Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Si kuna story ya kukarabati mabehewa na vichwa mitumba
Yes lakini hawahusiki na sgr. Hizo vichwa vya Tazara Afrio 4000 vilinunuliwa na Prassa kampuni ya reli south africa lakini vikawa virefu kwa kwenda juu ikawa havipiti kwenye baadhi ya njia za reli zenye power line ziko low hence vikapata kazi tazara
 
Leo hatuongei kuhusu Kenya, tunaongea kuhusu Tanzania. Mbona mumebarikiwa sana na mwenyezi Mungu kwenye kila eneo na bado Kenya inawachapa? Hivi hamjisikii aibu kupigwa na kanchi kadogo nusu ya size ya nchi yenu, kenye jangwa, hakana madini, hakana rutuba? Aibu hata kidogo tu hamna? Hata ukiwa pekee yako kitandani usiku hujawahi waza ni kwa nini Kenya na matatizo chungu nzima inawatandika vibaya hivyo? Najua umewahi kufikiria haya mambo ila hapa JF unakaza fuvu na kujifanya strong. Tumieni rasili mali yenu vizuri. Mnastahili kuwa number 1 Afrika. Shamba yenye rutuba, madini, mbuga za wanyama ni vitega uchumi ambavyo vinastahili kuwafanya muwe munashindana na Afrika kusini kiuchumi.
Cc Geza Ulole
chongchung
tuusan
Tunapambana ivyo ivyo tutakuaje no1 Africa na unona wenye mafuta ndio vinara kule juu
 
[I also do love Space Science]


You must knw tht a Galaxy is an astronomically huge phenomena for it to cease in its existence within a 13billion year period..


Now let us take the case our Galaxy, ie. the 'Milky Way' for instance and see how astronomically huge it is, then try to image how long it would take for it to shutdown or collapse and therefore cease to exist.



The image of our Galaxy we see on earth, is what we normaly reffered to as the Milkyway. it actualy looks like a band of stretch of lights because we are seeing it from its blade, ie. its Side Elevation of its disk shape form 👇🏽

View attachment 2287606View attachment 2287608



If we were only able view the milkyway from an angular position, this is how it would look like 👇🏽

View attachment 2287605



Then you can just image that our huge Solar System, ie. the Sun+its 8Planes just looks like a dot of star among many many other millions of stars within the said milkyway galaxy.
(all the stars we are able to see at night is just but a millionth of all the stars in our galaxy) 👇🏽

View attachment 2287623

NB:
Note that, as far as our earth takes 365.25days to complete one orbit around the sun, and so does our Sun take 251million year to complete one orbit around the centre of the Milky Way 👇🏽

View attachment 2287625


Every element of light you see here, is an independent Galaxy within the vast Universe.
That would explain how unimaginably enormous the universe is.. let me just say its to infinity or in simple terms, its endless! 👇🏽

View attachment 2287616


Conclusion:
Walker255, so your doubt about collapsing of some galaxys within 13billion year period is not justified at all. They all still do exist upto now, given a gigantic huge scale of each and every galaxy!
I love that you’re also fascinated by the cosmos. And I also appreciate the time you’ve put to write all this info, but I’m well aware of it.

As you’ve mentioned, the universe is unimaginably vast! And that’s why we measure the distance of celestial objects in Light Years. A light year is a distance that light travels in one year. The sun is approximately 8.3 light minutes away from Earth. So, it takes light from the sun 8.3 minutes to reach our eyes. Thus, we see the sun as it was 8.3 minutes ago!

Now imagine objects that are millions of light years away. For example, the closest spiral galaxy to ours (the Milkyway) is Andromeda, which lies about 2.5 million light years from Earth. That means, it’s taken light from Andromeda 2.5 million years to reach earth. So when we view the galaxy using our telescopes, we see it as it appeared 2.5 million years ago.

The deep space image by Webb is an interesting one. It shows the galaxy cluster SMACS 0723 as it appeared 4.6 billion years ago, according to NASA. The thing about galaxies is that they’re always in motion, and the universe is also expanding. In 4 to 5 billion years, the Milkyway and Andromeda Galaxies will collide. So, their shapes will no longer be recognizable.

The same applies for what the picture shows. We see the cluster as it appeared in the past, 4.6 billion years ago. Today, it looks very different!
 
[I also do love Space Science]


You must knw tht a Galaxy is an astronomically huge phenomena for it to cease in its existence within a 13billion year period..


Now let us take the case our Galaxy, ie. the 'Milky Way' for instance and see how astronomically huge it is, then try to image how long it would take for it to shutdown or collapse and therefore cease to exist.



The image of our Galaxy we see on earth, is what we normaly reffered to as the Milkyway. it actualy looks like a band of stretch of lights because we are seeing it from its blade, ie. its Side Elevation of its disk shape form [emoji1427]

View attachment 2287606View attachment 2287608



If we were only able view the milkyway from an angular position, this is how it would look like [emoji1427]

View attachment 2287605



Then you can just image that our huge Solar System, ie. the Sun+its 8Planes just looks like a dot of star among many many other millions of stars within the said milkyway galaxy. [emoji1427]
(nb: all the stars we are able to see at night is just but a millionth of all the stars in our galaxy)

View attachment 2287623

NB:
Note that, as far as our earth takes 365.25days to complete one orbit around the sun, and so does our Sun take 251million year to complete one orbit around the centre of the Milky Way [emoji1427]

View attachment 2287625


Every element of light you see here, is an independent Galaxy within the vast Universe.
That would explain how unimaginably enormous the universe is.. let me just say its to infinity or in simple terms, its endless! [emoji1427]

View attachment 2287616


Conclusion:
Walker255, so your doubt about collapsing of some galaxys within 13billion year period is not justified at all. They all still do exist upto now, given a gigantic huge scale of each and every galaxy!
And the universe keeps on expanding at a faster rate that some of the galaxies in our universe are not visible at all as it takes many years for lighr to reach us.

There is also a probability of having more than one universe called " multiverses " this shows how expansive the space is.
 
Ninyi wakenya ni wapumbavu, roho mbaya na umasikini ndio unaowafanya kujiona kuwa ninyi ni "victims" muda wote mnalalamika na kujiona ninyi mpo sahihi ila wengine wanafanya makosa.

Hivi hamkumbuki ni jinsi gani mlivyoongoza Dunia kutusema na kutuombea mabaya wakati wa mapambano na Corona, mlifikia hatua ya kuzuia ndege yoyote kutoka Tanzania isiruhusiwe kutua Kenya.

Hamkumbuki jinsi mlivyoingilia sakata la Loliondo na Ngorongoro na lile sakata la yule dada toka Nigeria na mkaanza kusambaza taarifa duniani kwamba Tanzania sio salama kwa utalii, lengo ni kuvuruga utalii wetu?.

Ninyi wakenya mpo na wivu, chuki na roho mbaya kwa Tanzania kwasababu tunawazidi kwa Mambo mengi, hamtaki kuona nchi nyingine ikipata maendeleo kuwazidi.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wewe joto la jiwe ndio mtu mwenye wivu kali sana dhidi ya Kenya kwenye uzi huu. Unakumbuka ile siku nilisema kwamba Kenya inaexport black tea worth $1 billion ukanipinga kwa ukali mwingi ukisema kwamba Kenya hatupandi majani chai kwamba Kenya tunapokea majani chai kutoka nchi jirani? Sasa tazama hii video kama una bundles ndio utajua ukanda huu hakuna nchi inapanda majani chai kutushinda.
 
And the universe keeps on expanding at a faster rate that some of the galaxies in our universe are not visible at all as it takes many years for lighr to reach us.

There is also a probability of having more than one universe called " multiverses " this shows how expansive the space is.
A multiverse isn’t probable, though I like to entertain the idea. So far, there’s just been speculations and science fiction.
 
Hapa Tony umeongea bila ushabiki bali kwa Facts.

Kikwete aliwahi kuulizwa huko nje kwanini nchi yako ni masikini pamoja na utajiri wa nchi yako ulionao akajibu sijui, aibu hii sana.

Hii nchi ilikuwa na viongozi wazembe, wasio na maono ya uongozi hasa mambo ya uchumi, rushwa, ufisadi, wizi, incompetent leaders, kuhodhi vyeo vingi kwa mtu mmoja,usimamizi mbovu wa rasilimali, mikataba mibovu, sera mbovu ya kuitangaza ikiwemo na kutokutangaza vivutio vya utalii, ukwepaji kodi, utoroshaji wa madini na mali asili nyingine.

Sasa alivyokuja Magufuli ndio akawazindua usingizini, sasa hivi unaona kama ndio wamekurupuka usingizini wanahaha kutaka kufukia mashimo ya huko nyuma.

Kwa ardhi tuliyo nayo ingepeswa tuilishe Kenya mpaka mshindwe wenyewe ndipo tufikirie kutafuta masoko mengine, lakini bado hatujawatosheleza maana yake hatuzalishi vya kutosha.

CCM kwa kuandaa mipango wako vizuri sana ila kinachowaangusha ni utekelezaji wake, kama wakiamua kuwabana viongozi angalau wakatekeleza Ilani yao kwa robo tatu tu nchi itapiga hatua sana.

Ulivyowaza wewe mimi huwaza kila siku mpaka kichwa kinauma, kuna Viongozi hawana muda huo as long as they get paid each month what else to think about others.
Hakuna sababu ya Tanzania kuwa masikini. Hakuna.
 
Unakurupuka tu na kuanza kuota BRT huku ukichora chora barabara eti BRT only.
IMG_2772.jpg
 
Hapa Tony umeongea bila ushabiki bali kwa Facts.

Kikwete aliwahi kuulizwa huko nje kwanini nchi yako ni masikini pamoja na utajiri wa nchi yako ulionao akajibu sijui, aibu hii sana.

Hii nchi ilikuwa na viongozi wazembe, wasio na maono ya uongozi hasa mambo ya uchumi, rushwa, ufisadi, wizi, incompetent leaders, kuhodhi vyeo vingi kwa mtu mmoja,usimamizi mbovu wa rasilimali, mikataba mibovu, sera mbovu ya kuitangaza ikiwemo na kutokutangaza vivutio vya utalii, ukwepaji kodi, utoroshaji wa madini na mali asili nyingine.

Sasa alivyokuja Magufuli ndio akawazindua usingizini, sasa hivi unaona kama ndio wamekurupuka usingizini wanahaha kutaka kufukia mashimo ya huko nyuma.

Kwa ardhi tuliyo nayo ingepeswa tuilishe Kenya mpaka mshindwe wenyewe ndipo tufikirie kutafuta masoko mengine, lakini bado hatujawatosheleza maana yake hatuzalishi vya kutosha.

CCM kwa kuandaa mipango wako vizuri sana ila kinachowaangusha ni utekelezaji wake, kama wakiamua kuwabana viongozi angalau wakatekeleza Ilani yao kwa robo tatu tu nchi itapiga hatua sana.

Ulivyowaza wewe mimi huwaza kila siku mpaka kichwa kinauma, kuna Viongozi hawana muda huo as long as they get paid each month what else to think about others.
Ni wakati sasa wa Tanzania kuondoa CCM mamlakani kwa sababu wameshindwa kuondoa umasikini Tanzania licha ya rasilimali yote mliyonayo. Wao ndio mbw* waliyowanyonya kwa miaka sitini bila nyie kupata mafinikio yoyote ya kiuchumi. Tafuteni chama kingine pengine mtapata mafanikio, otherwise CCM naona ndio chanzo kikuu cha umasikini hapo Tanzania.
 
World Bank GDP data are out. Kenya has been overtaken by Ethiopia while Tanzania is still stuck at $67B.

Top 3 biggest economies in East Africa.

1. Ethiopia - $111B
2. Kenya - $110
3. Tanzania - $67B

Tony254, tuusan

World Bank nao wana ujinga. Sasa Ethiopia wametupita vipi na walikuwa na vita huko kwao last year? Anyway Tanzania at $67 billion is really shocking coz that is almost half of Kenya's Gdp now.
 
World Bank nao wana ujinga. Sasa Ethiopia wametupita vipi na walikuwa na vita huko kwao last year? Anyway Tanzania at $67 billion is really shocking coz that is almost half of Kenya's Gdp now.
Remember Kenya's currency has been on a free fall since 2019 while that for Ethiopia has been stable most of the time.
 
Tunapambana ivyo ivyo tutakuaje no1 Africa na unona wenye mafuta ndio vinara kule juu
South Africa haina mafuta na ndio maana nimelinganisha Tanzania na South Africa. South Africa wana shamba kubwa yenye rutuba na mvua ya kutosha kama Tanzania. South Africa wana madini ya aina zote kama dhahabu, Diamond na kadhalika kama tu Tanzania. South Africa pia wana mbuga za wanyama ambazo zinaleta watalii wengi kama tu Tanzania. In fact mbuga za Wanyama za Tanzania ziko much better than za South Africa kwa sababu huko South Africa hakuna wildebeast migration na hawana tallest mountain in Africa kama nyinyi.
 
Ndio maana youtuber wa kenya wakifika TZ uwa wanashangaa mazingira yalivyokua masafi
Hawajiulizi hakuna siku vlogger wa kikunya akapost picha za uchafu bongo, kila wakija bongo wanashangaa huo uswazi wanaoambiwa upo bongo hawauoni wanaishia kusifia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom