Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,881
- 103,745
fedha yenyu imeshuka sawa Tshs 38,000! 1 kshs=19 Tshs
Australian $ is 40% less than US $ hiyo pesa ni sawa na Tshs 13,000
utajua haujui.. 😆😆ivo tu ndo kunaendaga man.. itabidi tu umezoea kiswahili cha kikenyaHivi Kuna namna Ruto anaweza mpiku Raila?.
"Venye" sio Kiswahili sanifu
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Viwanda vinachangia kwenye GDP and so does transport infrastructure so haiathiri chochote hapo viwanda vinakuwa relocated bali reli na miundo mbinu haiwezi kuwa relocated kwa eneo hilo.Gdp yenu tayari ni ndogo halafu mnaiharibu na kuibomoa? Sasa gdp yenu imepungua kwa kiasi fulani kwa sababu ya ubomozi huo wa viwanda. Kulikuwa na ulazima gani wa kubomoa hivyo viwanda?
Mastadium Gani?The sporting nation na mastudium zao kumbe huku inje wanashika mkia 🤣🤣🤣
Wao ndo husema hata Mimi sijui hehe🤣🤣🤣Mastadium Gani?
Video za kuokoteza hazitusumbui ni kama kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji. GDP inaonekana haisimuliwi.Huyu dada kutoka Nigeria ndio amesema vizuri. Kenya ni king wa East Africa, Nigeria ni King wa West Africa na South Africa ni king wa Southern Africa. Hakuna mtu anayeitambua Tanzania.
Kipo cha ice cream just before the railway crossing on the right na pia baada ya kuvuka reli upande wa kushoto ana godowns kubwa sana.Anacho ndiyo.
Unapanga mipango 90% unategemea investors, mpaka vyoo vya shule tunategemea investors.Afrika huwa tuna mipango mengi ila huwa wabovu kwa kutimiza mipango hiyo.
Very coolKazi inaendelea,baada ya Mbeya Sasa ni zamu ya Njombe![]()
Hivyo vichuguu ndio unaita skylinehebu ona, infact nyeri outperform most tanzanian citiesView attachment 2318784View attachment 2318785



Installed capacity as of now 2200MW + JNHPP 2115MW + Geothermal 2000MW preparatory phase, Kinyerezi III 450MW, Kinyerezi IV 650MW, Rusumo 60M, Kiwira Coal 300MW,Keep dreaming. Hata 5,000 MW hamtafikisha by 2025
Keep on sleepingtotal tanzania output as at 9th august 2022 is only 1500Mw!.. and uganda 1000Mw. that one, we can bet![]()

Installed capacity ya Tanzania sio 2,200 MW. Installed capacity ya Tanzania ni around 1,700 MW.Installed capacity as of now 2200MW + JNHPP 2115MW + Geothermal 2000MW preparatory phase, Kinyerezi III 450MW, Kinyerezi IV 650MW, Rusumo 60M, Kiwira Coal 300MW,
Huyo ni kibaraka wa wazungu kama wakunya wenzake tuu. Maendeleo akiwa nayo mzungu wanaona sawa ila shida inaanza mwafrica mwenzao akipata maendeleo wivu kama wote na watafanya jitihada kama zote kuharibu hayo maendeleo tumeona kwenye EACOP, Ngorongoro, na redtape kwenye bidhaa za viwandani zitokazo Tz.Huu ni wivu Sasa, wewe mwenyewe umesema Africa hatuwezi kupata maendeleo bila kuzalisha umeme wa kutosha, unaelezwa jinsi baadhi ya nchi za Afrika zilivyojipanga ili kuzalisha umeme, wewe unakasirika badala ya kupongeza angalau kwa kuwa na hiyo mipango.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ukiondoa hiyo National Stadium hamna stadium nyingine pale. 🤣 🤣 🤣Wao ndo husema hata Mimi sijui hehe🤣🤣🤣
Mama mmoja mzungu nadhani kutoka World Bank alikuwa anahojiwa BBC kuhusu masuala ya energy na environment. Alitembea Africa akajionea hali halisi ya mahitaji ya energy akashangaa kuwa wao huko europe wanataka kupunguza matumizi ya fossil fuels duniani wakati Africa bado kabisa hatuna hata nishati ya kutosha. Aka suggest kuwa wachafuzi wakubwa wa mazingira ni wazungu hivyo kuna haja ya ku redefine policies kuhusu mazingira duniani to policies ambazo Africa itakuwa exempted ili waweze kutumia fossil energy katika kujitosheleza kwa nishati kabla ya Africa kuanza ku comply na environmental requirements in energy projects.Mimi nimesema kwamba sisi Waafrika huwa tunapenda kulia lia na kublame wazungu kwa kila kitu. Sasa wazungu hawajazuia Eacop kujengwa. Kama nchi za EU zingetaka Eacop isijengwe wala hata mkataba haungetiwa saini. NGOs wanaopiga mdomo hawajazuia ujenzi kuendelea. NGOs mnastahili kuwapuuza tu na kuendelea na ujenzi. Lakini sio ukweli kwamba nchi za EU zinapinga ujenzi wa Eacop. Huo ni uongo na kama wangepinga basi ujenzi hata haungeanza. Hata hio Total ingekuwa imeshajiondoa kwenye mradi huo kama vile Total, Exxon Mobil, Eni, BP na Shell zilivyojiondoa huko Russia.