Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

enway, Raila can still be president in 2027.. hakuna mbio hapa.. tyme bado iko.. kwani!
Screenshot_20220815-103337_Chrome.jpg
 
Mshindi wa urais anatangazwa saa tisa ambayo ni one hour from now. Nimeambiwa tu hata mimi kwa hivyo sipo sure kama ukweli. Ila what I know ni kwamba mshindi lazima atangazwe leo.
 
Mshindi wa urais anatangazwa saa tisa ambayo ni one hour from now. Nimeambiwa tu hata mimi kwa hivyo sipo sure kama ukweli. Ila what I know ni kwamba mshindi lazima atangazwe leo.
wah! we all have our fingers crossed🤞🏽🤞🏽 don't be surprised for chebukati to announce a re-run match if either of the two fails to garner a 50%+1 vote! ..
 
Mshindi wa urais anatangazwa saa tisa ambayo ni one hour from now. Nimeambiwa tu hata mimi kwa hivyo sipo sure kama ukweli. Ila what I know ni kwamba mshindi lazima atangazwe leo.
Matokeo siyanajulikana tayari.
Katiba yenu mnaitendea haki kwa % kubwa
Tusubiri kwanza tuone
 
Back
Top Bottom