Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Dodoma inazidi kupaa
Yani east upanga ni sawa na mombasa yote kutokana na maelezo yako lakini 😂😂😂😂😂Ni kama tu vile Eastlands ni zaidi ya Dar CBD yote na Kariokoo mara mbili 😂 😂 😂 😂 😂
Kama ni hivyo basi samia na mafisadi wenzake wamechenji gia kifisadi aiwezekani bei kuwa sawa baina ya daraja la kawaida na cable. Maana naona kama nguzo zote zipo karibu karibu sanakwa kweli sioni dalili ya cable, labda tusubirie nguzo zote zikamilike. Kwa sababu walisema kutakuwa kuna nguzo tatu kuu katikati labda hizo ndio zinaweza fungwa cable kuongeza ubora na muonekano.
View attachment 2294870
Kuna siku mtaambiwa kipande cha kwenda bandarini Magufuli alikiondoa ili kupunguza gharama🤣🤣Jibu zuri sana Geza ni wakupotezewa naona ana ugonjwaa wa kusahau sahau
Bro hiki unachoongea hakihusiani kabisa na upatikanaji na umeme. Ni kweli kuna watu wengi wako mjini la umeme hawana ni kwa sababu ya umasikini tu. Kuna watu wako mjini lakini hiyo 300,000 ya kuunganishwa umeme hawana. Sio kwamba umeme hakuna laa.......mara nyingi nguzo ziko mbele ya nyumba zao.Ata hapa jiji la Mwanza kata nyingi hazina umeme watu wanaushi mijini lakini hawana access ya umeme, na hapa ni Mwanza je vipi kuhusu mikoa mingine, hizi siasa za Tanzania ni za ajabu sana, manguzo yametelekezwa chini yapata mwaka mmoja na nusu yapo barabarani. Kwenye ukweli tuseme sizan kama access ya electricity inafikia ata 30% kwa watanzania, tatizo lingine wachangiaji wapo Dar wanazani na sehemu nyingine za Tanzania kuna umeme.
Mwanza tuna ziwa victoria lakini maji tunapata mara moja kwa mwezi na ziwa tunaliona.
Nazungumza fact huduma za kijamii kwa Tanzania bado tupo nyuma sana.
Tuendelee kushindanisha maghorofa ya mji fulani na mji fulani, ikiwa huduma muhimu hakuna
Nchi nyingi za scandinavia hazina majengo marefu kama ya posta au Nairobi lakini wapo mbali sana kiuchumi na huduma bora za kijamii.
NB; POVU RUKSA KWA WAPUMBAVU.
Masaa 3 sahau kabisa, mombasa Nairobi ni 480 km kwa speed ya 120km/hr bila kusimama hata kituo kimoja ni 4hrs.Nimesafiri na SGR from Mombasa to Nairobi, inafika 116km/h, wacha porojo, kila coach has a small digital screen above the corridor entrance showing moving speed., and I was watching it, the train was running between 95 and 116KM/h.., averagely., inachezea 105 to 110 sana sana., so wewe ni muongo., kaulize yeyote ambaye ametumia SGR.,
Na kuna wakati inashuka hadi 75km/h., I guess coz of timing ile inayotoka Nairobi, maana kuna mahali zinapishana, lazima zifike pale kwa pamoja., but nadhani kama hakuna oncoming train., from Nairobi to Mombasa and vice versa mwendo inaeza kuchukua around 3 hours..,
Uko sahihi, considering the 480KM.., lazima zifike kwa passing loop at around the same time.., timing ni key.Masaa 3 sahau kabisa, mombasa Nairobi ni 480 km kwa speed ya 120km/hr bila kusimama hata kituo kimoja ni 4hrs.
Treni yenu hutumia 5hrs, hii ni wastani wa 96km/hr.
Suala la kupishana nyinyi si ndio huwa mnajisifu humu kwamba mna passing loop kibao
Kaka cable zitakuwepo katikati hakuna kilichobadilika, angalia hii video utaona kati kuna gape, na hii sehemu ya katikati itawezesha feri na boat kupitaKama ni hivyo basi samia na mafisadi wenzake wamechenji gia kifisadi aiwezekani bei kuwa sawa baina ya daraja la kawaida na cable. Maana naona kama nguzo zote zipo karibu karibu sana
Njia panda ya segerea tokea majumba sitaSijaelewa reli ipi inapita mpk barabara kubwa.. ila upande wa huku barabara ya g/mboto (mataa) hakuna shida.. space ipo ya kutosha hata kwenye services road wanaweza kujenga kwa shape ya L. shida ni huko kwenye nyumba
Hili daraja ni combination ya cable stayed na normal bridge. Cable staying itakuwa katikati ya maji huko ila huku mwanzoni itakuwa ya kawaida.Hivi ilo daraja litakuwa la cable kweli ? Mbona nguzo zipo karibu karibu sana au wamebadilisha ramani