Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Serikali inatakiwa kuwa serious na hili jambo lasivyo wenyeviti watavuruga miji inayochipukia, halafu hawa wenyeviti wana utaalamu gani wa kupima ardhi?
Hata kama hao wenyeviti wa vijiji na mitaa hawana taaluma sahihi ya ardhi bado shida kubwa ipo kwa maafisa ardhi na makamishina!

Kwanini wanatoa hati za umiliki kwa viwanja vidogo? Wakigoma kutoa hati hao wenyeviti hawataweza kuuza. Tatizo ni kutunga sheria/kanuni ambazo hatuwezi kuzisimamia
 
Hata kama hao wenyeviti wa vijiji na mitaa hawana taaluma sahihi ya ardhi bado shida kubwa ipo kwa maafisa ardhi na makamishina!

Kwanini wanatoa hati za umiliki kwa viwanja vidogo? Wakigoma kutoa hati hao wenyeviti hawataweza kuuza. Tatizo ni kutunga sheria/kanuni ambazo hatuwezi kuzisimamia
Babu huku kwenye squarter kunakua na hati ya serikali za mitaa tu
 
Naona wamepiga marufuku uuzaji wa viwanja vya makazi vilivyo chini ya mita 20-20 ila kuna baadhi ya miji mipya huko wenyekiti wa serikali za mitaa awaelewi kabisa bado wanaidhinisha huo ujinga
Huu upumbavu wa kukatiana viwanja ndiyo chanzo cha ujenzi wa horera, hasa watu wa kipato cha chini ndiyo mzizi wa huu upuuzi kigezo chao eti hawana kitu ndiyo maana wanajenga hovyo hovyo, mm nilienda Lindi nyumba za udongo ni nyingi lkn zimepangiliwa mpk raha.

Hii tabia inapaswa kukomeshwa kwa gharama yoyote lasivyo tutatengeneza Kibera ndogo huku Tz.
 
Serikali inatakiwa kuwa serious na hili jambo lasivyo wenyeviti watavuruga miji inayochipukia, halafu hawa wenyeviti wana utaalamu gani wa kupima ardhi?
Suluhisho ni dogo tu, nyumba yoyote isijengwe pasipo kibali toka mipango miji, na hawa mipango miji wawepo katika kila ofisi ya serikali ya mtaa. Na wao ndiyo washauri nyumba ijengwe sehemu gn na igeukie wapi, ujenzi wa kihorera bado unaendelea licha ya nyumba zinazojengwa ni very descent.
 
Tukiendelea kuacha kama ilivyo tutakuwa na kizazi cha ajabu kama Kenya, ma slums everywhere japo nyumba nyingi zinazojengwa ni decent but zitaonekana kama slums.
 
Eti mombasa ushuzi ishindane na mwanza hvi tuko serious kweli 😂😂😂
Nyamongoro modern bus terminal
E4D26C04-DBB4-46C1-A1E2-A7239B4CF07D.jpeg
3E71F017-E039-41A4-B1E4-5AE29EC54BE9.jpeg
9FE22799-D450-4EC0-A396-BD9D2AE32226.jpeg
CB0B8409-DF49-467C-8C87-B1CD057FA611.jpeg
EF92F42E-9FFB-4CE4-94FA-7241E272F41A.jpeg
 
Back
Top Bottom