Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna minyukano huko twitter

Yani kuna viongozi wanatia aibu aisee kwaiyo anatulinganisha na majirani daah while in Europe kuna nchi zinalipa 1 gb kwa 0.24$ wakati hku in 3rd world country is getting more expensive alafu yupo mbele kutetea ujinga
 
Kuna minyukano huko twitter

Hvi kuna haja gani yakutuo kauli kama hii wakati wenzetu kwao kuko hvi 👇👇👇
Screenshot_2022-08-19-18-09-11-1.png
 
Punguza ujinga, nilikuwekea link iliyosema Kenya watu 24 waliuliwa katika election ya 2017, na nikakuambia ulete ushahidi kutoka reliable sources kuhusu watu waliouliwa katika elections 2015 na 2020 Tanzania, badala ya kuleta ushahidi ukaanza kuuliza ujinga.

Watu waliokufa Kenya katika uchaguzi wa 2017 pekee, ni wengi kuzidi chaguzi nne za Tanzania

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wewe ni mtu wa ajabu sana tena uliye na upungufu wa akili. Ndio maana huwezi jadiliana upande wa Tanzania wa jukwaa maanake huwezi thrive pasipo na blind patriots wa kukushangilia hata ukionge upuzi. Umepost link uchwara Ndio hii link uliyoleta. Haya nionyeshe wapi watu 24 wamekufa.

111.jpg
 
Kwani wewe unaposema Kuna mauaji na harassments unatumia sources zipi?, ktn?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hivi kwa hiyo comment yako kuna source? 🤦‍♂️ Boss, arguing with you is like playing a goat a guitar. Kuna tofauti kati ya indices na actual killings. Nimekupa actual killings, wewe unanipa indices tena bila source.
 
Yah ofcoz kulikuwa na madhaifu kadhaa, unajua mtu hawezi kuwa perfect 100% mana yeye co Mungu, mfano JPM alikuwa ananiudhi sn kumvumilia Bashite licha ya ujinga wake japo hilo halikumuharibia mipango yake ya kuliletea taifa maendeleo tunayojidai nayo leo.
Basi tuendelee kuvumilia na madhaifu ya wengine kama yeye tulivyomvumilia tujenge nchi. We don’t hang our dirty laundry in public if you know what I mean.
 
Yes, very disappointed indeed, but according to Martha Karua, it is not over, I am still hoping that killings will occur soon, let's pray together

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
They will only occur in your mind bongolala. You just prove what a black heart you have. I repeat again, pole kwa dissapointment
 
Like wise, personal I know Kenya through this forum, now I search too much about Kenya using YouTube, Google and other social media, before that, I wasn't very much aware about Kenya.

I am sure 90% of Tanzanians who don't visit JF, don't know much about Kenya, because our media don't talk much about Kenya, contrary to your radios and TVs stations which play Bongo Flava, and used to follow Magufuli almost everyday

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Watanzania wanatazama hadi news za Kenya na unakuja kudanganya hapa. Kadoda (I don't know where he went to) used to share screenshot za TV stations za Kenya kwenye runinga yake humu ndani and many others I can't remember. Mini mnafatilia sana news za Kenya ndio maana wengi wenu mnajua hadi majina za mawaziri wetu. Mimi kuna wakati sikujua hata jina ya VP wenu
 
Hehe. Kuna minyuko tena?
Hii awamu mim nasubiria tu 2025, nione hali itakuwaje. Kwa saiz mpk 2025 hakuna namna.
Mama atupishe, ameshindwa kudhibiti mfumuko wa bei, watu wanajipangia bei wanazotaka mama akiulizwa anakwambia dunia nzima gharama za maisha zimepanda pia vita vya Russia na Ukraine imechangia, very lame excuse. Ukweli ni kwamba sio mtu yeyote anafaa kuwa Rais japo mtu yeyote anaweza kuwa Rais.
 
Back
Top Bottom