Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe fukara haujui lolote, njoo uwachukue wenzako huku basi.., ask yourself mbona hawataki kukaa huko paradiso wanakimbilia jehanamu?.., taifa lenu ni hovyo.., taifa la mihogo na maharage vijijini monday to monday(zero balanced diet), hakuna hela, matokeo: multidimensional ufukara..., Kenya mkombozi wao, ata wakimbizi hawaendi Tanzania kwa wingi, ni Kenya, kulikoni? mko na matatizo flani nyinyi
Narudia tena, hakuna mtanzania anayevutiwa na nchi yoyote East and Central Africa sio tu Kenya, reasons ndiyo hizo hizo nilizosema, hali ya hewa, crime, pesa hakuna, starehe hakuna, magonjwa n.k

Kuhusu ombaomba tulishasema ombaomba anayemiliki passport na anayeweza kujigalamia usafiri kutoka Tz kuja Kenya huyo sio ombaomba ni muwekezaji.

Kuhusu wakimbizi inafahamika, wakimbizi wengi walikuwa wanakimbilia Tz lkn baada ya nchi yenu kuona fursa ya misaada kutoka international organizations ikabidi muwavute kilazima ila sisi hatutaki wakimbizi nchi hii kwa sasa.
 
Narudia tena, hakuna mtanzania anayevutiwa na nchi yoyote East and Central Africa sio tu Kenya, reasons ndiyo hizo hizo nilizosema, hali ya hewa, crime, pesa hakuna, starehe hakuna, magonjwa n.k

Kuhusu ombaomba tulishasema ombaomba anayemiliki passport na anayeweza kujigalamia usafiri kutoka Tz kuja Kenya huyo sio ombaomba ni muwekezaji.

Kuhusu wakimbizi inafahamika, wakimbizi wengi walikuwa wanakimbilia Tz lkn baada ya nchi yenu kuona fursa ya misaada kutoka international organizations ikabidi muwavute kilazima ila sisi hatutaki wakimbizi nchi hii kwa sasa.
Kenya sio salama,wageni kibao wamekua wakishuhudia ilo...
Naweza kwenda kenya kutembea sio kuweka makazi kabisa...
Naweza kufanya kazi ya mkataba alafu nikarudi Tz
 
no Don YF, i was there; ask me..

the police were either demanding for, Kenyan ID or Passport; or EA Visa if u were a visitor.

Free Movement Protocol has not been implemented yet, and don't think it shall be implemented, anytime soon!..

i happen to ask one ugandan, why they were coming to kenya. And he answered me that they are looking for greener pastures, and that kenya is the economic powerhouse in these region.. being the 2nd most sought after economy; north of limpopo, south of the sahara... 🤔🤔
ID inafanya bro, that's the free movement, coz even in Kenya, being Kenyan bila ID ukishikwa karao wata ku harass, going to Uganda or coming to Kenya at border points ni ID pekee.., kwani ulipita border gani? lini? Busia ama Malaba? ni ID pekee, been to Kampala severally and I have Ugandan buddies who cross anytime any day.., ID pekee ndio requirement na kama hauna ID any other identification kama passport will do, but ID iko sawa. Covid19 vaccination certificate na yellow fever, ndio hiccups for travelers, but unaweza pita without, if u know u know., have used ID pekee through the immigration, kwanza ni one stop border point both Kenya and Ugandan immigration officials are in the same building, separated by a wall, one window ni Kenya the other Uganda.
ID thing started with Rwanda and Kenya pekee, but as at now Ugandans having IDs they cross without being asked for passports or temporary pass, na pia Uganda do not ask Kenyans for passports.., not unless wame change with Ruto's presidency wewe niambie.., (ama kama u didn't carry any recognized identification document u won't pass)
1667913269988.png

1667913280436.png

1667913703753.png

1667913712866.png
 
wish tu ungalijua..
and how i hate tanganyika. i see it as a very laid back country, people are slow and lazy. no motivation or innovation here.. no global language here, no international organizations here, hence no opportunities here whatsoever..
a very reserved and conserved communist country this one!
Huna sababu yoyote ya kuichukia Tz, ndiyo dream country ya millions of East African people. Ni land of peace na kimbilio la waafrika wote na dunia kwa ujumla.
 
Narudia tena, hakuna mtanzania anayevutiwa na nchi yoyote East and Central Africa sio tu Kenya, reasons ndiyo hizo hizo nilizosema, hali ya hewa, crime, pesa hakuna, starehe hakuna, magonjwa n.k

Kuhusu ombaomba tulishasema ombaomba anayemiliki passport na anayeweza kujigalamia usafiri kutoka Tz kuja Kenya huyo sio ombaomba ni muwekezaji.

Kuhusu wakimbizi inafahamika, wakimbizi wengi walikuwa wanakimbilia Tz lkn baada ya nchi yenu kuona fursa ya misaada kutoka international organizations ikabidi muwavute kilazima ila sisi hatutaki wakimbizi nchi hii kwa sasa.
Ata ukirudia mara billioni moja, hautazuia watanzania kujaa Kenya wakijitafutia riziki.., inakuuma ila ndio ukweli, fikra zako, na kutamani isikue ni ukweli na roho yako chafu haibadilishi ukweli, zoea nenda ukalilie kwa choo..,
Alafu ya NGOs unaandika porojo kwa vile ni aibu wakimbizi hawataki nchi fukara na ya wazembe kama Tanzania, yaani kuna limited help or zero assistance for mkimbizi, Kenya kuna structures and organizations to handle such. Porojo pelekea wenzako pale vijiweni, uongo naumbua, mko hovyo wacha kujiliwaza na excuses za kiboya.,
 
Kenya ni nchi ya kimavi mavi sn.
Hizi ni hasira 😂 😂 😂 alafu omba omba wanawatoroka wanakimbilia nchi ya kimavi eti? mna laana ya kiaina! mtu atoke paradiso akimbilie kutafuta riziki jehanamu! uko na matatizo ya akili mrogi😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Ata ukirudia mara billioni moja, hautazuia watanzania kujaa Kenya wakijitafutia riziki.., inakuuma ila ndio ukweli, fikra zako, na kutamani isikue ni ukweli na roho yako chafu haibadilishi ukweli, zoea nenda ukalilie kwa choo..,
Alafu ya NGOs unaandika porojo kwa vile ni aibu wakimbizi hawataki nchi fukara na ya wazembe kama Tanzania, yaani kuna limited help or zero assistance for mkimbizi, Kenya kuna structures and organizations to handle such. Porojo pelekea wenzako pale vijiweni, uongo naumbua, mko hovyo wacha kujiliwaza na excuses za kiboya.,
Tangu lini mkimbizi akachagua pakwenda, hivi unajisikia utopolo unaoongea? Ikiwa mkimbizi anakimbilia mpk Kenya ndio itakuwa Tz?

Narudia tena, hakuna mtanzania anayevutiwa na nchi yoyote hapa EA zaidi ya Tz, huwa mnasema watanzania hawapendi kuzurura, sasa waende wapi ikiwa nchi yao ina kila kitu?

Nyie yatima wa kitaifa ndiyo mzurure, mtafute remittance ili familia zenu zitoke kwenye ufukara wa kutisha lkn sio Watz.

Najua mnaona wivu Mwenyezi Mungu kutupendelea Watz lkn ndiyo ishakuwa hivyo, bakini na nchi yenu na mumshukuru Mungu kwa yote.
 
Hizi ni hasira alafu omba omba wanawatoroka wanakimbilia nchi ya kimavi eti? mna laana ya kiaina! mtu atoke paradiso akimbilie kutafuta riziki jehanamu! uko na matatizo ya akili mrogi
Shukuru Mungu kwa yote na baki huko huko huna nafasi huku kwetu, hatutaki kuchangamana na nyie wanuka njaa.
 
Tangu lini mkimbizi akachagua pakwenda, hivi unajisikia utopolo unaoongea? Ikiwa mkimbizi anakimbilia mpk Kenya ndio itakuwa Tz?

Narudia tena, hakuna mtanzania anayevutiwa na nchi yoyote hapa EA zaidi ya Tz, huwa mnasema watanzania hawapendi kuzurura, sasa waende wapi ikiwa nchi yao ina kila kitu?

Nyie yatima wa kitaifa ndiyo mzurure, mtafute remittance ili familia zenu zitoke kwenye ufukara wa kutisha lkn sio Watz.

Najua mnaona wivu Mwenyezi Mungu kutupendelea Watz lkn ndiyo ishakuwa hivyo, bakini na nchi yenu na mumshukuru Mungu kwa yote.
Hela ya kuzurura Africa mtoe wapi, uzembe na ushamba ndio tatizo, hamuna exposure, mpo mpo tu na ushamba kwa wingi, usijitekenye, mko down in EAC.., 😂😂😂😂😂😂😂😂
 
also tell me why unemployment rate in SA is about 30% (among the highest in africa),
crime rates and homicide among the highest in the world..
yet u.. and especialy u TZs, nigerians, congolees, zimbabweans, ethiopians, somalis still want to see your asses gets down there by all means possible..
unemployment sio kigezo cha nchi flani kua inattractive..

kwa baba yenyu hapaView attachment 2410455View attachment 2410421
South Africa has got many opportunities because of it's industrial sector is the strongest in Africa, it's mining industry and Agriculture industry are all the strongest in Africa

15% of South African(Whites) are very rich, they can employ many foreigners, they are not interested with black South Africans, that's why other black from other African countries get jobs while black South African don't, that is the reason why unemployment rate reads high in South Africa.

My friend, you must accept reality, Kenya and Nigeria are the last countries for sane person to consider to go looking for jobs.

Be honest to yourself, can you think of going to Nigeria looking for jobs from Kenya with high rate of unemployment, crime, poverty and other problems that Nigeria has just because Nigeria has the biggest economy in Africa?. If you have to choose between Nigeria and South Africa, which one would you prefer to go and searching for jobs?, Which has got biggest economy among them?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
also tell me why unemployment rate in SA is about 30% (among the highest in africa),
crime rates and homicide among the highest in the world..
yet u.. and especialy u TZs, nigerians, congolees, zimbabweans, ethiopians, somalis still want to see your asses gets down there by all means possible..
unemployment sio kigezo cha nchi flani kua inattractive..

kwa baba yenyu hapa👇🏽View attachment 2410455View attachment 2410421
Watanzania wengi ni makapuku tu, mazezeta kuruka 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
wish tu ungelijua..
and how i hate tanganyika. i see it as a very laid back country, people are slow and lazy. no motivation or innovation here.. no global language here, no international organizations here, hence no opportunities here whatsoever.. its a country in the dark, its among the least enlightened nation, a true characteristics of communist countries.. its brothers being cuba, north korea, etc
a very reserved and conserved communist country this one!
Still Tanzania is the first country in Africa Kenyans are running to looking for jobs. Tanzania is the biggest source of Kenyans' remittances in Africa followed closed by South Africa, Tanzania has the biggest number of Kenyan companies in Africa, Tanzania hosts the biggest number of Kenyans in African. Kenya dependence on Tanzania is unimaginable.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
My friend, you must accept reality, Kenya and Nigeria are the last countries for sane person to consider to go looking for jobs.



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Njoo uchukue wendazimu walio jaa Kenya kutoka Tanzania, hawkers, boda boda riders, vinyozi, salons na omba omba wote mnao tujazia huku.., hiyo Tanzania itakua ni hovyo sana kama wanaikimbia ili kujitafutia hela Kenya, your opinion and feelings are null and void, screaming facts speak otherwise😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Still Tanzania is the first country in Africa Kenyans are running to for looking for jobs. Tanzania is the biggest source of Kenyan's remittances in Africa followed closed by South Africa, Tanzania has the biggest number of Kenyan companies in Africa, Tanzania hosts the biggest number of Kenyans in African. Kenya dependence on Tanzania is unimaginable.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Tunawatafuna tukisaidiana na wahindi na waarabu, plus wazungu..., ila Watanzania wanakuja Kenya kujidunisha na kutafuta pesa kwa njia zile za chini sana; hawkers, beggars, salonists, boda boda riders(in South C wamejaa)..., idiot.
 
who told u wind and solar r reliable sources? Do u know how many sq km of land in form of a solar farm are needed to produce 1 MW from solar power? Muache ujinga wa kutoona the industrious West wakihepa hizo forms!

U r like substituting say the 2100 MW * 3 hectares of potential agricultural land and yet no reliable source of taping the heat from the sun and storing that power before transmission to end users! Leta kiwanda kimoja cha steel au mgodi mmoja duniani kikiwa au ukiwa powered na solar energy!



Huyo Mkenya ni mpumbavu sana! Ni kama wapumbavu wengine wakujibambanua kuwa werevu kisa tu anaishi Ulaya or Marekani!

Wakenya wajinga sana.
 
who told u wind and solar r reliable sources? Do u know how many sq km of land in form of a solar farm are needed to produce 1 MW from solar power? Muache ujinga wa kutoona the industrious West wakihepa hizo forms!

U r like substituting say the 2100 MW * 3 hectares of potential agricultural land and yet no reliable source of taping the heat from the sun and storing that power before transmission to end users! Leta kiwanda kimoja cha steel au mgodi mmoja duniani kikiwa au ukiwa powered na solar energy!

Geza Ulole Why are you so mad? I asked a simple question but you couldn’t help insulting me. The problem with many of you is that you are too childish to engage in a meaningful conversation. And your assumptions for land allocation toward solar power generation are completely unrealistic. We have vast semi arid land that isn’t used for any agricultural production. And you haven’t talked about wind power because you know for a fact that it can be used parallel with agricultural production. I didn’t say that we should abandon hydroelectric power, I just asked about other potential energy forms that could be exploited.

joto la jiwe coodip1 muhogo_kiks
 
Back
Top Bottom