Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,691
- 107,133
Hamna kitu mkuu, full miyeyushoIla kwasasa tunaskia tu kuna mpango, kuna mpango 🤣🤣 no implementations, what's going on.? Ule mpango wa kujenga zile Arena mbili DOM &DAR umeishia wapi, tenda imeshatangazwa.?
Unajua leo nilikua na explore vitu basic kama zinafananaje kwenye dunia ya china but yo, sisi tunasafari ndefu sana kufikia levels za hawa jamaa.. imagine nilivyoona hili jengo linakaa tetris ati ni primary schoolRafiki yangu alienda China kusoma ,siku analand Beijing alijiskia vibaya sana![]()
![]()
![]()
....![]()
He was like hey hii ni dunia hii hii ama niko sayari ingine? Nyie acheni bana hapa tunapigana vifua na v2 basics v2 vya kushtua ni vichache sana...Alistaajabu sana alioyaona..
Iyo profit ya safaricom anaefaidi sanasana ni muwekezaji,hakuna ushindani kwann?nn kiko nyuma ya paziaYet Safaricom's profit is bigger than the total profit of top 20 biggest companies in Tz.
Usigotee China chungulia kidogo na kws mkubwa US utajifunza kituUnajua leo nilikua na explore vitu basic kama zinafananaje kwenye dunia ya china but yo, sisi tunasafari ndefu sana kufikia levels za hawa jamaa.. imagine nilivyoona hili jengo linakaa tetris ati ni primary schoolView attachment 2341053 then I've had to google and get to see more.. then I've found several middle schools to be amazing, imagine this a middle school in China [emoji116]View attachment 2341054View attachment 2341055View attachment 2341056View attachment 2341057primary school in fushan City [emoji116]View attachment 2341058View attachment 2341059View attachment 2341060another middle school in China [emoji116]View attachment 2341061ingine [emoji116]View attachment 2341062then I've seen this collage of Education in China [emoji116]View attachment 2341064View attachment 2341065View attachment 2341066View attachment 2341067china ni dunia nyingine kabisa [emoji1787][emoji1787] nimeshangaa sana, shule kama hizi huku kwetu Africa ingekua the most modern, futuristic, state of art mega mall in Africa (Kenya hiyo) [emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣 Sorry to say this.. kwenye dunia ya leo US ni joke Bro.. ndio mana tukibishana humu mtakimbilia kwenye masuala ya military supremacyUsigotee China chungulia kidogo na kws mkubwa US utajifunza kitu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna siku Simon aliweka idadi ya magari yaliyosajiliwa Tanzania Hapa.
Hawa wakulungwa naona wnaa Bodaboda nyingi
View attachment 2340813
Ndio inaingiza kwa kuwa mabasi yanalazimishwa kuingia ndani ila watu hawataki washushiwe huko maporini na kuingizwa gharama mpya..Pumba,
Halafu nasikia kwa siku moja ile stand ya tembo mweupe imeingiza mapato ya Tshs.1200/= tu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Dodoma can't even handle Tatu yet you are here dreaming about Nairobi.Maanina tuliwaambia hii Dom inaenda kuchapa ka Nairobi in out mkadhani tunatania[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
GOK collects more than $1B from Safaricom yearly the remaining goes to paying of salaries and other expenses. In other words 90 % of what Safaricom is earning remains in Kenya.Iyo profit ya safaricom anaefaidi sanasana ni muwekezaji,hakuna ushindani kwann?nn kiko nyuma ya pazia
Wacha kuwa kipofu wewe, tupo kwenye modern world na lazima miundombinu yetu pia iwe modern, suala la itafanya vipi kazi ilete faida hilo ni suala la wasimamizi and incase of failure that means poor governance.. serikali ya mama umesha prove failure kitambo tu.. miundombinu kama yetu imefanywa kwenye mataifa yote yanayoendelea na inafanya vizur tu ..Ndio inaingiza kwa kuwa mabasi yanalazimishwa kuingia ndani ila watu hawataki washushiwe huko maporini na kuingizwa gharama mpya..
Wanalalamika kwamba mnawalazikisha kuwashusha huko Ili walale kwenye hayo magesti ya watu waliopanga hapo juu..
Poor planning,sio kazi ya Serikalini kufanya Biashara in the name of miradi ya kimkakati and such upuuzi..
Jenga stand za kawaida kama ya mawasiliano kwa gharama nafuu maeneo mbali mbali tena ya mjini na mambo ya magesti na mafremu achilia private sector..
Huu upuuzi mtausikia sio mda huko Mwanza hasa kwenye kulazimisha malori eti yaende parking za Serikali wakati Wana parking zao..
Yaani unaanzisha Biashara harafu unalazimisha watu waende,hiyo ni biashara?
Uko biased I don't like that[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sorry to say this.. kwenye dunia ya leo US ni joke Bro.. ndio mana tukibishana humu mtakimbilia kwenye masuala ya military supremacy
Dom Iko powa sana mzeeNoma mwanangu [emoji8][emoji8][emoji7][emoji1241][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 2341043
Are you sure?GOK collects more than $1B from Safaricom yearly the remaining goes to paying of salaries and other expenses. In other words 90 % of what Safaricom is earning remains in Kenya.
Mkuu naona una free time ya kutosha wa kuongea na huyo zuzu 😃.. i cant even spend 1 sec 😂Wacha kuwa kipofu wewe, tupo kwenye modern world na lazima miundombinu yetu pia iwe modern, suala la itafanya vipi kazi ilete faida hilo ni suala la wasimamizi and incase of failure that means poor governance.. serikali ya mama umesha prove failure kitambo tu.. miundombinu kama yetu imefanywa kwenye mataifa yote yanayoendelea na inafanya vizur tu ..
Are you sure?
Niliona nimueleweshe kidogo 🤣🤣Mkuu naona una free time ya kutosha wa kuongea na huyo zuzu 😃.. i cant even spend 1 sec 😂
Utasimamia tembo mweupe? 😆😆..Wacha kuwa kipofu wewe, tupo kwenye modern world na lazima miundombinu yetu pia iwe modern, suala la itafanya vipi kazi ilete faida hilo ni suala la wasimamizi and incase of failure that means poor governance.. serikali ya mama umesha prove failure kitambo tu.. miundombinu kama yetu imefanywa kwenye mataifa yote yanayoendelea na inafanya vizur tu ..
Iyo ni yetu