Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Kwani Nigeria ni maembe aje? 😂 😂 😂 😂Watanzania hawajui kiswahili wala kizungu.View attachment 2293469
Kwani Nigeria ni maembe aje? 😂 😂 😂 😂Watanzania hawajui kiswahili wala kizungu.View attachment 2293469
kwa kweli sioni dalili ya cable, labda tusubirie nguzo zote zikamilike. Kwa sababu walisema kutakuwa kuna nguzo tatu kuu katikati labda hizo ndio zinaweza fungwa cable kuongeza ubora na muonekano.Kwahiyo siyo la cable?
Aston Villa huwa inanyorosha Man Useless sio mara moja.., (hujambo The best 007 ).,Unachokifanya nikama vile kuwa mshabiki wa Aston villa![]()
The idiots don't know kuna tofauti ya accessibility na real connection.,., nyaya za umeme zikipita nje ya nyumba yako haimaanishi wewe uko na umeme kwako nyumbani, u have to connect., ndio maana connectivity ya Tz is low, though govt ime enhance availability thus easy accessibility, but kwa ajili ya ufukara wao ulio tapakaa vijijini, few are connected to the grid.,Hio ni according to akili zenu za kitanzania....sisi wengine duniani tunapima access to electricity na the number of households connected to electricity
Ata hapa jiji la Mwanza kata nyingi hazina umeme watu wanaushi mijini lakini hawana access ya umeme, na hapa ni Mwanza je vipi kuhusu mikoa mingine, hizi siasa za Tanzania ni za ajabu sana, manguzo yametelekezwa chini yapata mwaka mmoja na nusu yapo barabarani. Kwenye ukweli tuseme sizan kama access ya electricity inafikia ata 30% kwa watanzania, tatizo lingine wachangiaji wapo Dar wanazani na sehemu nyingine za Tanzania kuna umeme.
Mwanza tuna ziwa victoria lakini maji tunapata mara moja kwa mwezi na ziwa tunaliona.
Nazungumza fact huduma za kijamii kwa Tanzania bado tupo nyuma sana.
Tuendelee kushindanisha maghorofa ya mji fulani na mji fulani, ikiwa huduma muhimu hakuna
Nchi nyingi za scandinavia hazina majengo marefu kama ya posta au Nairobi lakini wapo mbali sana kiuchumi na huduma bora za kijamii.
NB; POVU RUKSA KWA WAPUMBAVU.
Jibu zuri sana Geza ni wakupotezewa naona ana ugonjwaa wa kusahau sahauSiasa za mwendazake na sukumagang zimesaidia kujengwa kwa Bwawa la Rusumo (Rusumo Hydropower Plant) for Kigoma, bwawa likianza hakuna sehem tutatumia mafuta kwa ajili ya umeme nchin, for more inqury, let me know
30 June, 2021
View attachment 2294624
Nimesafiri na SGR from Mombasa to Nairobi, inafika 116km/h, wacha porojo, kila coach has a small digital screen above the corridor entrance showing moving speed., and I was watching it, the train was running between 95 and 116KM/h.., averagely., inachezea 105 to 110 sana sana., so wewe ni muongo., kaulize yeyote ambaye ametumia SGR.,Na hata 100 halifiki manake hio vibration na bahat mbaya reli yao ni bolt joint 😂😂😂
Ila wao wako na hii sehemu moja tu inayopendeza na skyscraper ndefu zinazohesabika, yaani ni kama Dar, yenye sehemu moja looking dope, mbali na hapa hakuna sehemu nyingine with such👇 looks or same type of buildings ., so haiwezi kushinda Nairobi ata Ethiopians watakuambia wenyewe, maybe ungesema hii 👇aesthetics., it looks dope.,Imeshinda hata Nairobi pia
Mkoa wenye access kubwa ya umeme ni Kilimanjaro ,Mkoa wa kilimanjaro suala la umeme wako levels,hata maji na mambo mengine ya msingiAta hapa jiji la Mwanza kata nyingi hazina umeme watu wanaushi mijini lakini hawana access ya umeme, na hapa ni Mwanza je vipi kuhusu mikoa mingine, hizi siasa za Tanzania ni za ajabu sana, manguzo yametelekezwa chini yapata mwaka mmoja na nusu yapo barabarani. Kwenye ukweli tuseme sizan kama access ya electricity inafikia ata 30% kwa watanzania, tatizo lingine wachangiaji wapo Dar wanazani na sehemu nyingine za Tanzania kuna umeme.
Mwanza tuna ziwa victoria lakini maji tunapata mara moja kwa mwezi na ziwa tunaliona.
Nazungumza fact huduma za kijamii kwa Tanzania bado tupo nyuma sana.
Tuendelee kushindanisha maghorofa ya mji fulani na mji fulani, ikiwa huduma muhimu hakuna
Nchi nyingi za scandinavia hazina majengo marefu kama ya posta au Nairobi lakini wapo mbali sana kiuchumi na huduma bora za kijamii.
NB; POVU RUKSA KWA WAPUMBAVU.
kwani design ya daraja hapo kwenye picha inasemaje?kwa kweli sioni dalili ya cable, labda tusubirie nguzo zote zikamilike. Kwa sababu walisema kutakuwa kuna nguzo tatu kuu katikati labda hizo ndio zinaweza fungwa cable kuongeza ubora na muonekano.
View attachment 2294870
Kwann data zenu lazima mziongeze?Wb wametoa mkeka juzi ty hapa ke $110 sasa iyo figure umeitoa wap?kwani.!!? $114 na $67 ni wapi na wapi ata wee ukiona tu.? aah?
Ni kama tu vile Eastlands ni zaidi ya Dar CBD yote na Kariokoo mara mbili 😂 😂 😂 😂 😂So east upanga ni sawa na mombasa yote 😂😂😂😂.
Naona nguzo tatu kati zenye cablekwani design ya daraja hapo kwenye picha inasemaje?
Mi naenda na wewe kwenye hili, mtu kama umekula alafu jirani akasema mbona sijaskia ukipika wewe unapungukiwa nn apo?kama a cess iliongezeka wangepewa takwimu na wahusika mana najua hizi taarifa nyingi wanazitoa kwenye mamlaka na wanajiridhisha nazo kabla hawajaziweka kwemye maandishiTanesco ilikuwa na 2.9 million customers wa umeme in 2020. Kenya power ilikuwa na 5.9 million customers in 2017. Hata kama mnapenda ubishi namna gani, huwezi kulinganisha 2.9 million customers wa umeme na 5.9 million customers wa umeme. World Bank wanaposema kwamba access to electricity ya Kenya ni 71.4% na ya Tanzania ni 39.9% wao sio wajinga, wanajua wanachosema.
Kenya Power confirms 5.9 Million customers connected to the grid | kplc.co.ke
Nairobi, March 20, 2017…..Kenya Power has confirmed that 5.9 million customers have been connected to the grid to date through ongoing government-led national electrification programmes.www.kplc.co.ke
Cc joto la jiwe coodip1 chongchung
Cc Geza Ulole
na ndo inajengwa hivyo cables zitawekwa katikati pale meli zitapita chini!Nona nguzo tatu kati zenye cable
Sure, hata naona space hapo kati ni kubwa (widith/ height) kati ya hizo nguzo/ maji na barabara.na ndo inajengwa hivyo cables zitawekwa katikati pale meli zitapita chini!
Sema tu unataka debate na umekosa mtu wa kudebate nae... idadi ya connected customers umeikubal kama ilivyo, ila % ya access to electricity unaikwepa kama radi😂Narudia tena kwa mara ya mwisho kwamba Tanesco ina 2.9 million customers wa umeme wakati Kenya power ina zaidi ya 5.9 million customers wa umeme.
Kenya Power confirms 5.9 Million customers connected to the grid | kplc.co.ke
Nairobi, March 20, 2017…..Kenya Power has confirmed that 5.9 million customers have been connected to the grid to date through ongoing government-led national electrification programmes.www.kplc.co.ke
Cc joto la jiwe coodip1 chongchung