Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lakini Nicxie kama ni kweli kwamba hilo ndilo ofisi wa makamu wa rais wao basi wameboronga vibaya sana. Yaani liofisi limeoza utadhani ni jengo lililojengwa enzi za world war 1. Mpaka jengo limebadilisha rangi limekuwa brown kwa sababu ya kutu.
Tony 254 huyo nicxie anajifurahisha tuu ofisi ya VP iko next to state house 6 Albert Luthuli road, State house ni 1 Albert Luthuli road zote ziko kivukoni opposite to each other. Hilo jengo analolazimisha kuwa ni VPO liko Sokoine drive Posta ya zamani. Kama una busara tafuta address ya VPO Dar Es Salaam utaona address yake.

Ila office ya VPO Tz ni hii
Screenshot_20220813-004742_Opera.jpg
 
Dunia nzima inatafuta LNG na inakosa kabisa kumbe wajinga fulani wana LNG kwenye ardhi yao ila wamelala usingizi. Mngetengeneza billions of dollars ikiwa mngekuwa na akili ila hamna. Gas ingewaletea pesa nyingi sana wakati huu ambao kuna uhaba mkubwa wa gas duniani.
Wewe kwa akili yako unafikiri LNG ni sawa na kuchimba viazi.
 
Ninachotetea ni kuwaingiza TISS kwenye mambo ya kijinga ya uchonganishi. Hivi kweli taasisi nyeti inayolinda usalama wa Taifa na raia wake kwamba iko Kenya inaratibu mchakato wa kuiba kura nisimame mbele na kupongeza kwamba ni sahihi kweli mkuu wangu?

Kama ningeambiwa ni CCM wanamsupport mgombea fulani ningeona kidogo ni sawa maana wote ni wanasiasa lakini TISS, JWTZ na POLISI wapo kwenye nchi ya watu,raia wa hiyo nchi wanaitafsiri vipi, je wakiamini wakalipa kisasi tutakuwa tumejipostion vipi.

Chuki na fitina zozote kwenye nchi yetu tuzipinge kwa hoja na kutanguliza Uzalendo mbele hasa zile zinazogusa na kuhatarisha Usalama wa Taifa.

Hivi mkuu unajua siyo kila taarifa ni habari sahihi, na siyo kila ukweli unaoujua ni lazima uuseme hadharani, vitu vingine tupige kimya huu ndio Uzalendo kwa nchi yetu.
Bilateral agreement on security
 
Me neither. Watu wengi wanaokimbia nchi zao halafu wanaanza kuzipondea si watu wa kuwaamini hata kidogo. Kama wana uchungu na wako tayari kutetea kwanini wasibaki na sisi tutetee kwa pamoja?
Nyie hamjawahi hata kupalazwa na risasi mnaongea tuu ali mradi.
 
inaitwa mkunjoo! mtu yangu... Esther Passaris akikunjwa na Mike Sonko in Seychelles 🤣🤣

yaani, msambwanda kwa buku jero...
Passairs-.jpg
Screenshot_20220814-183423_Chrome.jpg
Screenshot_20220814-183528_Chrome.jpg

Screenshot_20220814-193134_Chrome.jpg
 
Dunia nzima inatafuta LNG na inakosa kabisa kumbe wajinga fulani wana LNG kwenye ardhi yao ila wamelala usingizi. Mngetengeneza billions of dollars ikiwa mngekuwa na akili ila hamna. Gas ingewaletea pesa nyingi sana wakati huu ambao kuna uhaba mkubwa wa gas duniani.

Aliyekuwa na macho ya kuona opportunity ndani ya tatizo hayupo, sasa hivi tunasema sisi sio kisiwa Hatuwezi mpaka huko duniani waache kupigana.
 
Nyie hamjawahi hata kupalazwa na risasi mnaongea tuu ali mradi.
Mpaka kupalazwa na risasi kuna chanzo chake, ukiambiwa njia zako si sahihi saa nyingine unanyamaza. Yaliyomtokea nampa pole arekebishe arudi nyumbani kumenoga.
 
Back
Top Bottom