aah wapi!Himars sio Air defence system, hiyo yetu hapo ni Surface to Air missiles kwa akili ya kudungua vile vdege vyenu chakavu F-5 vikijaribu kuingia katika anga yetu[emoji23][emoji23]
Chuma hizi Apo👇aah wapi!
tanzanian airspace ni kama tu pit latrine.. yaani, unarusha tu kombora lako, kisha unaipa muda wa sekunde kadhaa ilikusikia jinsi kombora lako litadunda kwenye ground...
yani 💣💣💣................................. 💥
🤣🤣🤣🤣
yani anga ya tanganyika iko huru kabisa kama latrine.. no defensive mechanism of any kind whatsoever..😆😆😆
Meza imeshapinduka.Kuna wapumbavu umu ndani niliwambia meza inapinduka but awakunielewa sasa sijui amuoni,,, wakunyani
Lengo langu ni kutaka kuonyesha kwamba tusikubali kucheza miziki ambayo hatujui maana yake. Huu wimbo wa katiba mpya ni wimbo wa wanasiasa ambao wanashindwa kupambana ili kufikia malengo Yao, wanajaribu kutapatapa na kujaribu kuhalalisha kushindwa kwao wakisingizia katiba, ndicho kilichomkuta Raila huko Kenya.Mimi sio mwanasheria maswali yako siwezi kuyajibu.
Kama render mwanangu [emoji8][emoji8][emoji1241][emoji91][emoji91][emoji91]
Angekuwepo Chuma ngoma ingekuwa ishaisha hii.Modern city market mwanza
under construction over 80% now
Itakua na under ground parking yenye uwezo wakuchukua gari ndogo zaidi ya 100
View attachment 2395919
Serikali inabidi ikomalie sana hili jamboHuu upumbavu wa kukatiana viwanja ndiyo chanzo cha ujenzi wa horera, hasa watu wa kipato cha chini ndiyo mzizi wa huu upuuzi kigezo chao eti hawana kitu ndiyo maana wanajenga hovyo hovyo, mm nilienda Lindi nyumba za udongo ni nyingi lkn zimepangiliwa mpk raha.
Hii tabia inapaswa kukomeshwa kwa gharama yoyote lasivyo tutatengeneza Kibera ndogo huku Tz.
Asa unakuta mwenyekiti wa kijiji darasa la nne anaakili gani ya kujua planning? Kama wanaimpact wawe wamesoma walau hata cheti na walipwe mishahara kabisa tuone kama hawatakua serious...tofauti na hapo tusitegemee maajabu sana kwanza hawana mishaharaHuu upumbavu wa kukatiana viwanja ndiyo chanzo cha ujenzi wa horera, hasa watu wa kipato cha chini ndiyo mzizi wa huu upuuzi kigezo chao eti hawana kitu ndiyo maana wanajenga hovyo hovyo, mm nilienda Lindi nyumba za udongo ni nyingi lkn zimepangiliwa mpk raha.
Hii tabia inapaswa kukomeshwa kwa gharama yoyote lasivyo tutatengeneza Kibera ndogo huku Tz.
Mwanza wakipigania barabara za lami za kutosha basi itakua mwake sanaEti mombasa ushuzi ishindane na mwanza hvi tuko serious kweli [emoji23][emoji23][emoji23]
Nyamongoro modern bus terminal
View attachment 2395883View attachment 2395884View attachment 2395885View attachment 2395886View attachment 2395887
Aliuacha na % ngap huo mradi hasi useme ivyoAngekuwepo Chuma ngoma ingekuwa ishaisha hii.
Mwanza "village" city.., hii bado haijafika kuitwa city.., Tanzania ni Dar pekee ndio city with one CBD.., mengine ni hekaya za abunuasi, Tanzania city ni moja na tusisumbuane ni jumatatu asubuhi😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Ifike mahali serikali inunue ndege/helicopter yoyote moja au mbili kama hiz wakabiziwe polisi zimamoto au jwtz. Zitatumika hata kweny majanga mengine kama yale ya nzige etc
View attachment 2396069View attachment 2396070View attachment 2396071
Hawa kina Kijazi wamejaa tele serikalini, wapo wengi alafu wote wanafanana hivyo hivyo.
Hawa wanamgambo huwa wanachekesha sana, akili zao huwa hazitofautiani na wachunga ng'ombe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3]
Marehem John Kijazi, Allan Kijazi (KM Ardhi) na Agnes Kijazi (MD TMA) ni mtu na wadogo zake. Kuna harus ya mtoto wa Marehem John niliendaga walitambulishwa woteHawa kina Kijazi wamejaa tele serikalini, wapo wengi alafu wote wanafanana hivyo hivyo.
Ni CAPRI HEIGHTS HOTEL na sio capri hillsCapri hills hotel under construction mwanza
View attachment 2395931
Ninavyojua huku ni kiwanda cha kuchen jua madini na si soko