Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu kuwa mkweli, unawezaje kumsifia mtu anayemalizia kitu ambacho tayari kilianzishwa na kumpuuza muanzilishi mwenyewe?. Kama sio unafiki, mbona unasema miradi yote iliyofanyika kipindi cha Magufuli ni zao la Kikwete na Mkapa lakini husifii JPM kwa kuimalizia?.

Flyovers zote za Dar ni wazo la Magufuli, alianzisha mwenyewe na kutekeleza mwenyewe. Bwawa la Umeme la Nyerere ni wazo la Nyerere lakini utekelezaji wake(Master minder) ni JPM na umaliziaji wake ni SSH.

Meli mpya na ukarabati wa meli zote ziwa Victoria ni mawazo ya JPM na utekelezaji wake ni JPM by 80%

Kufufua ATCL ni wazo la JPM na utekelezaji wake ni JPM by 90%. Upanuzi wa Barbara ya Kimara Kibaha na daraja la Wami na ujenzi wa miradi ya kimkakati yakiwemo masoko na viwanja vya ndege na stand za mabusi ni JPM huyo mkuu.

Bado tunasubiri mama naye abuni miradi mipya wakati akiendelea kuimalizia hiyo aliyoikuta, bado nchi yetu ni changa Sana, Kuna maeneo mengi Sana yanahitaji kufanyiwa ubunifu, anachopaswa ni kutulia nchini na kubuni miradi ya maendeleo
Nadhani wewe unashida fulani,
Ameanzisha ama hakuanzisha iyo sisi haituhusu,Kazi ya serikali ni nn so far?
Haiwezekani tuko apa jukwaani bado tunasifia Sijui JPM ama SSH, ni suala la serikali kama serikali na ni muendelezo wa mambo tu hapa haya mambo yote yapo kwenye makaratasi tayari ...
Mfano....

Alieanzisha Tanroads ni mkapa lakini hakuweza kujenga barabara madaraja na viwanja vyote nchini kutokana na sababu mbalimbali sasa tutoke uko tujadili mambo ya msingi
 
Mkuu kuwa mkweli, unawezaje kumsifia mtu anayemalizia kitu ambacho tayari kilianzishwa na kumpuuza muanzilishi mwenyewe?. Kama sio unafiki, mbona unasema miradi yote iliyofanyika kipindi cha Magufuli ni zao la Kikwete na Mkapa lakini husifii JPM kwa kuimalizia?.

Flyovers zote za Dar ni wazo la Magufuli, alianzisha mwenyewe na kutekeleza mwenyewe. Bwawa la Umeme la Nyerere ni wazo la Nyerere lakini utekelezaji wake(Master minder) ni JPM na umaliziaji wake ni SSH.

Meli mpya na ukarabati wa meli zote ziwa Victoria ni mawazo ya JPM na utekelezaji wake ni JPM by 80%

Kufufua ATCL ni wazo la JPM na utekelezaji wake ni JPM by 90%. Upanuzi wa Barbara ya Kimara Kibaha na daraja la Wami na ujenzi wa miradi ya kimkakati yakiwemo masoko na viwanja vya ndege na stand za mabusi ni JPM huyo mkuu.

Bado tunasubiri mama naye abuni miradi mipya wakati akiendelea kuimalizia hiyo aliyoikuta, bado nchi yetu ni changa Sana, Kuna maeneo mengi Sana yanahitaji kufanyiwa ubunifu, anachopaswa ni kutulia nchini na kubuni miradi ya maendeleo
Siasa za husda haziendelezi nchi kwa hiyo hiyo miradi ya JPM iachwe aanzishe yake kama mwendazake alivyouweka kando mradi wa Bagamoyo port?

Kama ya JPM mbona isiishe? Hivi unajua kwa design ya ujenzi wa SGR wa JPM yaani kwa kudunduliza SGR Ingechukua miaka mingi sana?
 
Mkiwa mnatwangana makonde msisahau kutupiana hii ili kutitiza ujumbe 😂
1667502448617.jpg
 
Ufisadi wa kutisha KIA, mabilioni yapigwa bibi tozo yupo busy na kujichukulia mikopo zanzibar hana habari kabisa

Hii nchi imerudi shimoni kwa kasi ya ajabu

Hata wew kama upo kwenye nafas ya kupiga awamu hii, piga mkuu utajirike.
Kwangu, tatizo sio yey kuwa rais (ilikuwa haikwepek yey kuwa rais kwa sababu za kikatiba), tatizo ni eti nae anatazamia.. 2025😅
 
Mkuu kuwa mkweli, unawezaje kumsifia mtu anayemalizia kitu ambacho tayari kilianzishwa na kumpuuza muanzilishi mwenyewe?. Kama sio unafiki, mbona unasema miradi yote iliyofanyika kipindi cha Magufuli ni zao la Kikwete na Mkapa lakini husifii JPM kwa kuimalizia?.

Flyovers zote za Dar ni wazo la Magufuli, alianzisha mwenyewe na kutekeleza mwenyewe. Bwawa la Umeme la Nyerere ni wazo la Nyerere lakini utekelezaji wake(Master minder) ni JPM na umaliziaji wake ni SSH.

Meli mpya na ukarabati wa meli zote ziwa Victoria ni mawazo ya JPM na utekelezaji wake ni JPM by 80%

Kufufua ATCL ni wazo la JPM na utekelezaji wake ni JPM by 90%. Upanuzi wa Barbara ya Kimara Kibaha na daraja la Wami na ujenzi wa miradi ya kimkakati yakiwemo masoko na viwanja vya ndege na stand za mabusi ni JPM huyo mkuu.

Bado tunasubiri mama naye abuni miradi mipya wakati akiendelea kuimalizia hiyo aliyoikuta, bado nchi yetu ni changa Sana, Kuna maeneo mengi Sana yanahitaji kufanyiwa ubunifu, anachopaswa ni kutulia nchini na kubuni miradi ya maendeleo
Unajua hata kuendeleza lazima kichwa kichaji vizuri, mfano ilikuwa tujenge reli kama ya Kenya, mzee akasema tujenge ya umeme na yenye speed kubwa na uwezo mkubwa wa kubeba mizigo.
Watu hawajui kwamba angeingia mtu mwenye akili kama Jpm hii awamu ingefanya mambo mengi makubwa mpaka dunia ingeshangaa.
 
Siasa za husda haziendelezi nchi kwa hiyo hiyo miradi ya JPM iachwe aanzishe yake kama mwendazake alivyouweka kando mradi wa Bagamoyo port?

Kama ya JPM mbona isiishe? Hivi unajua kwa design ya ujenzi wa SGR wa JPM yaani kwa kudunduliza SGR Ingechukua miaka mingi sana?
Geza, bado Nina imani Sana na uwezo wako wa kuelewa na kujenga hoja za nguvu, japo siku hizi umeamua kwa ridhaa yako kuzima Engine na kukumbatia ushabiki zaidi.

Nani aliyesema miradi isimaliziwe?, Soma hii paragraph yangu ya mwisho hapo juu, ngoja nikuwekee hapa chini na ulinganishe na hii post yako

{Bado tunasubiri mama naye abuni miradi mipya wakati akiendelea kuimalizia hiyo aliyoikuta, bado nchi yetu ni changa Sana, Kuna maeneo mengi Sana yanahitaji kufanyiwa ubunifu, anachopaswa ni kutulia nchini na kubuni miradi ya maendeleo}

Kuhusu reli ya SGR kuchukua muda mrefu chini ya Magufuli, sio kweli kwasababu tayari Magufuli alishakubaliana na yule mkuu wa AfDB ambaye walikuja kuwa Person friends kwamba AfDB ndiyo itatoa pesa kumalizia phases zilizobaki, na ndiyo iliyotoa hizo pesa.

Hata alipokwenda Chato kuzuru kaburi la Magufuli, mkuu wa AfDB alisisitiza kwamba, heshima pekee aliyonayo kwa Magufuli, ni kuhakikisha kwamba Yale waliyokubaliana kati yake Kama mkuu wa AfDB na Magufuli Kama rais wa TZ, ni kuhakikisha kwamba anayatimiza, hasa mradi wa SGR.
 
Back
Top Bottom