Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Siasa ni Ruthless. Kuna IEBC official wa Nyeri nimesikia akisema ati the polling station with the highest turnout ni 50%. Anyway hakuna shida juu upuuzi wa IEBC imefanya turnout ya Mombasa na Kakamega pia zipungue juu hakuna governor vote huko. Na hizo ni stronghold za Raila. Anyway wacha tutaona itakuwaje. Anything is possible, and it is too early to say anything. Right now, these are just speculations.
infact i believe its pure speculation, with the advent of social media platforms, pple create stories just for the sake of getting shares or likes..
true its still too early to say anythng away.. wacha tu tukae tukingoja kwanza
 
1,400-1,500 MW ni consumption yenu ya umeme. Production ni 1,700 MW. Kwa kawaida lazima production iwe juu zaidi kushinda consumption. Hapo kwa 1,700 MW sijahesabu Kinyerezi gas plant ambayo bado ipo kwenye commisioning and testing phase. Mwakani baada ya testing ya Kinyerezi kukamilika, mtakuwa mnazalisha kati ya 1,900 MW na 2,000 MW ya umeme. Ujuwe Kenya inaconsume around 2,100 MW na inaproduce around 3,000 MW. Kenya consumes more electricity than Tanzania produces.
90%correct,lakini mbio zetu bwawa kubwa litakamilika 2024 hapo ndipo gape kati yetu na nyie litaanza, hamtawahi tupita tena....
Kikubwa tunachotakiwa kufanya ni namna tutakavyotumia huo umeme ulete faida
 
Nina uhakika pesa ikitafutwa inapatikana, sehemu nyingine wapewe Private Sectors washirikiane na serikali, mji utapendeza sana.

Ule mpango wa mama Tibaijuka kama siyo siasa kuingilia kati dar ingekuwa moto sana sasa hivi.

Maamuzi yafanyike whether unataka ama hutaki kama unavyosema ili faida iwe kwa wengi badala ya ku-rely kwa wachache.
Kabisa
 
So to you Apo kumeiva sana?
tuusan, mambo na miji nilikwambiaga mwaka jana, wachia kenya, hivi tanganyika haiwezi ikatoana ubavu na kenya kwenye hili swala..

then we have a kenyan style of arranging our urban centres ndo utaona miji zetu karibu zote zinafanana kama shillingi kwa ya pili, kuanzia nairobi hadi mandera, sirare hadi marsabit, ukunda hadi lokichoggio


nyeri 01
Screenshot_20220809-180826_Gallery.jpg
Screenshot_20220809-180547_Chrome.jpg
Screenshot_20220809-181320_Gallery.jpg
 
CAF Competitions Draw (Tanzanian clubs)

CAF CHAMPIONS LEAGUE (CAFCL)
20220809_182617.jpg
20220809_182522.jpg



CAF CONFEDERETION CUP (CAFCC)
After finishing their rounds, watacheza tena playoffs round moja na dropout of CAF Campions League ili kuingia makundi
20220809_182434.jpg
20220809_182333.jpg
 
and if their's a country tht i think I may never set my foot again, it would be tanganyika. think wht would be my very last time for to set foot in tanzania was in 2015. we had a road trip to tarime from kisii staff training. othrws we had the option of going to masai mara. enway hio nayo ilikua mara ya mwisho kwangu. sidhan ntarudi tena kwenu! na hata sitamani na staki!
Unaongea kama vle ni mwekezaji
 
Nigerians go to any country they perceive to have opportunities. They are not in Tanzania in huge numbers because they don't think that there are many opportunities there. Personally, I don't have any problem with them living in Kenya as long as they do legal activities. I am not worried about them outcompeting us on anything. We are extreme survivors and nobody can outcompete us in our own country. However, for the Nigerians doing dirty businesses, those ones should be arrested and deported ASAP.
Hawawezi kujazana TZ huku mambo yamenyoka tumewapiga pin kila idara ila huko kwenu watajazana maana wanashirikiana na crooks wa Kenya
 
Apo umeenda deep sana,Nimekuelewa vizuri, kumaliza changamoto kama njaa,ukosefu wa ajira na serikali kuweza kuhudumia wananchi wake vizuri ni suala mtambuka...Tuchukue mfano wa Nchi ilioweza kua na maisha bora zaidi bila ya kujali ukubwa wa GDP Yake...nadhani nchi za Scandinavia zimefaulu sana katika jambo hili
Hizi nchi za Scandinavia walikuwa na mfumo wa uchumi wa kijamaa hivi hivyo kupelekea serikali zao kuwa society oriented economies ambazo primary focus yake ni kuinua hali za maisha za watu wake unlike nchi za kibepari focus yake ilikuwa ni kupata faida ndio maana unaona hizo nchi hali za maisha ziko juu kuliko wale wenye GDP kubwa.
 
Next year tutakuwa na 4000MW kama Nigeria sijui nyie mtakuwa hamjafika hata 2500MW
aa wapi.!
the problem with me, is tht, i don't believe in miracles, me i only believe in pure logics and science. tanganyikans you pipo mostly believe in divine intervention, superstition, miracles, witchcraft and myths, sasa nikuulizee, hio 4000mw yooote! itatoka wapi..... angali sahizi mko na 1500mw pekee.. si kawaida unajua ata kuzalisha 1mw ni kazi ngumu sana. nyinyi munaamini kwa ramli, ndo màana 2500mw itatumwa kutoka angani, kisha ipatane na hiyo 1500mw mko nayo, ndo yote ijumlishe 4000mw. haiiyah, zidini tu kuamini nguvu za uganga

that's why mumekuja kuwekeza haya mambo yenu hadi kwetu mashinani kericho.. jambo ambalo ni geni kabisa!🤔

haiiiyah! wacha watanganyika watuoneshe viji mambo😳

Screenshot_20220711-044750_Gallery.jpg
 
Dyfre Wakikuyu wamekataa kutokea kuvote. Naskia voter turnout in Nyeri ni between 15-30%. Hio itafinya Ruto ile mbaya.
Saw on Tv this evening wanasema by noon only 6.5 millon people had voted. Hii inaelekea mpaka mwisho wa voting total votes inaweza kuwa 13 million ambayo ni very low kwa population kama ya Kenya.

There is some kind of voters suppression by faulty kits au wakikuyu wamegoma kupiga kura sababu hamna mkikuyu aspirant kwenye top coalitions.
 
and if their's a country tht i think I may never set my foot again, it would be tanganyika. think wht would be my very last time for to set foot in tanzania was in 2015. we had a road trip to tarime from kisii staff training. othrws we had the option of going to masai mara. enway hio nayo ilikua mara ya mwisho kwangu. sidhan ntarudi tena kwenu! na hata sitamani na staki!
Utakuja tuu wenzako wanaleta remittances kubwa sana nyumbani wewe kaa na hiko ki salary chako halafu mwisho wa siku utajua hujui.
 
1,400-1,500 MW ni consumption yenu ya umeme. Production ni 1,700 MW. Kwa kawaida lazima production iwe juu zaidi kushinda consumption. Hapo kwa 1,700 MW sijahesabu Kinyerezi gas plant ambayo bado ipo kwenye commisioning and testing phase. Mwakani baada ya testing ya Kinyerezi kukamilika, mtakuwa mnazalisha kati ya 1,900 MW na 2,000 MW ya umeme. Ujuwe Kenya inaconsume around 2,100 MW na inaproduce around 3,000 MW. Kenya consumes more electricity than Tanzania produces.
Usual gikuyu brags.
 
Back
Top Bottom