tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Tutapigwa tozo hadi tuchakae wanavalue hadi nyumbaReturn yake ndo inakuaje sasa? Yan baada ya zoez, hizo 600b zinarudije?
Tutapigwa tozo hadi tuchakae wanavalue hadi nyumbaReturn yake ndo inakuaje sasa? Yan baada ya zoez, hizo 600b zinarudije?
Sijui wenzangu mliiona hii.? 🤣🤣🤣🤣👇.
eldoret itakuaje rika moja na moshi, il hali google earth hapa inaonesha eldoret na mwanza zinatoshana.... aah!?Rika moja na eldoret
Hiyo ya namba za Gari kukimbia sana hapa mwanzoni mwa E nina doubt kidogo. Ngoja miezi 2 ipite tuone kama spidi itabaki hivi hivi.Hela zipo ni wewe na mipango yako tu...
Sijui kama umenotice hata ujenzi wa nyumba za kisasa umekua kwa kasi sana nje ya mji hata mikoani,yani watu wanakamua kila idara
Nairobi has more 5 star hotels than both Zanzibar and Arusha.
yaani dunia hii ya kidigitali huoni umuhimu wa anuani ya makazi? Anuani za makazi zinafungua ajira nyingi sana haswa kwenye masuala ya biashara zote za delivery! Ni biashara kubwa kuliko maelezo!Hivi msingi wa kuazishwa huu mradi wa Anwani za makazi ulikua ni nini mpaka leo sijapata majibu.. kama hivyo vielekeza mitaa vinavunjwa tu hovyo.. hii ni Sinza👇View attachment 2341231hizo bilions zilizotumika hapa mrejesho wake kwenye uchumi wetu ñi upi.? Lakin mbona sisi watanzania wa kawaida hizi Anwani za makazi sio vipaumbele vyetu.? Viongozi vilaza kama kina Nape Nauye wanafanya nini ofini?
Mbona tulishabattle zikaenda sawa?yani lile jengo moja tu la flrs 25 ndio mnaona Big dealeldoret itakuaje rika moja na moshi, il hali google earth hapa inaonesha eldoret na mwanza zinatoshana.... aah!?
hebu jibu hili swali tafadhali.. bamdogo tuusan View attachment 2341174
siongei kuhusu maghorofa. naongea kuhusu area (km²) encompassing city-proper limitsMbona tulishabattle zikaenda sawa?yani lile jengo moja tu la flrs 25 ndio mnaona Big deal
Let's playsiongei kuhusu maghorofa. naongea kuhusu area (km²) encompassing city-proper limits
Safi sana hii nimeipenda.Mbona iko hivyo Dodoma, kuna sehemu ni rangi ya kijani tuu, sehemu nyingine nyekundu, ni sheria kabisa wameweka kwenye miji mipya n.k
Nimekusoma mkuu. Tuendelee kupandishiwa bei za bidhaa ili tuzidi kumkubuka jembe. Nondo iliyokuwa inauzwa elfu 15 mwaka uliopita sasa hivi ni 23,bati la elfu 15 sasa hivi ni elfu 24,kila kitu ni hivyo hivyo hovyo kabisa.Hakuna mradi mpya wa maana utaanzishwa chini ya serikali dhaifu mzee. Wacha wamalizie miradi ya awamu ya tano basi waendelee kupiga pesa basi.
Many...............very many. Which is the 5 star hotel in Arusha anyway?And no single five star hotel outside Nairobi right ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] in Kenya, sasa hapo vyuo vyao vikoje mkuu. Hii dunia bwana haina usawa kabisa.Unajua leo nilikua na explore vitu basic kama zinafananaje kwenye dunia ya china but yo, sisi tunasafari ndefu sana kufikia levels za hawa jamaa.. imagine nilivyoona hili jengo linakaa tetris ati ni primary schoolView attachment 2341053 then I've had to google and get to see more.. then I've found several middle schools to be amazing, imagine this a middle school in China [emoji116]View attachment 2341054View attachment 2341055View attachment 2341056View attachment 2341057primary school in fushan City [emoji116]View attachment 2341058View attachment 2341059View attachment 2341060another middle school in China [emoji116]View attachment 2341061ingine [emoji116]View attachment 2341062then I've seen this collage of Education in China [emoji116]View attachment 2341064View attachment 2341065View attachment 2341066View attachment 2341067china ni dunia nyingine kabisa [emoji1787][emoji1787] nimeshangaa sana, shule kama hizi huku kwetu Africa ingekua the most modern, futuristic, state of art mega mall in Africa (Kenya hiyo) [emoji1787][emoji1787]
Vishikwambi mbona walisema tumepewa msaada na South Korea?
- Nasikia karan mmoja analipwa 1.3m kwa zoezi zima. Sijajua wako wangapi, msisahau wenyeviti wa mtaa au vijiji
- Nadhan inahusisha tender ya kununua zile vishkwambi, sijajua viko vingap..na vimenunuliwa kwa bei ngapi kwa moja
- Pia nadhan inahusisha tender ya reflectors, sijajua imetumia ngap hapo
Lkn 400b is too much kwa hili zoezi lote, im trying kuringanisha bajet ya uchaguzi na hii ya Sensa, mbona kama ya uchaguzi ndo ngumu lkn imetumia hela ndogo zaidi ya hii ya sensa. But sijui lolote [emoji2]
Unafikiri anaelewa basi ameshajitoa ufahamu kitambo sana,shida yake kubwa anaongozwa na chuki.Huyu jamaa ni ignorant apewe elimu.
Ni kweli,na uchapakazi katika mazingira magumu nadhani hii ilichangia zaidi.Unajua China ni wabunifu toka enzi na enzi