The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Berlin ni Developed City, Ka Nairobi ni underdeveloped City unawezaje ku compare? Haya ngoja tulinganishe sasa.Naona pia Berlin Germany wako na safari ndefu sana kufikia Dar, pori tupu (kwa akili zako uchwara), ujinga laana mjukuu
so Dar betters Berlin, mtu bladfwakin kabisa humu
View attachment 2396213
View attachment 2396215
View attachment 2396216
Hii Picha ya kwanza unayosema ni Berlin unaona kabisa ni conserved area na hairuhusiwi kujenga hapo cz hilo eneo liko strategically na unaweza kuona hata mimea yake ni ya kupandwa na inayotunzwa vyema, ona kijani kimekolea.
Hiyo picha ya pili inaonekana kabisa ya third world country, mimea imejiotea yenyewe hovyo hovyo na haitunzwi pako hovyo sn, ukosefu wa majengo hapo sio kwamba ni kutunza mazingira bali ni hakuna uwezo wa kujenga hapo ila pakipatikana investor wa kujenga utaona maskini wanavyoruka ruka humu kwenye mitandao ya kijamii












