Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyo jamaa hajielewi a nafikiri akili yetu imefungiwa Dar kama Wakunya akili yao ilivyofungiwa Nairobi, mradi kama electric SGR wenye zaidi ya kilometers 2500 unaopita zaidi ya 65% ya Tanzania tungeamua uwe hizo 'superhighways' anazolalama nazo hapa hapo Dar tungekuwa nazo 200, JNHPP tungeamua iwe expressways Dar tungekuwa nazo 500 lakini akili yetu sio fupi kama wao
Yap!
 
Samia and her government are weak that's why things are the way they are.
Chuma alijua kuwanyoosha watu wa design hii 🤣🤣
20220818_223639.jpg
 
Huyu jamaa hamna kitu sijui anafanya nn kwenye hii wizara hamna kipya gharama za huduma za mawasiliano zinazidi kupanda kila kukicha yy yupo tuu
Nitashangaa mara mia kama mama hatofanya kitu kwa huyu jamaa. Lkn hii shangaa yangu uncertainly itakuwa ni kazi bure mana hakuna kitu mama atafanya 🤣

Nadhan akifanya kitu kwa huyu jamaa, itajenga useriousness kwa wengine; itatoa picha mama hataki mzaamzaa.. otherwise watu wataendelea kumchukulia poa kama rais wa katiba 😅
 
Raila Amolo Odinga is the scientific president.. Azimio fans may go ahead with this scientific celebrate 🎈👏🏽🍾

Scientific President
 
Huyo jamaa hajielewi a nafikiri akili yetu imefungiwa Dar kama Wakunya akili yao ilivyofungiwa Nairobi, mradi kama electric SGR wenye zaidi ya kilometers 2500 unaopita zaidi ya 65% ya Tanzania tungeamua uwe hizo 'superhighways' anazolalama nazo hapa hapo Dar tungekuwa nazo 200, JNHPP tungeamua iwe expressways Dar tungekuwa nazo 500 lakini akili yetu sio fupi kama wao
Halafu expressway ya naipori sidhani kama ni kipaumbele chetu kwa sasa,sababu ile ni 100% mkopo ambao hata sisi tukiutaka tunaupata
 
Nitashangaa mara mia kama mama hatofanya kitu kwa huyu jamaa. Lkn hii shangaa yangu uncertainly itakuwa ni kazi bure mana hakuna kitu mama atafanya 🤣

Nadhan akifanya kitu kwa huyu jamaa, itajenga useriousness kwa wengine; itatoa picha mama hataki mzaamzaa.. otherwise watu wataendelea kumchukulia poa kama rais wa katiba 😅
Nape,makamba na mwigulu mama alitukosea sana Watanzania kuwapa nafasi tena
 
raila has nothing to loose afteral, coz hakutumia ata senti moja kwa campaign
😆😆
FSXRAwWWUAAl4qN.jpg
FSX-TsXXoAAiwbL.jpeg
FZdWjWCWQAAGPNd.jpg
Screenshot_20220819-034938_Chrome.jpg
280747726_3163192893949861_287097171092022970_n.jpg
FSy0B77XEAAtd0j.jpeg
Screenshot_20220819-032851_Gallery.jpg
 
Halafu expressway ya naipori sidhani kama ni kipaumbele chetu kwa sasa,sababu ile ni 100% mkopo ambao hata sisi tukiutaka tunaupata
Hajielewi huyo, BRT ni mara million ya hiyo expressway ya mchina lakini ufahamu wa kujua hilo hana sababu haangalii mantiki ya kitu ila anajali kijengwe tu kionekane bila kujali ili kushindana au kuonekana bora bila umuhimu wa project au upembuzi yakinifu!
 
Nitashangaa mara mia kama mama hatofanya kitu kwa huyu jamaa. Lkn hii shangaa yangu uncertainly itakuwa ni kazi bure mana hakuna kitu mama atafanya 🤣

Nadhan akifanya kitu kwa huyu jamaa, itajenga useriousness kwa wengine; itatoa picha mama hataki mzaamzaa.. otherwise watu wataendelea kumchukulia poa kama rais wa katiba 😅
Atamuondoaje wakati ni mmoja wa majemedari wake kuna yule mwingine alituahidi mafuta yatashuka mwezi huu ila nashangaa ndo yanazidi kupaa anadhani tumesahau
 
Back
Top Bottom