Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vp baada ya kutumiwa zile picha za food donation na joto la jiwe kwani ulisemaje?
we didn't go down on our knees begging for food. it was just a suprise gift from the kuwaiti gov't, a positive gesture to express a cordial relationship that exist between these two prosperous nations.

nb:
we've never begged for any food assistance frm any country, eversince independence...

but u can only give us at your own free will, if you u so wish that is...

sio lazma! hivi, sisi na uchumi wetu mkubwa, tumezoea kuvinunua hizi vitu.

its not a flooker! hatubaatishi mamkuli..

we've never ever seen any positive gesture from the People's Republic of Tanganyika eversince Independence🤔🤔

hiyo nayo lazma kieleweke!☝🏽
 
Watu wa Odinga na Uhunye polen sana.
Freedom is coming. I was very interested since day one, kutaka Ruto awe rais
20220814_212805.jpg
 
It is so simple bongolala. Iko hivi; Kenya has a total of 290 constituencies. Presidential results from these constituencies were uploaded on the portal. Media houses were randomly picking constituencies to tally so how you expected them to have the same figures is baffling.

Let's say citizen started tallying constituencies from the coastal region and NTV started with western region, how are their tallies supposed to be same while tallying is still ongoing? It's common sense bongolala
It doesn't matter but by the end of the total must be the same.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Dunia nzima inatafuta LNG na inakosa kabisa kumbe wajinga fulani wana LNG kwenye ardhi yao ila wamelala usingizi. Mngetengeneza billions of dollars ikiwa mngekuwa na akili ila hamna. Gas ingewaletea pesa nyingi sana wakati huu ambao kuna uhaba mkubwa wa gas duniani.
Unadhani kujenga kiwanda cha kusindika Natural gas ni sawa na kulima miraa?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Baba Levo aliongea from experience na ingewezekana angeweka picha au video ya vile vitu Alina Kenya. If you ask Miguna to provide evidence of his claims will he? This guy is simply bitter because of his deportation. A person who spends the whole time hurling insults at the head of state in social media shouldn't be taken seriously. Yake ni mauchungu, nothing else
What about Tundu Lissu?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom