Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwendokasi kupata Mwekezaji mpya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220831-121407.png
    Screenshot_20220831-121407.png
    99.1 KB · Views: 26
I thought that is your top Tourist destination kwa huko kunyaland, so as Zanzibar for Tz, how comes you don’t have atleast 1 five star Hotel ?
Na mbona Nairobi Ina 5 star hotels nyingi kuliko Dar yet Nairobi is an inland city while Dar is a coastal city?
 
DIT kuwa centre of excellence ya masuala ya Gas hapa Tanzania..

Bil.100 zitatumika 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220830-205847.png
    Screenshot_20220830-205847.png
    178.9 KB · Views: 24
Na mbona Nairobi Ina 5 star hotels nyingi kuliko Dar yet Nairobi is an inland city while Dar is a coastal city?
Mbona sababu zipo wazi tu, Nairobi ndio your top tourist destination, mbuga za wanyama n.k, bado NAIROBI is your political capital, tena NAIROBI bado is your financial capital..

DAR is only our Financial capital, five star hotels haziezi kuwa nyingi.. utalii upo Arusha na Zanzibar and that's why huko ndiko kwenye five star hotels mingi
 
Uselee mkuu wa Mkoa au poyoyo aliyejenga listand tembo mweupe lisilo na maana!?

Ndio raha ya kukurupuka na mipango na mamiradi ya kupiga picha mkiita maendeleo..

Tembo mwingine mweupe kama machinga complex,na mamiradi mengine ya hovyo kama masoko and such upuuzi..

Nyie mawatu wenye akili ziko confined kwenye mavitabu mliyokariri mkijiita Wasomi huwa hamna akili..shangilieni si hiyo stand ni maendeleo mbona hamtaki tena..
Tatizo ile terminal inahitaji supporting infrastructures kwa mfano vitu kama light rail link kwenda Pugu na nyingine Tegeta ni vitu vya kuzingatiwa pia terminal nyingine Mbagala! Sasa Uber na Bolt ndo hivyo zinapigwa vita mabasi ndo hivyo BRT phase II inasuasua! Unategemea nn?
 
Proud of the KDF for offering a helping hand to the impoverished Tanzanians. These poor people do not have access to the amazing health care that we have here in Kenya and one that we take for granted.

 
Tatizo ile terminal inahitaji supporting infrastructures kwa mfano vitu kama light rail link kwenda Pugu na nyingine Tegeta ni vitu vya kuzingatiwa pia terminal nyingine Mbagala! Sasa Uber na Bolt ndo hivyo zinapigwa vita mabasi ndo hivyo BRT phase II inasuasua! Unategemea nn?
Ndio itaendelea kuwa tembo mweupe hadi muweke hivyo mnavyoita supporting infrastructures..

Kwani wakati mnakurupuka hamkujua hilo? Kwa taarifa yako karibu ma stand yote yaliyojengwa maeneo mbalimbali Tzn yako hivyo na kuleta usumbufu..

Hao watu wa Dar mnaiona hiyo Kero kwa vile Wana pa kusemea kuna vyombo vya habari nk lakini huku mikoani watu wanahenyeka hivyo hivyo..

Stand ziko km 15-20 Nje ya Mji unategemea nini kwenye miji midogo kama Iringa, Sumbawanga,Dodoma,Mpanda nk ?Mastand yenu haya ni Kero na adhabu kubwa kwa wananchi..
 
Sasa Kuna mtu anaweza ijua Tz kuliko waziri mwenye wizara yake husika we famba.? 🤣🤣.. yani uniletee data aliyondoka nyanyaako ndio niiamini hio.? U must be crazy
Huu ujinga was kuchukua proclamations za wanasiasa kama gospel truth ndio unafanya tunawaita bongolala.🤣🤣🤣
 
Huu ujinga was kuchukua proclamations za wanasiasa kama gospel truth ndio unafanya tunawaita bongolala.🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 We mpunga unalazimisha vipi tuhadithiwe story za maisha yetu, Ulisoma wapi wewe kichaa.. yani niokote data mtandaoni niziamini kuliko data za Waziri.? 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom