Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyie lazy people tabia yenu ya kuidharau Kiingereza niko sure kumeathiri gdp yenu kwa kiasi kikubwa. Kama mngejua Kiingereza kwa mfano, mngekuwa na diaspora population kubwa ambao wangekuwa wanatuma remittance kwa wingi nyumbani. Pili, mngeweza kufanya kazi kokote duniani kama vile unapata Wakenya wapo Namibia na Botswana wanafanya kazi na lugha ya mazungumzo ni kiingereza. Sasa wewe na kiingereza chako kibovu cha ze ze ze na kujiuma ulimi utakosa fursa nyingi sana duniani.
Mpo nje sababu maisha yenu kunyaland ni mabovu na magumu ndio maana mpo tayari kutupwa Mediterranean sea ili tu mkawe manamba ulaya, watanzania hayo maisha hatuna
 
kwani hujamuona miguna kule twitter?
Nimesoma tweet iliyoletwa hapa ,pamoja na kitu alichokuwa anajaribu kukileta kwenye jamii ya Kenya ili kuleta taharuki uzuri ni kwamba Wakenya wamempinga sana kwamba aache uzushi.

Mtu mwenyewe yuko Canada anayajuaje ya Kenya?Kukitokea machafuko hayatamhusu wataangamia wengine wasiohusika.

Wakenya endeleeni kupuuza uvumi na uzushi wa wachumia tumbo, kuweni strong mpaka uchaguzi uishe na maisha yaendelee. Hata TISS wenyewe hawapo ni kuleta chuki tu kwa majirani zenu.
 
Kuna vitu viwili hapa.. kwanza, huo unga kupunguzwa bei ilikuwa gear ya kutaka Odinga kupewa kura. Sasa uchaguzi umeisha, na probably wameshaona matokeo kuwa hilo kundi lao (uhunye+odinga na huyo jamaa) limelose uchaguzi. Pili, in case kuna re-run, wategemee Odinga kupoteza kura zaid
Hawa jamaa hawheleweki uhuru anajaribu juu chini kupindua meza
 
Moshi ni pazuri sana
20220814_092218.jpg
 
res
Mlisema mna technology kubwa sasa mbona mpaka leo siku ya 5 bado matokeo kanchi kenu kadogo na mnasema mnaongoza kwa miundombinu sasa nini kinawakwamisha?
ults zishatoka but due to the constitution demands every foarm to be verified and thats whats going on if you visit iebc election portal the form 34c which is the results form is already uploaded but with access denied till they verify everything.... and the constitution says iebc has 7days to announce so they still on track they just want to make sure they do it thougher.
 
res

ults zishatoka but due to the constitution demands every foarm to be verified and thats whats going on if you visit iebc election portal the form 34c which is the results form is already uploaded but with access denied till they verify everything.... and the constitution says iebc has 7days to announce so they still on track they just want to make sure they do it thougher.
Did they just stopped TVs tallying agencies from working?
 
Nyie lazy people tabia yenu ya kuidharau Kiingereza niko sure kumeathiri gdp yenu kwa kiasi kikubwa. Kama mngejua Kiingereza kwa mfano, mngekuwa na diaspora population kubwa ambao wangekuwa wanatuma remittance kwa wingi nyumbani. Pili, mngeweza kufanya kazi kokote duniani kama vile unapata Wakenya wapo Namibia na Botswana wanafanya kazi na lugha ya mazungumzo ni kiingereza. Sasa wewe na kiingereza chako kibovu cha ze ze ze na kujiuma ulimi utakosa fursa nyingi sana duniani.
Watumwa na wasio na uhakika wa maisha nchini mwao ni lazima wajue lugha za watu ili wakatafute mia mbili mia tatu walete home lkn huwezi kusikia raia wa nchi zilizobarikiwa na Mungu mfano China, Italy, Sweden, Tanzania etc wakahangaikia lugha za watu mana fursa kwao zimejaa tele, zaidi zaidi wewe foreigner mwenye njaa itakuladhimu ujue lugha ya hizo nchi zilizobarikiwa ili upate mkate urudishe nyumbani.
 
Nyie lazy people tabia yenu ya kuidharau Kiingereza niko sure kumeathiri gdp yenu kwa kiasi kikubwa. Kama mngejua Kiingereza kwa mfano, mngekuwa na diaspora population kubwa ambao wangekuwa wanatuma remittance kwa wingi nyumbani. Pili, mngeweza kufanya kazi kokote duniani kama vile unapata Wakenya wapo Namibia na Botswana wanafanya kazi na lugha ya mazungumzo ni kiingereza. Sasa wewe na kiingereza chako kibovu cha ze ze ze na kujiuma ulimi utakosa fursa nyingi sana duniani.
Kuna uhusiano mkubwa wa kuzungumza kiingereza na kufa kwa njaa, tunaogopa tusiwe Kama wakenya wanaokufa kwa njaa kwasababu badala ya kujifunza mbinu za kuzalisha chakula, ninyi mnajifunza kiingereza ili muweze kueleweka vizuri mnapokwenda kuomba chakula kwa mabwana zenu

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom