Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ni Cape Town?Nyie tuacheni utani hii sio level ya East Africa kabisa ni world class
 
Kawekamo Mwanza
FB_IMG_1666555381224.jpg
FB_IMG_1666555387373.jpg
 
Nilichelewa sana kaka, kwasasa najaribu kukimbizana na muda nijifunze mambo mengi zaidi,.. duniani kumeendelea vibaya mno .. we are no where close to them, na wala hatuwezi fika maendeleo yao hata kwa miaka 50 ijayo, since tunategemea investments zao uku kwetu
Uko mambele ni balaa sana kk
Mi hua naangalia nachoka tu..
 
Tatizo kuna hawa watu hawa wenzangu na mimi wa viwanja vya mita 5, hawa ndio huwa wanaharibu mandhari ya eneo kwa kujenga hovyo hovyo. Unakuta kuna mijengo ya adabu na ukiuliza viwanja wameuza hawa wenzangu na mimi alafu wao wanabaki na mita 5 na nyumba zao wanaunga unga, na tatizo sio nyumba kuwa hovyo bali tatizo ni mpangilio wa nyumba zao uko hovyo hovyo.
IMG_20221024_175205_345.jpg
IMG_20221024_174929_322.jpg
IMG_20221024_174844_653.jpg
IMG_20221024_174813_416.jpg
IMG_20221024_175814_213.jpg
IMG_20221024_175011_156.jpg
 
Nmecheka sana,izo House bado sana aisee,angalia hata barabara hamna yani full michanga...Jiji ni infrastructures bana baso tunasafari ndefu kwakweli
Hapo ni nje kabisa ya jiji, ni nyumba za kawaida ila classic, kiafrika Africa huwezi kusema eti nyumba hizi bado sn labda kama utalinganisha na nyumba za masaki au kwingine classic. Kuhusu mchanga mji ndio unakuwa, huwezi kuita nyumba kama hii eti bado kwa level zetu, utakuwa kichaa wewe.
IMG_20221024_175443_911.jpg
IMG_20221024_175330_925.jpg
IMG_20221024_175223_877.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom