joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Kuhusu mradi wa Bandari ya Bagamoyo, kabla hata ya Magufuli kuingia madarakani, sikua muumini wa huo mradi tangu enzi za Kikwete.Siasa za husda haziendelezi nchi kwa hiyo hiyo miradi ya JPM iachwe aanzishe yake kama mwendazake alivyouweka kando mradi wa Bagamoyo port?
Kama ya JPM mbona isiishe? Hivi unajua kwa design ya ujenzi wa SGR wa JPM yaani kwa kudunduliza SGR Ingechukua miaka mingi sana?
Bado sioni faida ya mradi wa Bandari ya Bagamoyo kwa Tanzania, nchi yenye Bandari 3, Bandari za Tanga na Dar" are just under 200km apart. Bado Bandari zetu zinao uwezo wa kutumika zaidi ya miaka 70 ijayo bila kuzidiwa.
Mimi sioni umuhimu wowote kwa Sasa kujenga Bandari kubwa kama Bagamoyo badala yake serikali ingejikita zaidi katika kuboresha kilimo na viwanda vidogo vidogo vya kuongeza thamani.










