Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Wacheni excuse nyie malazy.Unadhani kujenga kiwanda cha kusindika Natural gas ni sawa na kulima miraa?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wacheni excuse nyie malazy.Unadhani kujenga kiwanda cha kusindika Natural gas ni sawa na kulima miraa?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nakuelewa kaka siku zote.Thanks!!
Kama IT yenyewe ndio hiyo ya kuhesabu kura mil.14 kwa siku sababu taabu sana.Shida mnajifunza kwa IT ya wizi.Bongolala, you are bitter for no good reason. Tanzania itoe nguvu wapi ya kutawala Kenya? Kwanza mtawale akili zenu zilizogandizwa na ujamaa.
Kenya is the hub of IT and this is a well documented fact that won't change however much noise you make from your dingy house in Vingunguti.
Kenya is a thriving tech scene and is home to some of the most cutting-edge start-ups on the continent. Kelele yako won't change that fact. Perhaps this article itakuondoa ujinga kidogo
Unayemwongelea ndiye aliachana na project za Gesi kwa kigezo Cha mikataba mibovu akashindwa kurekebisha huenda leo tungekua tunauza tayariAliyekuwa na macho ya kuona opportunity ndani ya tatizo hayupo, sasa hivi tunasema sisi sio kisiwa Hatuwezi mpaka huko duniani waache kupigana.
Low batteryKwahiyo wewe mpumbavu una amini TISS NI WATU WENYE AKILI NYINGI SANA HAPA TZBASI WEWE KWELI NI HIGH BATTERY
Kwani hujui kanuni kuu ya CCM NI WAPUMBAVU KUWAONGOZA WENYE AKILI
Galana Kulalu, SGR to Malaba na Kimwerer dam vimewashinda ambavyo vyote kwa pamoja haifikii hata $10B. Natural gas plant yetu ni $40BWacheni excuse nyie malazy.


Kwani dunia hii unayokaa imeshikiliwa na kamba?Kali sana lakini mimi siwezi kupanda hii kitu. Yaani dude linaning'inia namna hio?
Sema wewe ni zuzu TISS NI CCM TENA WENGI NI MAKADA VILAZA WATOTO WA MAKADA ...TISS IMEJAA WATU WAPUMBAAVU KWELIKWELI wachache sana ndiyo wana chembe ya akili ....ukisikia uchwawa basi makao makuu ya uchawa na machawa ni CCM na TISS



😂😂😂😂😂😂😂Kwani dunia hii unayokaa imeshikiliwa na kamba?
Haya sisi tuliyajua kua kenya haitatawaliwa zaidi ya kikuyu na kalenjin ile game ya uhuru kujifanya kumuunga raila ilikua siasa za watoto wa nursery 😂😂😂😂😂😂Watu wa Odinga na Uhunye polen sana.
Freedom is coming. I was very interested since day one, kutaka Ruto awe rais
View attachment 2323875
Au anafikiri dunia imekalia kigodaKwani dunia hii unayokaa imeshikiliwa na kamba?



Kuna shida mahaliUsichokijua ni sawa sawa na usiku wa giza totoro.
Anyway, unachokiona ndicho kilichoamuliwa uone.
Mimi katika kitu huwa siwaelewi nyie watu ambao siasa inawatafuna ubongo ni how come haya maneno hukuyasema awamu iliyopita ila unayaona awamu hii!![]()




😂 😂 😂 😂 😂 😂Au anafikiri dunia imekalia kigoda![]()