Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20221024-190053.jpg
Screenshot_20221024-185932.jpg
 
🤣🤣🤣🤣 Pitia hiyo video ya kilimani ujionee 🤣🤣🤣. Upanga ni bora mara mia kuliko huo uchafu eti kilimani
Dar is slum nenda ukawahadithie wa Malawi ama watu wenu kule vijijini bana, sio sisi.., Kilimani estate in it's category haina mpinzani Dar is slum.., wacha kujikosesha ufahamu kimaksudi ilimradi tu, yaani hautulii bado una argue tu, umenyooka moyoni, moto imewaka na inachoma penyewe🤣😂😂
 
Mo Dewji kuwa mtanzania mwenye asili ya uhindi na kuwa the only dollar billionaire in the whole EA is where you kunyans draw the line?
Mo Dewji is a politician, a CCM member, huyo ni mwizi wa pesa ya umma through CCM huko Singida, anafanyia CCM wash wash ya pesa ya umma. He is not a self made billionaire.
 
Muulize hapa panaitwaje au jina la hio hotel.. niiweke kwenye bucket list ya sehem za kutembelea
Panaitwa century city, huyu mwamba baada ya kunitajia jina nikaona niende ku google nijione how does the place looks like, and this is what I've seen 👇
century-city.jpg
Century_City_Aerial_View.jpg
32025857.jpg
336650765_d030970310_b.jpg
Product253487-020.jpg
06g.jpg
765afb89764ddc44c78d9e9c96a08ff7_cropped.jpg
81bf1e0dd40f388d834d30cbff74e3b8.jpg
190387211.jpg
Century-Village.jpg
Century-City-Aerial-scaled.jpg
DT245130.jpg
roads(1).jpg
655f0e56-35f4-4c06-8d12-1b515f96a9f9.jpeg
hii sio level za AFRICA hii.. hii ndio world standard saaa.. Don YF.
 
Kilimani is a proper CBD wachana na zile ghorofa tano kando ya barabara hua tunaonyeshwa hapa eti ni CBD.

View attachment 2396725
Mtu anaokota clip with incomplete views za Kilimani then the idiot tries to argue with it, Kilimani is dope!..., Tanzanians wengi wako na wivu sana!.., inawauma sana Kilimani being mentioned as the coolest, na inaonekana wazi wazi.., 🔥🔥🔥💪💪
 
Mo Dewji kuwa mtanzania mwenye asili ya uhindi na kuwa the only dollar billionaire in the whole EA is where you kunyans draw the line?
Huyo MO DEWJI NA BAKHRESA wakunya hawawatambuhi kama ni Watanzania, ila hao wengine asili yao ni Kenya.
 
Mm huwa ni mpenzi wa picha mana najua video wengi hawaangalii, ona hii 28th coolest place in the world, road vumbi mtindo mmoja, viraka tupu juu matandabui na nguzo za miti, hawa Wakenya ni waongo waongo sn maanina, ndiyo maana ukimwambia aweke hizo criteria anaruka ruka, na bado anaitaja China in the same sentence with uchafu
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
View attachment 2396730View attachment 2396732View attachment 2396733View attachment 2396735View attachment 2396736View attachment 2396738View attachment 2396739View attachment 2396740View attachment 2396742View attachment 2396744View attachment 2396746View attachment 2396747
🤣🤣🤣🤣 Upanga west inapiga hii takataka hands down.. driving in Upanga west 👇.
 
Kilimani is a proper CBD wachana na zile ghorofa tano kando ya barabara hua tunaonyeshwa hapa eti ni CBD.

View attachment 2396725
Yaani it is the vibe in a nutshell ndio imetumika ku I rank as the coolest hood in Africa, idiots driven by jealousy hawatambui.., truth is painful for dimwits 😂😂😂😂..,
 
Mtu anaokota clip with incomplete views za Kilimani then the idiot tries to argue with it, Kilimani is dope!..., Tanzanians wengi wako na wivu sana!.., inawauma sana Kilimani being mentioned as the coolest, na inaonekana wazi wazi.., 🔥🔥🔥💪💪
No suburb in Dar is a slum can rival Kilimani, Kileleshwa, Riverside or Hurlingham. Apartments za Dar level zao ni kama za Pangani, Ngara, Eastleigh na South C.
 
Zero brain kabisaaa😂😂😂😂😂😂.., haujui unalo zungumzia wewe, umeng'ang'ania aesthetics(muonekano)sasa hiyo ndio definition ya"world class" yaani siku ile utabalehe Kisha upitie post zako, na kuelewa context ya topics utaona ulivyo kua boya, utajidharau sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂 am sure kwa hizi fikra zako utaona China kama ni first world kwa sababu ya their magnificent and ultra modern looking cities with bullet trains zenye Europe haina, uko down kilaza😂😂🤣🤣🤣
 
Ukiskia world standards ndio hukaa hivi sasa 👇.. mwanangu wa utotoni huyu yupo Capetown 👇View attachment 2396597View attachment 2396598View attachment 2396599View attachment 2396600View attachment 2396602ukiskia world standard hii ndio maana yake .. Don YF. Capetown moja hiyo.. unameza meza tu takataka wanapost walevi wenzako kisha unaleta humu 🤣🤣🤣🤣
Moaja kati ya mavitu ya hovyo Nyerere kayafanya ni huu upumbavu wa Liberation of Southern Africa. Tungesaidi kiaina tu na sio kujitoa mazima at the expenses of our economy and our wellbeing.

Tungekuwa na uchumi mkubwa sana leo kama sio ujinga ule wa Nyerere. Sad, tukiwa kwenye uhitaji kama wao, haito kaa itokee wafanye tuliowafanyia, NEVER.
 
Back
Top Bottom