Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
I agree, there is a real possibility of a run-off. A run-off is not guaranteed but it is a real possibility. Wameachiana gap ndogo sana.13.2m of 14.4m voters.
Hakuna MTU atafika 50%
I agree, there is a real possibility of a run-off. A run-off is not guaranteed but it is a real possibility. Wameachiana gap ndogo sana.13.2m of 14.4m voters.
Hakuna MTU atafika 50%
Ila wakisema Tanzania inawakandamiza wamasai kule Ngorongoro inakua ni ukweli sio madai, Lissu akisema kitu dhidi ya Tanzania ni ukweli, ila Miguna akisema kitu dhidi ya Kenya ni madaiHayo ni madai tu. Ubaya wako wewe huwa mwepesi wa kuamini propoganda zilizoganda.


Vipi kuhusu masoko ya Tanzania?, Hospitali zetu, bus terminal zetu?, SGR yetu?Lakini Nicxie kama ni kweli kwamba hilo ndilo ofisi wa makamu wa rais wao basi wameboronga vibaya sana. Yaani liofisi limeoza utadhani ni jengo lililojengwa enzi za world war 1. Mpaka jengo limebadilisha rangi limekuwa brown kwa sababu ya kutu.



Kulikuwa na video inaonyesha wazi jinsi polisi wenu waliokosa adabu walikuwa wanawamiminia marisasi Wamaasai. Hii sio propaganda kwa sababu kulikuwa na video inayoonyesha unyama waliofanyiwa Wamaasai. Hii ya Miguuna ni madai tu na hajaweka ushahidi wowote.Ila wakisema Tanzania inawakandamiza wamasai kule Ngorongoro inakua ni ukweli sio madai, Lissu akisema kitu dhidi ya Tanzania ni ukweli, ila Miguna akisema kitu dhidi ya Kenya ni madai
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ni aibu kubwa kwa makamu wa rais wenu kuita choo kama kile kwamba ni ofisi yake.Vipi kuhusu masoko ya Tanzania?, Hospitali zetu, bus terminal zetu?, SGR yetu?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Bongolala, you are bitter for no good reason. Tanzania itoe nguvu wapi ya kutawala Kenya? Kwanza mtawale akili zenu zilizogandizwa na ujamaa.Ila angesema Tundu Lissu au Maria Sarungi huko tweeter ungechukulia serious, sivyo?.
Kenya ni hub ya IT?, hakuna hata forum Moja Kenya inayofikia 50% ya JF, Leo ni siku ya 5 bado matokeo ya raia hayajatangazwa, IT Kenya ni kwa akili ya wizi wa pesa na kuiba kura, sio vinginevyo, tutaendelea kuwatawala katika maeneo yote ninyi.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
I don't think there will be a run-off. The Azimio camp yesterday talked with a lot of confidence at KICC.I agree, there is a real possibility of a run-off. A run-off is not guaranteed but it is a real possibility. Wameachiana gap ndogo sana.
Rais wa Kenya mpaka leo bado anaishi kwenye choo cha mkoloni, hilo mbona hulisemi. Karne hii ya 21 nchi imekosa pesa ya kumjengea rais makazi yake mpk anaishi kwenye choo cha mkoloniNi aibu kubwa kwa makamu wa rais wenu kuita choo kama kile kwamba ni ofisi yake.











Odinga hawezi kushinda kwa haki sema atawekwa madarakani na Tanzania ili kutusaidia katika mipango yetuI don't think there will be a run-off. The Azimio camp yesterday talked with a lot of confidence at KICC.







Makamu wa rais wa Kenya anaishi Karen kwenye nyumba ya serikali iliyozinduliwa 2013.Rais wa Kenya mpaka leo bado anaishi kwenye choo cha mkoloni, hilo mbona hulisemi. Karne hii ya 21 nchi imekosa pesa ya kumjengea rais makazi yake mpk anaishi kwenye choo cha mkoloni![]()
Did you understand what I wrote? The text you quoted I said very well that coalitions hundwa pre-elections or post-elections. Hiyo Kizungu rahisi haujaelewa?Wacha uongo, ujerumani na Israel wanaunda coalition baada ya uchaguzi pale ambapo Chama kilichoshinda hakijapata viti vingi ili kuunda serikali. Kwa maneno mengine Kenya mnaunda coalition ili kutafuta kura wakati Ujerumani ni baada ya kura
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Atawekwa na Tanzania? 😂😂😂😂😂😂😂Odinga hawezi kushinda kwa haki sema atawekwa madarakani na Tanzania ili kutusaidia katika mipango yetu![]()
Kwahiyo serikali ilipokanusha na kusema kwamba hiyo video haukuwa ya Sasa hivi ilikua ya miaka ya nyuma kipíndi wanatolewa wavamizi waliokua wamevamia na kuishi katika hifadhi ya Loliondo mbona mnakataa?.Kulikuwa na video inaonyesha wazi jinsi polisi wenu waliokosa adabu walikuwa wanawamiminia marisasi Wamaasai. Hii sio propaganda kwa sababu kulikuwa na video inayoonyesha unyama waliofanyiwa Wamaasai. Hii ya Miguuna ni madai tu na hajaweka ushahidi wowote.


Lakini sio aibu kwa mamilioni ya wakenya kuishi slums?Ni aibu kubwa kwa makamu wa rais wenu kuita choo kama kile kwamba ni ofisi yake.
It is so simple bongolala. Iko hivi; Kenya has a total of 290 constituencies. Presidential results from these constituencies were uploaded on the portal. Media houses were randomly picking constituencies to tally so how you expected them to have the same figures is baffling.Why TV stations have different out come if 99% of the presidential results were out?. This is very dengarous if the Final results won't go the same direction to meet expectations of political divides as per their favorite TV station results
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
hope its maintained this way only politicians are heckling around hehe
Nakumbuka waliinanga Tanzania mno kwamba ilichelewa nikafikiri this time watatuonesha uhodari wao kumbe bure tu!Wacha kutetea ujinga, nchi iliyo na technology kubwa, matokeo hutangazwa ndani ya siku 3, hiyo ya siku 7 ni kwa nchi za hovyo Kama Kenya
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ila we ni kichaa, makamu wa Rais atakosaje office?Kubali hana ofisi. Hizo mipicha mnaleta hapa hazitaondoa huo ukweli. Leta picha ya hizo nyumba na maandishi zinazoonyesha hizo ni ofisi za VP wenu
Mimi sijawahi kumuamini Lissu.Kwahiyo serikali ilipokanusha na kusema kwamba hiyo video haukuwa ya Sasa hivi ilikua ya miaka ya nyuma kipíndi wanatolewa wavamizi waliokua wamevamia na kuishi katika hifadhi ya Loliondo mbona mnakataa?.
Kuhusu anayosema Miguna Miguna kuhusu kinachotokea Kenya, na anayoyasema Lissu kuhusu Tanzania, Kuna tofauti gani?, Mbona unamuamini Lissu lakini hutaki kumuamini Miguna?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app