Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The number of Tanzanian beggars and drug traffickers in Johannesburg prisons.

10940699_img20200122131301_jpeg5db56877069bffc2bdaaa0661defc606.jpeg
 
Ila wewe huwa unafurahisha [emoji1787][emoji1787] cement inayotumika kujenga Bwawa la Nyerere, 5 phases of our SGR .. concrete roads za BRT na njia nyingine za kawaida, ni zaidi ya cement consumption yenu ya nchi nzima since cement mnatumia kujengea nyumba tu uko kwenu..

Hapo wala hujamtajia Dodoma. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wengine huwa wanasema wametushinda kwenye kunywa maziwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Wakati nanunua maziwa mitaani na serikali haina habari kuwa nimemunua maziwa mitaani.
Labda wametushinda kwenye maziwa ya unga.
Huku mbwinde kiluvya kuna majirani zangu kama 7 hivi wote wana ng'ombe na wanauza maziwa na bado uwa wanananishauri na mimi nifuge ng'ombe wa maziwa,maana bado hawatoshelezi matumizi ya uhitaji wa maziwa mtaani,hii inaonyesha ni namna gani wa TZ tunavyokunywa maziwa kwa wingi
 
Also him 2022 👇. Skiliza mziki mzuri+ kutazama music video kali zaidi AFrica 2022

hii video ni kali zaidi!🔥 ilimgharimu hela mgapi kutengeneza hili bonge la clip huyu kijana!??🤔🤔

ajaribu tu kuimprove kwa content.. hio tu! othrws ako fyne. ni kijana ako na kipaji na anajituma sana, ni vile anatumia kipaji chake vibaya, ku pass tu ujumbe wa ngono, hakuna kingine ..

huyu ndo amefanya vijana wengi wajue kua, umaskini ni shida ya kujitakia
 
Hebu tuambie mnajenga kitu gani ili tuamini mnatukaribia kwenye matumizi ya cement, sisi tunajenga JNHPP, tunajenga Dodoma city, tunajenga Msalato airport, tunajenga BRT system, tunajenga kigongo busisi one of the longest bridge in Africa, tunajenga bridges kibao, tunajenga bandari zote kubwa nchi hii, tunajenga the longest SGR in Africa, nyie mnajenga nn cha kuweza kushindana na hizo infrastructures nilizokutajia hebu tuambie ili tujue ile takwimu ni ya uongo. Ubishani mwingine ni wa kitoto sn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kaka umesahau yale maghorofa yao ya udongo yanayodondokaga kila mara ndio yanayoconsume cement nyingi maana ratio ya cement na udongo inatumika mara nyingi zaidi sababu ya frequent ya kuanguka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wao wanakazana kutupia picha za watu na mali zao ukimwambia aweke picha zake anaweka nyumba ya boss wake, mwingine akaweka nyumba ya shangazi, mmoja ndiyo aliua kabisa yani akanyea kambi kabisa kwa kuweka guest [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wakenya mafukara sn aloo.
Usijali men ni watanzania tu wanahela sisi tumekuja kuwasindikiza
 
The number of Tanzanian beggars and drug traffickers in Johannesburg prisons.

View attachment 2366987
You are very stupid!

JMPD ni traffic huko South Africa na arrest zao karibia zote zinahusu motorists na road offenses. Wanapokuarest wanakupeleka Police then, kama una kesi ya kujibu ndio unaenda mahakamani. Sasa sijui umeona wapi swala la jela hapo?

Kwanini mnakua wajinga mno?
 
Back
Top Bottom