Nyie mmeanza kutumia hiyo low class sgr ndio tambo zote hizi kama sgr nishapanda sana tena za speed zaidi ya mara 4 ya sgr yenu.Lisharobaro halijawahi tumia SGR lakini kazi ni mdomo tu apa
Nyie mmeanza kutumia hiyo low class sgr ndio tambo zote hizi kama sgr nishapanda sana tena za speed zaidi ya mara 4 ya sgr yenu.Lisharobaro halijawahi tumia SGR lakini kazi ni mdomo tu apa
Ebu soma data za Simon halafu ulinganishe na hiyo ya 2020.[emoji3][emoji3]Sasa unapingana na serikali yenu? Serikali yenu imesema kwamba Tanesco ilikuwa na 2.9 million customers mwaka wa 2020. Sasa data gani mpya unangojea?
Hii mijitu ni mibishi sana hata uwape semina elekezi bado akili zao zimedumaa na propaganda walizo fundishwa toka shuleni kuhusu Tanzania.Punguza upumbavu wako, wewe sema ni nchi gani duniani ambayo serikali imewaingizia umeme na maji hadi ndani kwenye Nyumba za watu binafs.
Jukumu la serikali nikufikisha maji na umeme hadi karibu na makazi ya wananchi, kisha kila mwananchi ataomba ili kuingiziwa maji na umeme Nyumbani kwake.
Kitendo cha wananchi kuweza kuzifikia huduma za kijamii kwa karibu, hiyo ni" accessibility", na kitendo cha wananchi kuwa na uwezo wa kulipia ili kuzipata hizo huduma za jamii ni ,"affordability" na kitendo cha wananchi kupenda kuzitumia hizo huduma ni" acceptability".
Hapa tunazunguamzia "accessibility" ya huduma za kijamii, Hilo ni 100% jukumu la serikali, hayo mengine ya "affordability na acceptability", kwa sehemu kubwa ni jukumu la mtu binafsi, japo ni jukumu la serikali kushusha gharama ili ziwe ni "affordabl" kwa wananchi wengi zaidi
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
South of Sahara ligi ziko mbili tuu South Africa and Tanzania zingine zote ni amateur.Kwa sasa hivi Tanzania ni gateway ya wachezaji kwenda Egypt , Morocco na south Africa . Kulikua na mghana namungo Steven sey kama nimeandika jina lake sawa sawa after one season alipata team Egypt , tena alikua namungo , yaani ligi ya bongo unapata hela plus mileage ya kuonekana . Ndio maana hata waandishi wa West Africa uwa wanakuja kuangalia mpira kwenye baadhi ya mechi
Ulipandia kwa ndoto zako labda sababu Danganyika hakuna SGR inabeba abiria.Nyie mmeanza kutumia hiyo low class sgr ndio tambo zote hizi kama sgr nishapanda sana tena za speed zaidi ya mara 4 ya sgr yenu.
Wakenya, njooni muwachukue hawa wake wawajengee madaraja kwa Bei nafuu badala ya kuwaita wachina
Tony254
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kila mtu hata wenzako wanakushangaa kulinganisha kichwa cha treni ya ufundi na kuchwa cha treni inayotoa huduma and by the way bado kichwa cha treni ya ufundi ni kizuri na specs zake ziko juu sana.Kipigo cha karne. Twitter kilio[emoji23][emoji23]View attachment 2295209
Magufuli alifanya bei flat 27k kila mahali lakini ikaja ikabadilishwa watu wa rural areas cost imebakia 27k ila urban centres ndio imepanda.Sasa mbona huyu mwongo kwa jina joto la jiwe anatudanganya kwamba bei ya kuconnect umeme ni Tsh 30,000 kumbe ni Tsh 300,000. Kwa kila maneno 100 ya Joto la jiwe chukua sufuri.
Sipandi tena hiyo sgr yenu nimekoma kabisa.Ulipandia kwa ndoto zako labda sababu Danganyika hakuna SGR inabeba abiria.
Wakenya washachoka na kubebwa na SGR, ni kitu cha kawaida ..unaweza book ticket kutumia simuView attachment 2295269
Tena hao wa Nje ya Grid/Off Grid Wana Bei yao maalumu ,on top of that Kuna mradi wa peri urban nao wanakuwa kwenye favour ya punguzo la Bei..Magufuli alifanya bei flat 27k kila mahali lakini ikaja ikabadilishwa watu wa rural areas cost imebakia 27k ila urban centres ndio imepanda.