Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Ila Bongo kwa Madaraja ni kama China tu ya EA 👇. JNHP permanent brigde.. New wami brigde 👇. Yote ni Madaraja mapya haya ..
Diamond is always doing the best 👇. Ingine hii 2022hii video iko poa zaidi! hii vid ilimkarimu hela mgapi!??🤔🤔
hii video ni kali zaidi!🔥 hii vid ilimgharimu hela mgapi!??🤔🤔 ajaribu tu kuimprove kwa content.. hio tu! othrws ako fyne. ni kijana anajituma sana.. huyu ndo amefanya watu wajue kua, umaskini ni shida ya kujitakia
Wacha kuwa mjinga Bro, hata sie Tz tunajenga nyumba (individually) tena kwa kiwango kikubwa sana, and still tuko na miradi mikubwa mingi mno yenye thamani zaidi ya miradi yote EA .. kwa kinachoonekana ground ni clear kabisa that our cement consumption is at least two times to theirs.. hasa kwa kipindi Kati ya 2017-2022.. kuna miradi mikubwa mingi sisi tumejenga hiv karibuni tu .. kwa hili Bro 🤣🤣🤣 kaa kandoUkishazidiwa gdp umezidiwa mambo mengi sana ya kiuchumi, kwanamna nilivyofuatilia real estate kenya is so diverse sishangai wakituzidi matumizi ya cement.Lakini TZ Tunamiradi yetu mingi ambayo inatumia cement nyingi Kulingana na Uchumi wetu unavyoruhusu
Hiyo kitambo sana niliizungumza mkuu kwamba tutarajie picha mpya za kushangaza za Kariakoo, ujenzi mkubwa unaendelea pale, ghorofa nyingi mno kupita maelezo, hakuna mji hapa EA na miji kibao ya Afrika utakaribia Kariakoo kwa maghorofa.Leo nimezunguka kwenye baadhi ya mitaa ya Kariakoo. Yo kuna ujenzi wa gorofa mpya kama thelasini hivi (gorofa nilizozihesabu)
For sure .. hata magomeni kuna gorofa nyingi tu zinajengwa mpyaHiyo kitambo sana niliizungumza mkuu kwamba tutarajie picha mpya za kushangaza za Kariakoo, ujenzi mkubwa unaendelea pale, ghorofa nyingi mno kupita maelezo, hakuna mji hapa EA na miji kibao ya Afrika utakaribia Kariakoo kwa maghorofa.
Mm naomba mniambie mnajenga nn cha kuweza kushindana na Tz usinipe makaratasi mana hivyo vikaratasi ambavyo haviko certified huwa mnavitengeneza wenyewe wasenge nyie, nmeorodhesha miradi mikubwa tunayofanya ambayo ni dhambi kujilinganisha na nyie, na ww niambie mnajenga nn ili tuamini ile report ni ya uongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]You will continue making noise as I hit you with facts[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]
Kenya Cement consumption for six months
View attachment 2366933
Tanzania Cement consumption for 12 months
View attachment 2366937
Yani miradi yote tunayofanya lkn bado umekazana na paper GDP, ngoja nikupe mfano mmoja, niambie kati ya China na US nani mwenye GDP kubwa na nani mwenye cement consumption kubwa?Ukishazidiwa gdp umezidiwa mambo mengi sana ya kiuchumi, kwanamna nilivyofuatilia real estate kenya is so diverse sishangai wakituzidi matumizi ya cement.Lakini TZ Tunamiradi yetu mingi ambayo inatumia cement nyingi Kulingana na Uchumi wetu unavyoruhusu
i remember in 2003, when Raila was the Minister for Public Works, when commissioning the Narok-Mai Mahiu road. he said tht, "...from now henceforth, all roads in kenya must be Concrete Base Roads, which has a lifespan of 30yrs compared with Gravel and Bitumen-Only roads which has a lifespan of less than 20yrs"Our first concrete road was built around 1998 when odinga was minister of roads
Hiz sio concrete roads manzee labda hujui concrete roads zinafananeje.! 🤣🤣🤣i remember in 2003, when Raila was the Minister for Public Works, when commissioning the Narok-Mai Mahiu road. he said tht, "...from now henceforth, all roads in kenya must be ConcreteBasedRoads, which has a lifespan of 30yrs compared with Bitumen-Only roads which has a lifespan of less than 20yrs"
so eversince then, all current kenyan highways and roads under KenHa and Kura authority has been made of "Water-Proofing Cement" on the RoadBaseLayer ie.(Road Foundation) and BaseCourseLayer ie(2nd top most layer).. its only the Waring-Course ie(top most layer), that is finished with Asphalt/Bitumen tht is mixed with CourseAggregateBallast-½Inch Sieve Diameter
All these kenyan Roads and Highways u happen to see here everyday has a base/foundation that is constructed using Cement Impregated with Waterproofing Formulae..
all these Roads and Highways are Concrete Based Roads.....👇🏽👇🏽
View attachment 2367205View attachment 2367204View attachment 2367196View attachment 2367197View attachment 2367200View attachment 2367202View attachment 2367203
sija sema Conrete Roads, nimesema Concrete Base Roads..Hiz sio concrete roads manzee labda hujui concrete roads zinafananeje.! 🤣🤣🤣
Skia..yes gdp ni vitu ving na cement consumption ni kitu kimoja..hivi unajua madaraja mangap ya najengwa TZ , plus roads , plus sgr bado hujaweka private construction , JNHPP ,rusumo falls..ports expansion.bus stand..bus stand zinakula concerte sana..majengo yoye yale ya serikali dodomaUkishazidiwa gdp umezidiwa mambo mengi sana ya kiuchumi, kwanamna nilivyofuatilia real estate kenya is so diverse sishangai wakituzidi matumizi ya cement.Lakini TZ Tunamiradi yetu mingi ambayo inatumia cement nyingi Kulingana na Uchumi wetu unavyoruhusu
Mimi nmekuelewa cause nimeona kibaha express way ikiwa underconstruction wanaweka layer flan ya cement juu ya udongo then wanamalizia na lamisija sema Conrete Roads, nimesema Concrete Based Roads..
these are "Flexible Concrete Based Pavements", otherwise "Rigid Concrete Pavements", utaipata kwa Bridges ama Track Lorry Yards coz they are rigid and hardwaring.. mm ni engineer maze
Barabara zote za tanroads wanajenga hivyoMimi nmekuelewa cause nimeona kibaha express way ikiwa underconstruction wanaweka layer flan ya cement juu ya udongo then wanamalizia na lami
hoja hapa ni ku stabilise sub-base na road-base ie.(road foundations) na water-proofing portland cement, sand, and coarse aggregate ballast..Mimi nmekuelewa cause nimeona kibaha express way ikiwa underconstruction wanaweka layer flan ya cement juu ya udongo then wanamalizia na lami
Utapata picha za ile bridge ya Budalangi awash in Tanzanian media ile hii hutapata. Yani hawa watu wacha tu..........anything negative in Kenya lazima itrend huko yet vyao wanaficha.Kuna siku hapa tumekwama for 7 hrs after bridge was washed away na mvua