Hivi Tony254, kwanini unapenda Sana kutaja GDP badala ya kutaja "activities" zinazoleta maendeleo?.
Hivi Kuna faida gani ya GDP ya Kenya na Nigeria Kama hakuna "activities" zozote za maendeleo zinazoendana na hizo GDP?, Wewe mwenyewe umetaja kwamba pamoja na GDP kubwa ya zaidi ya $500B, lakini Nigeria hadi Sasa wanazalisha umeme 4000MW, Kenya hadi Leo watu wanakufa kwa njaa, upungufu wa ajira unaongezeka na idadi ya watu wanaoishi katika makazi duni inaongezeka, hiyo GDP kwako Ina maanisha nini, au ni kujipiga sindano ya ganzi ili upate kupunguza mawazo?
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app