Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,712
- 107,153
Hatimae. September mambo yatakuwa shwari. Maono yake yatakuwa yametimia
Na JPM sio? Msukuma mkabila! Kwa akili yako mbovu unaweza kudhani Rusumo Hydropower ni yeye ndiye aliyeleta mradi!Eti Mkoa wa kigoma ulisahauliwa😅
Kuchelewa kwake ni matunda ya mjambiani mpumbavu
MY TAKE
Mradi umechelewa sana huu!
JPM THE GREAT kama siyo yeye reli yetu ingekuwa chini ya reli ya kenya kwa ubora na usasa ...arafu wapumbavu mnataka kumfananisha huyu kijambio na jpm kweliWaganda wajiandaa kukimbia Mombasa port [emoji116]
😂😂 kwani mradi uliianza kujengwa mwaka gani ok basi tufanye hvi tuondoe mradi wa rusumo , je jnhp ikikimalika kigoma bado watatumia mafuta kuzalisha umeme?? 😅😅😂 bro umeishiwa bora ujinyamazie na chuki zakoNa JPM sio? Msukuma mkabila! Kwa akili yako mbovu unaweza kudhani Rusumo Hydropower ni yeye ndiye aliyeleta mradi!
Huyu ni Mkenya au ni "East African?[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha. Aisee wewe ni comedian kwenye jukwaa hili.
Hehee. Mradi unajengwa kwa nchi tatu na kwa fedha za nje, ila eti unaechelewa na mtu mmoja 😀Eti Mkoa wa kigoma ulisahauliwa😅
😂😂 kwani mradi uliianza kujengwa mwaka gani ok basi tufanye hvi tuondoe mradi wa rusumo , je jnhp ikikimalika kigoma bado watatumia mafuta kuzalisha umeme?? 😅😅😂 bro umeishiwa bora ujinyamazie na chuki zako
Wakenya wengi wanasema hivyo hivyo, ukweli ni kwamba wakenya waliaminishwa hivyo toka wakiwa watotoJana nilikuwa na Wakenya na mganda mmoja tunapiga story baada ya kuwa tumetoka chimbo mahali.....aiseeh!!! Mkenya mmoja(Mkalenjin) akawa anatuambia kitu ambacho nilitamani kushare nanyi,alisema;
"Unajua kiukweli wakenya wengi tukiwa primary,secondary hadi university,walimu pamoja na lectures walikuwa wanatuaminisha kuwa hapa EA kenya ndio kila kitu,huwezi ukapata vitu vizuri nje ya Nairobi au Kenya ila baada ya Globalization hasa ujio wa social network imetufanya tufahamu kwamba kenya ni kama nchi zingine tu za EA"
nikamuuliza vipi,unaionaje Tanzania ya sasa(maana jamaa katembea sana hapa EA) jamaa akaamua kufunguka;
"To be honest,Tanzania mnapiga hatua kubwa sana kuishinda ata Kenya,mambo mnayo yafanya kenya tunahitaji miaka mingine 30 ndio tuwafikie........Unajua kenya,70% project nyingi zinategemea mikopo kutoka nje na hapo bado corruption inaingia,bora yenu mna commitment ya maendeleo " mwenzake alikuwa anatikisa tu kichwa kuwa anakubaliana na mtoa mada
Ninawasihi wakenya mliomo humu jukwaani jitahidini kuwa wawazi ni sehem moja wapo ya kupunguza stress za maisha
Kwani cha muhimu nn location ya kituo au watu wapate umemeKwa hiyo kwa vile kimeanza kujengwa 2017 basi yeye ndiye alitafuta funds? FYI kituo cha umeme badala ya kuwa Biharamulo kimepelekwa Chato!
![]()