Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio itaendelea kuwa tembo mweupe hadi muweke hivyo mnavyoita supporting infrastructures..

Kwani wakati mnakurupuka hamkujua hilo? Kwa taarifa yako karibu ma stand yote yaliyojengwa maeneo mbalimbali Tzn yako hivyo na kuleta usumbufu..

Hao watu wa Dar mnaiona hiyo Kero kwa vile Wana pa kusemea kuna vyombo vya habari nk lakini huku mikoani watu wanahenyeka hivyo hivyo..

Stand ziko km 15-20 Nje ya Mji unategemea nini kwenye miji midogo kama Iringa, Sumbawanga,Dodoma,Mpanda nk ?Mastand yenu haya ni Kero na adhabu kubwa kwa wananchi..
Sitoshangaa ata ukisema USA ina
Kawaambie wanaopiga makelele sio mimi wewe fala..
Nimekwambia ukawaambie Wapuuzi wenzio, Nchi inatakiwa kuwa na maono ya Mbele zaidi ndio maana bomoa bomoa haziishi kwa sababu ya akili finyu kama zako
 
Sitoshangaa ata ukisema USA ina

Nimekwambia ukawaambie Wapuuzi wenzio, Nchi inatakiwa kuwa na maono ya Mbele zaidi ndio maana bomoa bomoa haziishi kwa sababu ya akili finyu kama zako
Kwa hiyo hako ka stand cha mbezi ndio maono?

Wewe ni mzigo hata Kwa familia yako,vitu cheap na vya wavivu kufikiria ndio unasema maono?

Stand itaondoa watu kwenye umaskini? Taahira wewe hujui hata unachoongea..

Narudia tena kukwambia watu wenye uwezo mdogo wa fikra kama wewe ndio unaona vistandi ndio maono.
 
Sijui wenzangu mliiona hii.? 🤣🤣🤣🤣👇.

  • Nasikia karan mmoja analipwa 1.3m kwa zoezi zima. Sijajua wako wangapi, msisahau wenyeviti wa mtaa au vijiji
  • Nadhan inahusisha tender ya kununua zile vishkwambi, sijajua viko vingap..na vimenunuliwa kwa bei ngapi kwa moja
  • Pia nadhan inahusisha tender ya reflectors, sijajua imetumia ngap hapo

Lkn 400b is too much kwa hili zoezi lote, im trying kuringanisha bajet ya uchaguzi na hii ya Sensa, mbona kama ya uchaguzi ndo ngumu lkn imetumia hela ndogo zaidi ya hii ya sensa. But sijui lolote 😃
 
Mapenzi wapi zaidi amejaza ujinga kichwani mwake kichwa box huyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabla sijamjua nilikuwa nakasirika ila siku hizi nimebaki kumcheka tu. Ukitaka asifie kitu ni kiwe cha Nyanda za Juu Kusini ila Kanda ya Ziwa au miradi ya Magufuli ataponda mpaka povu limtoke lote.
Huyu jamaa ni ignorant apewe elimu.
 
  • Nasikia karan mmoja analipwa 1.3m kwa zoezi zima. Sijajua wako wangapi, msisahau wenyeviti wa mtaa au vijiji
  • Nadhan inahusisha tender ya kununua zile vishkwambi, sijajua viko vingap..na vimenunuliwa kwa bei ngapi kwa moja
  • Pia nadhan inahusisha tender ya reflectors, sijajua imetumia ngap hapo

Lkn 400b is too much kwa hili zoezi lote, im trying kuringanisha bajet ya uchaguzi na hii ya Sensa, mbona kama ya uchaguzi ndo ngumu lkn imetumia hela ndogo zaidi ya hii ya sensa
Ufisadi umerudi tena kama kawaida 🤦 dah roho inaniuma kisenge yani.. Dah.!! 😥 400 billion.? Like seriously.?
 
am seeing, deepstate is trying juu chini to buy chebukati to denounce his stand on Ruto win... swali ni,. watamuingisha box kweli.!?

Screenshot_20220831-192323_Photos.jpg
 
Utasimamia tembo mweupe? 😆😆..

Ndio hao hawataki kushukia kule Magufuli nenda kasimamie wewe uwabie tuko kwenye modern world uone kama hujang'olewa meno..

Modern world ambayo haimsaidii mwananchi inamnyonya nani anaitaka?.

Ujinga kama huu ndio mumeufanya kwenye mimasoko imebakia empty hadi dakika hii.
Jaribu kujifunza kwa walio endelea Mfano hivi unajua umbali kati ya Daxing Beijing International airport na Beijing yenyewe, watu wanafanya for future, miji sasa inapanuka kwa kasi ndio maana tunahitaji vitu vikubwa kuepusha usumbufu baadae pia serikali ikiwekeza kwenye Miradi itasaidia miji kujitegemea kimapato na kumuondolea Mwananchi mzigo wa kodi,Mfano miradi mingi China kama vile Apartments, BRT, tren za mwendo kasi mfano (Maglev) serikali imewekeza in return wanapata pesa Nyingi za kusaidia na Masikini
 
Kwa hiyo hako ka stand cha mbezi ndio maono?

Wewe ni mzigo hata Kwa familia yako,vitu cheap na vya wavivu kufikiria ndio unasema maono?

Stand itaondoa watu kwenye umaskini? Taahira wewe hujui hata unachoongea..

Narudia tena kukwambia watu wenye uwezo mdogo wa fikra kama wewe ndio unaona vistandi ndio maono.
Mwalimu wako alipata shida sana kukuelewesha kaa na ujinga wako, hii Nchi ina watu wa hovyo sana hata uwatengenezee vipi, kwanza najisahaulisha kuwa unamapenzi nikikujibu tena niite Mbwa
 
Jaribu kujifunza kwa walio endelea Mfano hivi unajua umbali kati ya Daxing Beijing International airport na Beijing yenyewe, watu wanafanya for future, miji sasa inapanuka kwa kasi ndio maana tunahitaji vitu vikubwa kuepusha usumbufu baadae pia serikali ikiwekeza kwenye Miradi itasaidia miji kujitegemea kimapato na kumuondolea Mwananchi mzigo wa kodi,Mfano miradi mingi China kama vile Apartments, BRT, tren za mwendo kasi mfano (Maglev) serikali imewekeza in return wanapata pesa Nyingi za kusaidia na Masikini
Acha kuleta mifano ya kindezi..

Mwisho lazima ujue unalenga huduma gani na watumiaji wengi ni watu wa aina gani ndio uje na hizo plan zako..

Mfano wako wa airport hauendani na stand,stand wanatumia watu wengi maskini ndio maana wanalalamika na airport ni watu wa daraja la Kati na kuendelea so wao kuweka mbali sio kesi..

Usipende kukariri na ku kopi kila siku ndio maana mamiradi yenu mengi yanaishia kuwa failures kwa sababu mnakariri badala ya kuelewa na kufanya mambo kulingana na mazingira yenu..
 
Back
Top Bottom