Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapo ni nje kabisa ya jiji, ni nyumba za kawaida ila classic, kiafrika Africa huwezi kusema eti nyumba hizi bado sn labda kama utalinganisha na nyumba za masaki au kwingine classic. Kuhusu mchanga mji ndio unakuwa, huwezi kuita nyumba kama hii eti bado kwa level zetu, utakuwa kichaa wewe.View attachment 2396854View attachment 2396855View attachment 2396857
Kwahyo we hapo ndio unona kumeiva kinoma ...
We jamaa unaitani sana,Nyumba sio jengo tu ni pamoja na mazingira yanayozunguka pia,Hata kama hakuna paved road basi ndio ushindwe kuboresha mazingira nje ya nyumba? Anyway unaweza usinielewe ni sawa pia
 
KICC ileeee
Waambie wakatae sasa kua sio nairobi 😂😂😂😂😂
6156A975-B8FF-4FFA-AEE7-28158748FEDB.jpeg
FEAFD6A2-9B2E-42AE-8CDE-5EC33E54B4BA.jpeg
5223C8F4-6535-4366-B135-F2FB2FE35234.jpeg
 
Kwahyo we hapo ndio unona kumeiva kinoma ...
We jamaa unaitani sana,Nyumba sio jengo tu ni pamoja na mazingira yanayozunguka pia,Hata kama hakuna paved road basi ndio ushindwe kuboresha mazingira nje ya nyumba? Anyway unaweza usinielewe ni sawa pia
Wewe ni kichaa, huo ni mji mpya Africa inajulikana, kwa hayo mazingira pako poa kabisa hakuna uchafu kuna mchanga tena ni mweupe msafi kabisa, wengi wenye hizo nyumba bado hawajahamia hapo unataka paweje, au kwasababu tumeongelea China na Cape Town ndio unaona pako hovyo, wacha mihemko.
 
Mombasa port is 8km long, Dar-is-a-slum port is 3km long 😂😂😂😂
Mombasa port 33m tonnes per year, Dar-is-a-scam port 15m tonnes per year
Mambo ni double double
Kenya GDP $120b
Danganyika GDP $60b
Screenshot_20221024-225036.jpg
Screenshot_20221024-225312.jpg
 
Wewe ni kichaa, huo ni mji mpya Africa inajulikana, kwa hayo mazingira pako poa kabisa hakuna uchafu kuna mchanga tena ni mweupe msafi kabisa, wengi wenye hizo nyumba bado hawajahamia hapo unataka paweje, au kwasababu tumeongelea China na Cape Town ndio unaona pako hovyo, wacha mihemko.
Wewe ndio kichaa bana
 
Back
Top Bottom