Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama IT yenyewe ndio hiyo ya kuhesabu kura mil.14 kwa siku sababu taabu sana.Shida mnajifunza kwa IT ya wizi.
Ni wapi uliambiwa kwamba kura zetu zinahesabiwa na technology? Kenya uses manual voting. IT is only employed in voter registration and voter id entification during voting. Every other thing is done mannualy including vote counting and tallying
 
Kigamboni tamu sana! Karen inapigwa mapema hapa!

Hakuna kitu inakaribia karen huko Tanzania
1660905180834.jpeg
1660905301177.jpeg
 
Huyu jamaa hamna kitu sijui anafanya nn kwenye hii wizara hamna kipya gharama za huduma za mawasiliano zinazidi kupanda kila kukicha yy yupo tuu
Hayo ndio majibu yanayowafaa nyie mburukenge..

Anafanya haya hapa ambayo Dunia ina appreciate 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220819-104917.png
    Screenshot_20220819-104917.png
    109.8 KB · Views: 17
Nitashangaa mara mia kama mama hatofanya kitu kwa huyu jamaa. Lkn hii shangaa yangu uncertainly itakuwa ni kazi bure mana hakuna kitu mama atafanya 🤣

Nadhan akifanya kitu kwa huyu jamaa, itajenga useriousness kwa wengine; itatoa picha mama hataki mzaamzaa.. otherwise watu wataendelea kumchukulia poa kama rais wa katiba 😅
Wakati Makonda anajibu shombo na kutisha Mawaziri akiwemo PM,mumeo JPM alifanya kitu gani?

Kamatia hapo hapo Nape,wapumbavu ni kuwajibu shombo tuu hadi akili ziwakae sawa..Ndio maana Makamba JR aliwaambia mkatapike Kama mna hasira Sana..

Mwisho na Mwigulu kawajibu shombo nyingine hii hapa hadi mshike adabu 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220819-062145_Chrome.jpg
    Screenshot_20220819-062145_Chrome.jpg
    65.4 KB · Views: 16
Kuna dalili za kufikisha watalii 1.5Mln by June 2023..

Hadi dakika hii wameshavuka laki 7👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220819-091912.png
    Screenshot_20220819-091912.png
    134.4 KB · Views: 18
Kunyaland waanza kuwaletea nongwa na kauzibe DRC 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220819-103625.png
    Screenshot_20220819-103625.png
    305.6 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220819-103648.png
    Screenshot_20220819-103648.png
    57.5 KB · Views: 19
Wakunya endeleeni kutoa majicho tunapozidi kuwajambia huo 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220819-103424.png
    Screenshot_20220819-103424.png
    115.9 KB · Views: 15
Haters wa Mama wakatafute pa kujificha maana kila wakiombea mbovu wanaumbuka..

TIC na rekodi mpya ya uwekezaji Nchini 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220819-105801.png
    Screenshot_20220819-105801.png
    158.1 KB · Views: 18
Ni sahihi hawa developers ambao wote ni wa serikali kufanya kazi kivyake, namuongelea NSSF mwenye nyumba zaidi ya 4000 kigamboni ambazo zipo stalled na NHC mwenye maelfu ya nyumba Dar na bado anazidi kujenga nyingine mpya kama hizi za Kawe!

Kwanini wasingeona namna ya kushirikiana kumaliza zile za Kigamboni kabla ya kuanza hizi mpya ili miradi iwe ya tija!

NHC upcoming Kawe Project!

Screenshot_20220819-143933_1.jpg
Screenshot_20220819-143958_1.jpg
Screenshot_20220819-144022_1.jpg




NSSF Dege Eco Village Kigamboni

images - 2022-08-19T145106.576.jpeg
images - 2022-08-19T145040.889.jpeg
images - 2022-08-19T145014.592.jpeg
 
Misri kujenga Viwanja vya Michezo Dar,Dom na Arusha 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220819-092321.png
    Screenshot_20220819-092321.png
    117.6 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220819-092332.png
    Screenshot_20220819-092332.png
    34.3 KB · Views: 17
Back
Top Bottom