Kinjekitile Jr
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 599
- 1,765
Jana nilikuwa na Wakenya na mganda mmoja tunapiga story baada ya kuwa tumetoka chimbo mahali.....aiseeh!!! Mkenya mmoja(Mkalenjin) akawa anatuambia kitu ambacho nilitamani kushare nanyi,alisema;
"Unajua kiukweli wakenya wengi tukiwa primary,secondary hadi university,walimu pamoja na lectures walikuwa wanatuaminisha kuwa hapa EA kenya ndio kila kitu,huwezi ukapata vitu vizuri nje ya Nairobi au Kenya ila baada ya Globalization hasa ujio wa social network imetufanya tufahamu kwamba kenya ni kama nchi zingine tu za EA"
nikamuuliza vipi,unaionaje Tanzania ya sasa(maana jamaa katembea sana hapa EA) jamaa akaamua kufunguka;
"To be honest,Tanzania mnapiga hatua kubwa sana kuishinda ata Kenya,mambo mnayo yafanya kenya tunahitaji miaka mingine 30 ndio tuwafikie........Unajua kenya,70% project nyingi zinategemea mikopo kutoka nje na hapo bado corruption inaingia,bora yenu mna commitment ya maendeleo " mwenzake alikuwa anatikisa tu kichwa kuwa anakubaliana na mtoa mada
Ninawasihi wakenya mliomo humu jukwaani jitahidini kuwa wawazi ni sehem moja wapo ya kupunguza stress za maisha
"Unajua kiukweli wakenya wengi tukiwa primary,secondary hadi university,walimu pamoja na lectures walikuwa wanatuaminisha kuwa hapa EA kenya ndio kila kitu,huwezi ukapata vitu vizuri nje ya Nairobi au Kenya ila baada ya Globalization hasa ujio wa social network imetufanya tufahamu kwamba kenya ni kama nchi zingine tu za EA"
nikamuuliza vipi,unaionaje Tanzania ya sasa(maana jamaa katembea sana hapa EA) jamaa akaamua kufunguka;
"To be honest,Tanzania mnapiga hatua kubwa sana kuishinda ata Kenya,mambo mnayo yafanya kenya tunahitaji miaka mingine 30 ndio tuwafikie........Unajua kenya,70% project nyingi zinategemea mikopo kutoka nje na hapo bado corruption inaingia,bora yenu mna commitment ya maendeleo " mwenzake alikuwa anatikisa tu kichwa kuwa anakubaliana na mtoa mada
Ninawasihi wakenya mliomo humu jukwaani jitahidini kuwa wawazi ni sehem moja wapo ya kupunguza stress za maisha