Sio mini cooper bro nakuja na jini moja hvi [emoji23][emoji23][emoji23] wewe niunganishe
Ndio hii au
Hapo inapigwa draft moja matata sana [emoji2]Sisi huku Tz tunakula kisinia?unakijua kisinia wewe?naona nyie Monday to monday mnazungumzia unga lol [emoji38] View attachment 2295558
Ya kawaida bro hakuna dharau wala nn😂Litaje kwanza [emoji23]maana nyie wenye machine kubwa mna dharau sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa unalilia nn 😂😂😂😂failed state, na ilhali huku makampuni tajika ulimwenguni ikizidi kuwekeza!!? aah?!
Ya mwaka ganiHapana, Changu ni Budget BMW , F20 [emoji23][emoji41]
yote ni kuwekeza, hio ajira nayo!?.. bahati yenu kulikua na msukosuko kiasi, othws ata hio dangote cement ingekua humu nchini kwetu.. tanganyika hamna lolote ila empty office spaces postaKampuni gani inawekeza au kufungua ofisi ni kuwekeza 😂😂😂
Jitu litakufa kwa habari hizi [emoji16]
Kufungua ofisi alaf bado wanaajiri watu wao kutoka nchi zao wenyewe alaf nyinyi bado muna unemployment rate kubwa zaidi africa 😂😂😂😂 leo utashangaa mpaka mashirika yenu bado yameshikwa na wageni just imagineyote ni kuwekeza, hio ajira nayo!?.. bahati yenu kulikua na msukosuko kiasi, othws ata hio dangote cement ingekua humu nchini kwetu.. tanganyika hamna lolote ila empty office spaces posta
Dawa ya subaru boysSame here.
Ya kawaida bro hakuna dharau wala nn[emoji23]
Ya mwaka gani
Poa hakuna noma[emoji23][emoji23][emoji23] ntakupa location next meet.
Shida ni jointed rail inaumiza kichwa. Nimezoea kupanda za Ulaya na marekani you can tell the difference kati ya continuous welded electric sgr na diesel powered jointed rail sgr.Umekoma? Ulipandia SGR wewe wapi maskini wa mbeya?
Ila we jamaa ni fala sana
hebu oneni tu venye mna shangilia na kujivunia hio kampuni moja yenye ili infringe into your country by default from kenya. hio tu ili slip off by mistake due to some misunderstanding that could be resolved eazily...Kufungua ofisi alaf bado wanaajiri watu wao kutoka nchi zao wenyewe alaf nyinyi bado muna unemployment rate kubwa zaidi africa 😂😂😂😂 leo utashangaa mpaka mashirika yenu bado yameshikwa na wageni just imagine
Dangote kaekeza zaidi ya 1b usd na kaajiri watu zaidi 20,000 direct and indirect so na sasa hvi anajenga kiwanda kipya cha chokaa zaidi ya 350m usd inaigia tena
Njaa headquarters is in NairobiTruecaller's African Headquarters is in Nairobi, Kenya.
Google opened its first African product development center in Nairobi, Kenya.
IBM has a Research Lab in Nairobi, Kenya.
Visa's first African innovation studio is in Nairobi.
Bolt's African Headquarters is in Nairobi.
United Nations Environment Programme (UNEP)'s Headquarters is in Nairobi.
View attachment 2295839
View attachment 2295841
View attachment 2295843
View attachment 2295844