Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa nini mpaka sasa watu wana ruhusiwa kujenga bila mpangilio??
Hii ndiyo shida niliyoiona alafu bado wanaendelea kujenga hovyo, ofcz hapajajaa lkn unakuta nyumba nyingi ni nzuri na za kisasa lkn hazipo kwenye mpangilio unaotakiwa, hili linakera sn kwakweli na serikali imekaa kimya, hapo kivule ni makazi mapya na watu wanajenga kweli kweli na nyumba kali tu lkn nyingi hazipo katika mpangilio mzuri, inakera sana yn mm inanikera hiyo hali kupita maelezo. Hizi nyumba zingejengwa ktk mpangilio pangependeza mno mno, yani nawaambieni kuna nyumba kali sana sijazipiga picha kwasababu ya giza kuingia lkn tatizo ni lile lile ujenzi kiholela.
 
Alafu hakuna kiongozi mkubwa amewahi kukemea hili bomu la ujenzi wa kiholela, wamekaa kimya hata Magufuli hakuwahi kuongelea hili jambo, huyu aliyepo naye ndiyo kabisaa hajui kama kuna ujenzi holela, sijui hawaoni!!!
 
Al shabaab are so free in that failed state,
As if collecting tax was not enough,
They are now giving remarks in mosques all around Kenya.
Where is kdf ?
IMG_8146.jpg
 
Hapo ni nje kabisa ya jiji, ni nyumba za kawaida ila classic, kiafrika Africa huwezi kusema eti nyumba hizi bado sn labda kama utalinganisha na nyumba za masaki au kwingine classic. Kuhusu mchanga mji ndio unakuwa, huwezi kuita nyumba kama hii eti bado kwa level zetu, utakuwa kichaa wewe.View attachment 2396854View attachment 2396855View attachment 2396857
Hahahaha Yaani mkuu hiki ni kipimo kwamba hizi nyumba zimekua za kawaida sana Tanzania kiasi cha commentators wengi humu JF wameona ni kitu cha kawaida tena kwa muono wao ni substandard lakini kwa upande wa pili huko kunyaland hizi nyumba hakuna mwenye uwezo wa kurent alieko humu ndani zikiwa huko kwao achilia mbali kuzijenga 😅

Kwa kunyaland nyumba kama hizi kujenga ni ghali mara 3 mpaka 5 ya bongo wakati kwa Tanzania hizi nyumba ni za kawaida, mimi huwa napita rural Tanzania na hizi nyumba designs hii zimetapakaa mpaka huko vijijini interior

Mfano huku ni kijijini Geita lakini angalia nyumba zao

 
Hii ndiyo shida niliyoiona alafu bado wanaendelea kujenga hovyo, ofcz hapajajaa lkn unakuta nyumba nyingi ni nzuri na za kisasa lkn hazipo kwenye mpangilio unaotakiwa, hili linakera sn kwakweli na serikali imekaa kimya, hapo kivule ni makazi mapya na watu wanajenga kweli kweli na nyumba kali tu lkn nyingi hazipo katika mpangilio mzuri, inakera sana yn mm inanikera hiyo hali kupita maelezo. Hizi nyumba zingejengwa ktk mpangilio pangependeza mno mno, yani nawaambieni kuna nyumba kali sana sijazipiga picha kwasababu ya giza kuingia lkn tatizo ni lile lile ujenzi kiholela.
Kivule viwanja bei gani kwa sasa?
 
Back
Top Bottom