Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣🤣 Eti the coolest estate in Afrika 🤣🤣🤣 Unataka tupost coolest estates in Afrika au.? Kama mnaweza toboa hata top ten.. eti number 28 in the world 🤣🤣🤣🤣🤣 Unazungumzia dunia ipi kwanza.? Mbona mnapenda kujipaisha mzee.?
Hapo Tanzania hivi kuna Estate inaweza itwa cool kweli?🤣
 
Moaja kati ya mavitu ya hovyo Nyerere kayafanya ni huu upumbavu wa Liberation of Southern Africa. Tungesaidi kiaina tu na sio kujitoa mazima at the expenses of our economy and our wellbeing.

Tungekuwa na uchumi mkubwa sana leo kama sio ujinga ule wa Nyerere. Sad, tukiwa kwenye uhitaji kama wao, haito kaa itokee wafanye tuliowafanyia, NEVER.
Tatizo la Mwalimu aliamini katika utu, undugu, umoja na mshikamano, imani ya kuaminiana katika kuijenga Afrika.

Hakujua kama wenzake, ni wabnafsi, wachoyo, wajilimbikiaji wa mali za umma, alidhani wana mtazamo sawa na yeye.

Aliamini kwamba jirani yako akiwa na matatizo usipomsaidia kwa kumaliza hilo tatizo litakuja na kwako. Nchi zote zilizokombolewa kwa msaada wa Tanzania kama zingebaki kutawaliwa hata Mwalimu na viongozi wake wasingetawala kwa amani.

Angalia political instability ya Somalia jinsi inavyowatesa Kenya, je na sisi Tanzania, Uganda, South Sudan tungekuwa kama Somalia Kenya ingekuwa na maendeleo iliyonayo hivi leo?

Gharama iliyotumika Rwanda kurejesha amani iliyopotea miaka ya 90 ni kubwa kuliko ambavyo ingetafutwa huko nyuma. Tazama pia gharama inayotumiwa na Kenya kuimarisha ulinzi na usalama baina yake na Kenya ni kubwa mno kuliko ambavyo Somalia ingekuwa peace.

Kuwa na uchumi mkubwa na maendeleo halafu nchi haina amani ni sawa na kuishi na mke mkorofi, mchafu, mchonganishi, mgomvi, mwenye mdomo ndani ya ndoa lakini huko nje unajifanya huna shida yoyote kwenye ndoa ila maumivu ya ndani ni makali na machungu kama shubiri.

Nyerere was a real and visionary leader. Ameacha utaratibu mzuri, mali, siasa safi lakini zimevurugwa na hawa hawa tuliowapa madaraka, wamejimilikisha na kujilimbikizia mali za umma, nchi inatafunwa na wachache, maendeleo tutayapata iwapo kama viongozi wetu watakuwa na utu, mapenzi mema kwa Taifa letu, kuacha choyo na ubnafsi, kutanguliza uzalendo na kuimarisha amani na utulivu katika nchi yetu.

Miradi aliyoifanya Magufuli ndani ya miaka 5 ni mingi na mikubwa na hakuna mahali Tanzania iko inakomboa nchi nyingine. Viongozi wetu wawe na utashi wa kutenda kazi pasipokuwa n visingizio vya kijinga. Tuko vizuri kama tutasimamia sera zetu za kiuchumi, vipaumbele vya Taifa, tutasimamia rasilimali zetu vizuri, kujiepusha na mikataba ya hovyo na wananchi wote tuwe wazalendo tulinde uchumi wetu. Miaka 10 mbele tutakuwa nchi ya kutamaniwa na kila mmoja.
 
Tatizo kuna hawa watu hawa wenzangu na mimi wa viwanja vya mita 5, hawa ndio huwa wanaharibu mandhari ya eneo kwa kujenga hovyo hovyo. Unakuta kuna mijengo ya adabu na ukiuliza viwanja wameuza hawa wenzangu na mimi alafu wao wanabaki na mita 5 na nyumba zao wanaunga unga, na tatizo sio nyumba kuwa hovyo bali tatizo ni mpangilio wa nyumba zao uko hovyo hovyo.View attachment 2396845View attachment 2396846View attachment 2396847View attachment 2396849View attachment 2396850View attachment 2396852
Basi hata kama wanajenga hivyo wavipange vieleweke. Nakwambia unakuta septic kaipiga kwenye kibaraza cha mwenzake chemba ikitema harufu yote sebuleni
 
Hawa mahustler wamekimbia uzi baada ya kuona hayawi hayawi yanaenda kutimia mzigo wa electric trains uko majini unaelea na wao walikuwa wanasema tuwaoneshe hata cm moja ya sgr. Kuficha aibu inabidi wasepe mapema tuu.
 
Hapo ni nje kabisa ya jiji, ni nyumba za kawaida ila classic, kiafrika Africa huwezi kusema eti nyumba hizi bado sn labda kama utalinganisha na nyumba za masaki au kwingine classic. Kuhusu mchanga mji ndio unakuwa, huwezi kuita nyumba kama hii eti bado kwa level zetu, utakuwa kichaa wewe.View attachment 2396854View attachment 2396855View attachment 2396857
Afrika huwa ni nyumba kwanza halafu miundombinu ya barabara ,maji,umeme,afya baadaye inafuata. Kivule, Kisemvule, Matembele ni mbali na mji ,nchi nyingine utakuta hayo maeneo ni mashambani.
 
Kwahyo we hapo ndio unona kumeiva kinoma ...
We jamaa unaitani sana,Nyumba sio jengo tu ni pamoja na mazingira yanayozunguka pia,Hata kama hakuna paved road basi ndio ushindwe kuboresha mazingira nje ya nyumba? Anyway unaweza usinielewe ni sawa pia
Anamaanisha kupanuka kwa mji na ukilinganisha na nchi nyingine za Afrika kama nimemuelewa vizuri.
 
Anamaanisha kupanuka kwa mji na ukilinganisha na nchi nyingine za Afrika kama nimemuelewa vizuri.
Kwani 7 ukijenga jengo ndio umemaliza kujenga?kuna mazingira nje ya nyumba ndio inafanya mandhari kua nzuri...ilikua ni observation yangu
 
Back
Top Bottom