Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

And you believe in Facebook propaganda? If Tanzania is the construction powerhouse, how come Tanzanian cement consumption is equal to Kenya's half year cement consumption?😂😂
Ila wewe huwa unafurahisha 🤣🤣 cement inayotumika kujenga Bwawa la Nyerere, 5 phases of our SGR .. concrete roads za BRT na njia nyingine za kawaida, ni zaidi ya cement consumption yenu ya nchi nzima since cement mnatumia kujengea nyumba tu uko kwenu..
 
And you believe in Facebook propaganda? If Tanzania is the construction powerhouse, how come Tanzanian cement consumption is equal to Kenya's half year cement consumption?[emoji23][emoji23]
Hebu tuambie mnajenga kitu gani ili tuamini mnatukaribia kwenye matumizi ya cement, sisi tunajenga JNHPP, tunajenga Dodoma city, tunajenga Msalato airport, tunajenga BRT system, tunajenga kigongo busisi one of the longest bridge in Africa, tunajenga bridges kibao, tunajenga bandari zote kubwa nchi hii, tunajenga the longest SGR in Africa, nyie mnajenga nn cha kuweza kushindana na hizo infrastructures nilizokutajia hebu tuambie ili tujue ile takwimu ni ya uongo. Ubishani mwingine ni wa kitoto sn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ila wewe huwa unafurahisha 🤣🤣 cement inayotumika kujenga Bwawa la Nyerere, 5 phases of our SGR .. concrete roads za BRT na njia nyingine za kawaida, ni zaidi ya cement consumption yenu ya nchi nzima since cement mnatumia kujengea nyumba tu uko kwenu..
Hey baboon, if you want to argue please do so with evidences. Sio kupanua tu midomo hapa.

Kenya Cement consumption for six months
Screenshot_20220921-143735_1.jpg



Tanzania Cement consumption for 12 months

Screenshot_20220921-195755_1.jpg
 
Hebu tuambie mnajenga kitu gani ili tuamini mnatukaribia kwenye matumizi ya cement, sisi tunajenga JNHPP, tunajenga Dodoma city, tunajenga Msalato airport, tunajenga BRT system, tunajenga kigongo busisi one of the longest bridge in Africa, tunajenga bridges kibao, tunajenga bandari zote kubwa nchi hii, tunajenga the longest SGR in Africa, nyie mnajenga nn cha kuweza kushindana na hizo infrastructures nilizokutajia hebu tuambie ili tujue ile takwimu ni ya uongo. Ubishani mwingine ni wa kitoto sn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hana cha kusema zaidi ya hiyo karatasi yake 🤣🤣🤣.. Vioja haswaa
 
Hebu tuambie mnajenga kitu gani ili tuamini mnatukaribia kwenye matumizi ya cement, sisi tunajenga JNHPP, tunajenga Dodoma city, tunajenga Msalato airport, tunajenga BRT system, tunajenga kigongo busisi one of the longest bridge in Africa, tunajenga bridges kibao, tunajenga bandari zote kubwa nchi hii, tunajenga the longest SGR in Africa, nyie mnajenga nn cha kuweza kushindana na hizo infrastructures nilizokutajia hebu tuambie ili tujue ile takwimu ni ya uongo. Ubishani mwingine ni wa kitoto sn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
You will continue making noise as I hit you with facts😂😂👇👇

Kenya Cement consumption for six months
Screenshot_20220921-143735_1.jpg


Tanzania Cement consumption for 12 months

Screenshot_20220921-195755_1.jpg
 
Hey baboon, google Raila Odinga Road alafu urudi tuongee.
Tuko na namba kubwa ya concrete roads than all EA and Central Africa countries combined, na zote zimejengwa kati ya 2017-2022 .. five phases of SGR, a good number of bridges and interchange, the whole City of Dodoma is underway, JNHP .. BRT roads ni concrete. and more and more.. 🤣🤣 it's funny taifa kama kunya eti linatuzidi cement consumption while thamani ya miradi yetu ni sawa na mataifa yote EA yaungane . It's funny 🤣 🤣🤣 endelea kujifurahisha mwaya
 
Tuko na namba kubwa ya concrete roads than all EA and Central Africa countries combined, na zote zimejengwa kati ya 2017-2022 .. five phases of SGR, a good number of bridges and interchange, the whole City of Dodoma is underway, JNHP .. BRT roads ni concrete. and more and more.. 🤣🤣 it's funny taifa kama kunya eti linatuzidi cement consumption while thamani ya miradi yetu ni sawa na mataifa yote EA yaungane . It's funny 🤣 🤣🤣 endelea kujifurahisha mwaya
Again you are talking from both sides of your mouth without any evidence. Are you aware that Thika Road is full concrete with tar poured on top of the concrete? Are you aware that Expressway is concrete? Are you aware that western bypass is concrete?
 
Again you are talking from both sides of your mouth without any evidence. Are you aware that Thika Road is full concrete with tar poured on top of the concrete? Are you aware that Expressway is concrete? Are you aware that western bypass is concrete?
Again sisi tuko na namba kubwa ya concrete roads kuliko mataifa yote EA combined
 
Ila wewe huwa unafurahisha [emoji1787][emoji1787] cement inayotumika kujenga Bwawa la Nyerere, 5 phases of our SGR .. concrete roads za BRT na njia nyingine za kawaida, ni zaidi ya cement consumption yenu ya nchi nzima since cement mnatumia kujengea nyumba tu uko kwenu..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom