Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alafu kenyewe kamejiwekea 22,000km [emoji1787][emoji1787]

Kiukweli kabisa Kenya ikifika 9,000km nafunga accnt jf, Kenya hii hii ambayo kuna county gari zinatembea siku mbili kufika ndio ifikishe japo 10,000km of paved road?

Wao waendelee na number za kwenye karatasi hivyo hivyo wkt cc tunazidi kujenga nchi iliyo kweli.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787]
 
Tanga, Korogwe

Tanzania got the best roads

View attachment 2366747
Big boys toys 😎
Just 📸 now
20220924_184539.jpg
 
Which lies? 😂😂 we have been posting the same data here.. so leo umekubali barabara zetu ni 13,000 kms sio 9,000 kms tena?🤣
Naweza kukuletea screenshots humu ukipinga hatuja vuka 12,000 ila leo umekubal tuna 13,000kms
Mimi sipingani na data vile nyinyi mnapenda kupingana nayo. So far I'll be sticking to 13k of paved roads until next year when another report will be out.
 
Hii nchi iko mbali sn nawaambia sema tu shida ni kwamba kuna majitu ni mazembe sn na bado yanaachwa ofisini, serikalini kumejaa wazembe aisee, kuna takwimu nyingi huwa zinawekwa nasema hiiiiii, kama hii nchi ingekuwa ya hovyo kama Kenya na the likes of that shit country mm nawaambia wageni wasingekuwa wanafosi kuweka kambi hapa kwetu.

Tazama hapa EA ni nchi gn ambayo wana EA wanapenda kuikimbilia kama sio Tz, yn raia wa nchi zote ukanda huu ndoto zao kama co kwenda ulaya basi ni kuja Tz na wakija hawataki kuondoka.
Soja mbona unadanganya in broad daylight? Watanzania ndio wanapenda kukimbia nchi yao compared to other citizens. Come to Kenyan ubarn centers and I promise you that you won't miss at least 100 beggers from Tanzania. Most of Tanzanians run to South Africa to sell cocaine while others move as far as Hong Kong just to traffic drugs.
 
Siku yoyote ile ukiwa unafanya comparison lazima ulete takwimu kutoka pande zote wacha kutuletea biased data hapa,izo takwimu za kenya ndio unatoa kichwani mwako?
Don't worry, I'm just about to do that.
 
mwanzo ikiongozwa na Mondy, kusifia tu kutaka apeane msambwanda, kutaka atolewe kutu kwa mparange, na kutaka apakwe mate kabla ya huyu kijana wa kimbagala kupakatwa... hio tu 24/7!🤮

ananikera sana huyu kijana.. hana content, ata magafuli alisusia kupiga ban nyimbo zake wakati moja around 2018..

ata nashindwa mbona yeye maarufu sana huku akikurupuka uharo🤮

eti, "paka mate ili niteleze kama nyoka mpangoni"..... 🤔🤔
View attachment 2366465
Also him 2022 👇. Skiliza mziki mzuri+ kutazama music video kali zaidi AFrica 2022
 
Big boys toys [emoji41]
Just [emoji991] now
View attachment 2366773
Wao wanakazana kutupia picha za watu na mali zao ukimwambia aweke picha zake anaweka nyumba ya boss wake, mwingine akaweka nyumba ya shangazi, mmoja ndiyo aliua kabisa yani akanyea kambi kabisa kwa kuweka guest [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wakenya mafukara sn aloo.
 
Tanzanians don't travel at all, you domestic travelling is less than 2M a year.
Haka katumbua mishipa mbn kanajichanganya kenyewe mara watanzania wanaongoza kwenda nchi za watu mara hapa kamebadilika kanasema watanzania hawatembei kabisa, haka kajamaa bhn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom