupika takwimu tuu..

Mwaka wa kwanza kabisa wa Rais Samia alifanikisha utekelezaji wa bajeti kwa 97% na hata Speaker alipongeza kwa hili..

Mengine ni ushabiki na hates zisizo na msingi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221108-115901.png
    Screenshot_20221108-115901.png
    53.8 KB · Views: 9
tuusan, nchi lazima iwe na vipaumbele na kuvisimamia kwa nguvu zote. Enzi za Nyerere vipaumbele vilikua ni Elimu, Afya, kilimo na viwanda.
Kwa uwezo wa uchumi wetu wakati ule, hayo yalitosha Sana kukausha pesa ya taifa.

Nyerere alifanikiwa kujenga shule nyingi na kutoa Elimu na Afya Bure, wakulima walipewa pembejeo Bure au kwa malipo kidogo Sana, wakulima hawakukopwa mazao yao. Viwanda vilijengwa na kutapakaa nchi nzima.

Ktk kutimiza vipaumbele hivyo, baadhi ya maeneo yalidumaa kabisa, Barabara na reli vilidumaa, mishahara ya watumishi ilikua midogo Sana, bidhaa muhimu hazikupatikana madukani, zikiwemo nguo, sabuni, sukari na vinginevyo. Watumishi hawakulalamika Sana kwasababu Nyerere alikua alieleza nini anataka kuifanyia nchi.

Magufuli pia alikua na vipaumbele vyake, reli, Barabara, viwanda, Afya na Elimu na ujenzi wa meli na kufufua ATCL, nidhamu na uwajibikaji serikalini, kubana matumizi serikalini


Alikua akisema kwamba, hatoweza kuongeza mishahara hadi atakapokamilisha hiyo miradi, sote tuliona ni kiasi gani hii miradi ambayo watangulizi wake waliogopa hata kuigusa lakini yeye aliamua kuianza.

Kati ya Kikwete ambaye kila mwaka alikua akiongeza mishahara na kusafiri kila wiki lakini alishindwa hata kujenga daraja la Wami, na Magufuli ambaye alikua hasafiri Wala kuongeza mishahara lakini alifanikiwa kukusanya pesa ya kujenga
1)Bwawa la Nyerere $2.9B
2)Daraja la Kigongo busisi Tsh 700B
3)Ndege 11 za ATCL $700M
4)Upabuzi wa Barabara ya Kibaha $60M
5)Daraja la Wami
6)Mali ya MV Mwanza Tsh 90M
7)SGR Dar - Moro $1.9B

Hivi kweli unasahau haya yote eti kwasababu watumishi wa serikali wasiozidi 2M hawajaongezewa mishajara?.

Sasa ukiacha kuongeza mishahara, tena kwa asilimia ndogo ambayo bado haiwatoshi ninyi watumishi hebu tupe vipaumbele vya SSH, ukiacha hiyo miradi aliyoikuta.
Kama huwezi elewa hata vipaombele vya Serikali ya awamu ya 6 wewe si no sawa na jalala tuu na hupaswi kujibiwa maana unaonekana unaongozwa na hisia badala ya uhalisia..

Jibu ni.kwamba hakuna vipaombele,wewe ndio unavyo.
 
Benki ya dunia huwa wanatoa Mikopo kwani huwa tunaenda kuwatembelea.
Museveni yuko hapo pamoja na ujinga wake, hatembei na Mikopo anapata, hizi safari ni excuse za watu kupiga pesa na kutalii.
Nasikia symbion nao wamelipwa mabilioni haraka sana.
Wakati mnaua kilimo na kumwaga korosho za wakulima kwa kukosa kwa kuzipeleka ,hii hapa faida ya kutembea sasa kwa Rais 👇
 

Attachments

  • XFdwtoxlfb6HW42x.mp4
    5.9 MB
Hakuna mtanzania anayevutiwa kuja Kenya hata iweje, mazingira ya huko hayaruhusu, nchi kame, crime everywhere, magonjwa ya kila aina, hali ya hewa mbovu, pesa hakuna wala chakula hakuna, hakuna starehe zaidi ya kuwaza chakula 24/7, nyie Wakenya na watu wote East and Central Africa ndiyo mna dream kuishi Tanzania even you.
yaani kwa maongezi yako, umefanya kenya kuonekana finyu sana, na tz kama ndio king wa east africa,
na ilhali ata foreign tourists wakiutizama hizi data, ata wao watajijazia kua kenya ndo mbabe mwenye levels katika ukanda huu. its not rocket science
Screenshot_20220910-062921_Chrome.jpg
Screenshot_20220910-063643_Chrome.jpg
Screenshot_20220910-063836_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom