Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya nyumba za mabox zenu, za manailon zenu, za mabati zenu, za tope zenu, mpaka za mabanzi 😁😁😁

Nyumbani kwa muheshimiwa
FaMfXjLWQAEsMbZ.jpeg


 
with Baba at a verge of loosing.. Atwoli suffers a near fatal heartattack! a BP of 260/150! sio mchezo babaake! pole, enway, atazoea tu..


Screenshot_20220815-142338_Facebook.jpg
Screenshot_20220815-154431_Chrome.jpg
 
Usichokijua ni sawa sawa na usiku wa giza totoro.
Anyway, unachokiona ndicho kilichoamuliwa uone.
Mimi katika kitu huwa siwaelewi nyie watu ambao siasa inawatafuna ubongo ni how come haya maneno hukuyasema awamu iliyopita ila unayaona awamu hii!
Tumia akili magufuli alikuwa kinyume na hiyo fomula ...kama angefuata kanuni ya ccm basi mafisadi yangempenda wewe akili zako ni ndogo kushindwa kuelewa tofauti ya ccm na magufuli
 
Ingekua Ni masaki wangetukana sana

Pamoja na yote lkn Karen siyo level kubwa kiihvyo kama ilivyo Masaki kwa Dar, katika maeneo posh Karen siyo namba 1 kwa Nairobi kama ilivyo Masaki kwa Dar, nimefika Karen siyo pakali kiihivyo kama maeneo ya kwa mfano zilipo Ofisi na makazi ya watu wa UN, Karen kwangu mimi ni kama level ya Mbezi Beach kwa Dar kwa jinsi nilivyoona mimi lakini inawezekana nikawa wrong pia!
 
Back
Top Bottom