Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mombasa..,
1666610074396.png

1666610085153.png

1666610095487.png

1666610111132.png

1666610140114.png

1666610149252.png
 
Hawa wanamgambo huwa wanachekesha sana, akili zao huwa hazitofautiani na wachunga ng'ombe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ebu fikiria hiki 5/5 unajenga nini hata kibanda cha mbwa hakitoshi. Wapigwe marufuku kujihusisha na upimaji wa ardhi.

Wizara ya Ardhi iongeze maafisa wake kila Kata awepo Afisa Ardhi itasaidia kuondoa upimaji wa viwanja visivyoeleweka na ujengaji wa hovyo.

Apewe mandate ya kuzuia anayejenga pasipo kupata kibali hasa sehemu ambazo zinamilikiwa na serikali. Kama vile maeneo ya serikali za vijiji.

Wenyeviti wanayageuza miradi yao kuuza bila mipangilio. Au wapewe elimu jinsi ya kupanga miji/kugawa viwanja.
Kibamba,kwembe,king'azi,kuna jamaa wananunua 20-20 kwa m 4 au 5,iko kiwanja wanakikata mara 4 then wanauza kwa m 1.5 hadi 2,anapata cha juu,king'azi malamba mawili ndio biashara hiyo ya wajinga
 
Inapaswa kuwa hivyo mana kuwaachia serikali haitoshi cz serikali zetu za kiafrika bado hazijaona umuhimu wa kupanga miji.
Muda mwingine ni vizuri kuchukua jukumu la kujisimamia wenyewe,imagine mwenyekiti wa mtaa na mtendaji wake wote waluga luga hata posta hawajawahi kufika,watapata wapi fikra za kimaendeleo!
 
Wewe ni mjinga taslimu kati ya watu 1000 ni wakenya 20 ndio wanagari sasa hapo ndio mnaona mmenunua gari nyingi?
Nilikua nataka kupata mtoto na wewe muuguzi lakini naona utanizalia kizazi kijinga, tangu lini Danganyika ikawa na magari nyingi kuliko Kenya?
Screenshot_20221024-153255.jpg
 
hio ni nyinyi an LDC.. hatuna tyme na nyinyi.. hamuna hela


but did u knw SautiSoul and H_Art The Band are more famous in SA, Nigeria and Ghana than even your so called DiamondPlatnumz!

if u didn't know.. now u know!
Wacha kutukosea heshima kwa kutaja takataka dhidi ya msanii alietangaza muziki wa Afrika mashariki nje ya mipaka ya Afrika, kaa kimya kondoo mnuka Mavi wewe
 
Kule kifuru wakazi wa kule wameunda umoja wao,kiwanja kikiuzwa kwenye eneo lazima kamati ya mtaa ijulishwe na itamuuliza mnunuaji aina nyumba,huo umekaa vizuri sana nyumba zake
Hawa mbona wamekuwa na akili kuwazidi hata hao ardhi wamejiongeza vizuri. Sehemu nyingine waige [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Back
Top Bottom